Sawa.Ninaweza kukaa hata mwaka bila mahusiano.. lkn kuna kuchakata papuchi siku mambo yakipanda unatumia resources nyingi kusaka papuchi. Pia kuna age hii ya utafutaji ,mambo yakiwa magumu unahitaji mtu wa kukupoza na hasira za hii nchi .
Una mengi ya kukupa jakamoyo kabla ya uchi wa peke yako mdogo wangu!!Dah haya mambo ni magumu sana.🙌🙌
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23]Mkuj ulishawahi kuwa single hata kwa mwezi ukaona mambo yanavyokua magumu.. sasa hivi ninapitia mambo magumu kimaisha.. nikikosa na papuchi hata mara 1 kwa week ninaweza kuchanganyikiwa mkuu.. sio kwamba napenda kushare na mtu
Niko kwenye process ya kutatufa. Bado sijafanikiwa lakini maisha ni safari. Ni wachache wenye privilege ya kuzaliwa wakakuta pesa kwao ipo.. wengine tuaitafuta na ndicho ninachokifanya sasa hivi.. natafuta HELAHehehehe...tafuta hela asee ( huyu ndo mkombozi wako)
Wewe usitake kuumiza watoto wa watu sasa kwa ajili ya huyo mshenzi wako aliyekuzingua[emoji57][emoji57]Kabla ya week ijayo kuisha tayari nitakua na backup ya uhakika.. na this time sitakua faithful tena kwa mwanamke yyte..
Word [emoji848]Una uhakika gan utakaye mpata atakua wako peke yako [emoji2376]? Tena pengine labd utaenda sehemu mbaya zaid ya ulipo [emoji3526]
Fikiri kabla ya kutenda [emoji2151] acha kukurupuka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mie nakwambia ukweli wa mambo hamna mbususu yako peke yako.
Sii wana kale kamsemo kao ...usipokuwa na hela pisi kali utaishi kuwaita mashemeji....hiyo ni dhahiri kiwa mbususu zao zinapelekwa kwa highest bidder
Si hapo juu tu umetoka kukubaliana na mtu kwamba hakuna mwanaume/mwanamke wa peke yako.. na mimi sitaki kuwanyima fursa ya kuwa na mwanaume wa peke yake.Wewe usitake kuumiza watoto wa watu sasa kwa ajili ya huyo mshenzi wako aliyekuzingua[emoji57][emoji57]
Haaahaaaa[emoji38][emoji1787]Nigga mwanamke si haumtaki? Na umekuta chats?
Now hii inakupa advantage ukiamua kuruka majoka.
Akilalamika unakumbushia uliyoyaona.
Halafu wanawake jinsi walivyo ingawa umekuta hizo ishu na haujamuambia siku ukimuambia akiwa amezifuta atakutungia stori ya ni za rafiki yangu na hutakua na angle ya kujishikia.
Also waweza muambia amekukosea sana so inabidi mpite rough road ili umsamehe.
Niliposema hiyo ishu inakupa advantage I meant it.
Kuhusu magonjwa tumuachie Muumba.
Chakarika mkuu...utazikimbia mwenyeweKweli hela sina
Una miez nae miwil...unahis kabla yako hakua na mtu?..amekupa nafas anakuchekecha kama uko real au mawew utakula utaacha..so hawez gafla kumuacha aliekua nae..so we mpe muda na kama unamwelewa mwonyeshe mapenz..atamuacha tu huyo mtu...mdo scenario hzo zilivyo....Habari wakuu.
Mimi ni mtu mkimya sana kitaa sina hata marafiki wengi. So mambo mengi yanayotokea huwa nasolve mwenyewe tu na mara nyingi yanaisha.. lakini hili naona limenikaa sana na sina wa kumwambia akanielewa. So naona ni bora niliweke hapa. Lengo sio kuomba ushauri wa mtu.. leo ni kushare tu ili linitoke kifuani.
Ilikua mwanzo kabisa wa mwaka huu kama tar 3 hivi nilikua na huyu dada room ,tuna mahusuano kama ya miezi miwili... alikua ameeenda bafuni kuoga baada ya mechi.
Basi sijui ni nini kikanituma nicheki simu yake. Nikafungua whatsapp nikaona anachat na watu wengi tu. Nikaona kawaida.
Nikaenda kwenye Txt za kawaida nikakuta kuna watu anachati nao wengi tu. Lakini jina moja nikalistukia. Nikafungua charts zake.
Nikakuta last text ina kama siku 4 inamuuliza kama ataenda kulala kwake.. inaonekana walikua wanaongea sana zaidi ya kuchart.
Basi nikazima simu nikairudisha tu.. alipotoka chooni sikumwambia kitu.. kwa hasira nikampiga bao zangu kama 4 akaondoka kwao. Kama baada ya siku 3 nikamuuliza kama ana mtu yyte either kama ni mpya au wakati tunaingia kwenye mahusiano alikuepo..
Alikana kata kata akasema niko peke yangu. Basi nikamwambia kama kuna mtu yyte afanye aachane nae.
Jana hali ya hewa haikua nzuri sana kukaa peke yako.. nilimuita ili tushinde wote. Alikuja bila pingamizi. Basi kama kawaida alipoenda bafuni kuoga nikasema nicheki kama kaachana na jamaa ake.
