Najua kuna watakaonicheka kuwa mimi ni mzembe lakini muda mwingine inahitajika kupumzika

Najua kuna watakaonicheka kuwa mimi ni mzembe lakini muda mwingine inahitajika kupumzika

Ongeza majani
JamiiForums1518046867.jpg
 
Hiii Ni ile chai isiokuwa na majani ! Ile unakaanga sukari inakua nyeusi unaweka maji chai tayari !!!!! Watoto wa ushuani hawawezi kuelewa
Nilivyosoma, hii nimejikuta nacheka Sana, maana umenikumbusha mbali Sana.
 
Jamiiforum ni raha sana unaweza kuwa na stress bt ukija huku unajiona upo dunia nyingine kabisa kwa vicheko bt Hongera Mr Pompeo pia mjitahidi mumruhusu bwana yule mliyempga ban nchini kwenu aje kutembelea huko ili aondoe stress za kukatwa
Hadi huku marekani wajumbe wapo
 
Hivi nyie wanaume kinachowashinda kutulia na mtu mmoja n nn[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Wataalamu mpo? Kwema?

Niliwamisi sana.

Juzi bana nilitoka out na shemeji yenu mmoja hivi ambae ndio bado hatuna hata week 2, tulitoka weekend tulikunywa vinywaji kiasi baada ya kuchangamka akapendekeza twende kwake nikapumzike kwanza then ndio niende home kwangu kwakua kwake sio mbali na hapo tulipokua tunanywea vinywaji.

Basi baada ya kuondoka pale nikaona kweli nikapumzike kwake kwanza kidogo then ndio niende home, tulipofika kwake tulikaa kidogo kama robo saa, kilichofuata ilikua sio kupumzika tena, bali kulitokea mtanange mkali sana, game kali, yani kama huna pumzi unaweza ukazimia, kiukweli tulipelekana mpera mpera, inafikia sehemu ushacheka na nyavu zaidi ya mara tatu unadhani kwamba atasema amechoka lakini ndio wapi!!! Bado anataka, yaani ile siku nisingetumia uzoefu wangu kwenye haya mambo angenitoa nishai, mwisho wa siku game ikaisha salama lakini kila mmoja alikua hoi Bin Taabani.

Ikabidi tuu niage niondoke niende zangu home, nikamuacha bado amelala kitandani yani hata nguvu za kunisindikiza hakuwa nazo aiseee.

Mwendo wa boda boda dakika 30 nikafika home, huku kichwa changu kikiwaza nioge tuu nilale maana mzee nilihisi hadi bone marrow zimeisha, yani hadi nikawa nikikunja mguu unatoka mlio kama vyuma ambavyo havina grisi, nikaoga zangu fasta nikapanda kitandani nilale.

Ile nazima tuu taa nilale ikaingi mesaage "kuna duka nimelikuta liko wazi apa nanunua condom za kuja kutumia leo " hapo ni SAA 5 na nusu usiku, meseji inatoka kwa mpenzi wangu mwingine.

Nikaona chakufia nini!? Akifika hapo nje atagonga akichoka ataondoka, nikazima simu nikalala zangu.
mmefunga shule mwanangu?? maana shule zilivyofunguliwa baada ya corona wewe na bia yetu mkapotea na inaonekana mlirudi shule,
 
Acha uongo!! dusheleleee halinaga hizo likipata kitu kipya lazima linaanza moja upyaaaaaa!! km silenyewe yaani kidem kipya kikijichesha tuuuu!! kitu hikooooooooo!

halafu wadada punguzeni uchawi, me asipofanya hamji kamwee!! ... akimfanya mtu mmoja mnaunga tela! ndo mganga wenu anavo sema!
 
Wataalamu mpo? Kwema?

Niliwamisi sana.

Juzi bana nilitoka out na shemeji yenu mmoja hivi ambae ndio bado hatuna hata week 2, tulitoka weekend tulikunywa vinywaji kiasi baada ya kuchangamka akapendekeza twende kwake nikapumzike kwanza then ndio niende home kwangu kwakua kwake sio mbali na hapo tulipokua tunanywea vinywaji.

Basi baada ya kuondoka pale nikaona kweli nikapumzike kwake kwanza kidogo then ndio niende home, tulipofika kwake tulikaa kidogo kama robo saa, kilichofuata ilikua sio kupumzika tena, bali kulitokea mtanange mkali sana, game kali, yani kama huna pumzi unaweza ukazimia, kiukweli tulipelekana mpera mpera, inafikia sehemu ushacheka na nyavu zaidi ya mara tatu unadhani kwamba atasema amechoka lakini ndio wapi!!! Bado anataka, yaani ile siku nisingetumia uzoefu wangu kwenye haya mambo angenitoa nishai, mwisho wa siku game ikaisha salama lakini kila mmoja alikua hoi Bin Taabani.

Ikabidi tuu niage niondoke niende zangu home, nikamuacha bado amelala kitandani yani hata nguvu za kunisindikiza hakuwa nazo aiseee.

Mwendo wa boda boda dakika 30 nikafika home, huku kichwa changu kikiwaza nioge tuu nilale maana mzee nilihisi hadi bone marrow zimeisha, yani hadi nikawa nikikunja mguu unatoka mlio kama vyuma ambavyo havina grisi, nikaoga zangu fasta nikapanda kitandani nilale.

Ile nazima tuu taa nilale ikaingi mesaage "kuna duka nimelikuta liko wazi apa nanunua condom za kuja kutumia leo " hapo ni SAA 5 na nusu usiku, meseji inatoka kwa mpenzi wangu mwingine.

Nikaona chakufia nini!? Akifika hapo nje atagonga akichoka ataondoka, nikazima simu nikalala zangu.
mm demu akiniambia anachukua ndomu stimu zinakata waya,,hamna kitu apo sitak kuchosha mwili wangu bure nanijua nachukuaga muda mrefu kupiz asa nikiweka ndomu ndo sijui masaa mangap apo bora nikae kimya na kunyuti tu kitandani..
 
Back
Top Bottom