Nimeingia kucheki Txt nakuta katika kuchart nae jana hio hio.. tena wanaitana 'babe'
Na jamaa alikua anamuuliza tena kama ataenda kulala kwake.. mimi huwa ni mtulivu sana na sipendi kufanya maamuzi ya haraka.. nilirudisha simu yake , wala sikureact hata kidogo. Usiku nimemsindikiza hadi kwao.
Sasa hapa niko nawaza nifanye nini.? Nikisema nimuache hapa mimi ndio nitapoteza sana.. maana mimi ss hivi nipo kipindi ambacho siku stable sana kwenye nyanja nyingi za kimaisha. Hivyo sina muda wa kutafuta dem mwingine.
Huyu manzi ananipa papuchi kila ninapohitaji. Hanaga kipingamizi chochote.. lkn tatizo ni magonjwa na kinyaa cha kujua dem analiwa na mtu mwingine.
Hapa bado nipo kwenye dilemma nashindwa nifanye nini. ..
Na nnajuta kuangalia sms zake..
Nawaasa wanaume wenzangu. Kama dem hutaki kumuoa usiangalie sms zake wala kugusa simu yake.. unajitafutia presha za bure..
HatarHakunaga demu wa peke ako kwa hii Tanzania ,kikubwa omba tu hao wengine wanaomla wawe salama kiafya ,lasivyo tumia condom ,demu hata ungempa Nini Bado atachepuka tu ,Ni nadra Sana kumpata demu wa peke ako ukizingatia vijana Wana sifa balaa hasa akimiliki kijiusafir Cha m10 huwa wanasumbua Sana .
Sasa jiulize huyo demu wako hatok nje au hadhururi ,haendi sokon na je huko sokon hakuna wanaume.
Vuta picha jinsi ulivyomtaman wewe ndivyo na wengine watamtaman ,pia vuta picha namna alivyokukubalia ndivyo na mwingine atakubaliwa ,.
Note: Hakunaga mwanamke anayeruka mbele ya pesa au vijizawadi zawad vya hapa na pale.
Habari wakuu.
Mimi ni mtu mkimya sana kitaa sina hata marafiki wengi. So mambo mengi yanayotokea huwa nasolve mwenyewe tu na mara nyingi yanaisha.. lakini hili naona limenikaa sana na sina wa kumwambia akanielewa. So naona ni bora niliweke hapa. Lengo sio kuomba ushauri wa mtu.. leo ni kushare tu ili linitoke kifuani.
Ilikua mwanzo kabisa wa mwaka huu kama tar 3 hivi nilikua na huyu dada room ,tuna mahusuano kama ya miezi miwili... alikua ameeenda bafuni kuoga baada ya mechi.
Basi sijui ni nini kikanituma nicheki simu yake. Nikafungua whatsapp nikaona anachat na watu wengi tu. Nikaona kawaida.
Nikaenda kwenye Txt za kawaida nikakuta kuna watu anachati nao wengi tu. Lakini jina moja nikalistukia. Nikafungua charts zake.
Nikakuta last text ina kama siku 4 inamuuliza kama ataenda kulala kwake.. inaonekana walikua wanaongea sana zaidi ya kuchart.
Basi nikazima simu nikairudisha tu.. alipotoka chooni sikumwambia kitu.. kwa hasira nikampiga bao zangu kama 4 akaondoka kwao. Kama baada ya siku 3 nikamuuliza kama ana mtu yyte either kama ni mpya au wakati tunaingia kwenye mahusiano alikuepo..
Alikana kata kata akasema niko peke yangu. Basi nikamwambia kama kuna mtu yyte afanye aachane nae.
Jana hali ya hewa haikua nzuri sana kukaa peke yako.. nilimuita ili tushinde wote. Alikuja bila pingamizi. Basi kama kawaida alipoenda bafuni kuoga nikasema nicheki kama kaachana na jamaa ake.
Nimeingia kucheki Txt nakuta katika kuchart nae jana hio hio.. tena wanaitana 'babe'
Na jamaa alikua anamuuliza tena kama ataenda kulala kwake.. mimi huwa ni mtulivu sana na sipendi kufanya maamuzi ya haraka.. nilirudisha simu yake , wala sikureact hata kidogo. Usiku nimemsindikiza hadi kwao.
Sasa hapa niko nawaza nifanye nini.? Nikisema nimuache hapa mimi ndio nitapoteza sana.. maana mimi ss hivi nipo kipindi ambacho siku stable sana kwenye nyanja nyingi za kimaisha. Hivyo sina muda wa kutafuta dem mwingine.
Huyu manzi ananipa papuchi kila ninapohitaji. Hanaga kipingamizi chochote.. lkn tatizo ni magonjwa na kinyaa cha kujua dem analiwa na mtu mwingine.
Hapa bado nipo kwenye dilemma nashindwa nifanye nini. ..
Na nnajuta kuangalia sms zake..
Nawaasa wanaume wenzangu. Kama dem hutaki kumuoa usiangalie sms zake wala kugusa simu yake.. unajitafutia presha za bure..
Huo ndio ukweli.... Uhusiano una miezi miwili tu, una-act kama umeshaoa. Kuwa mvumilivu kidogo, Inawezekana yuko kwenye kipindi cha mpito au anafanya evaluation kujua akae wapiHaya mambo mnaweka masihara sababu hayajawakuta.. [emoji119][emoji119]
Wacha tuwaeleze vijana wanadhani mbusus hizi wanakula wenyewe tuu....ikioshwa hiyo mbona kama mpya mwengine nae anachovya asali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]