Najuta kuangalia SMS za mpenzi wangu

Sasa usipoangalia utajuaje?
na kutotaka kujua hapo kuna mawili, mosi kama hupigiwi hakiharibiki kitu pili kama unapigiwa na hutaki kujua ufala unaanzia hapo.
 
Ndugu muanzisha uzi.. kinachokutesa zaidi hapo ni maumivu ya kuachana na uyo manzi. Yaan unataman muachane halaf muendelee kuwa marafiki au https://jamii.app/JFUserGuide budddies kwa vile anakupa kipochi mavuz cha bure. Anafanya ivyo kwa wengi na sio uyo jamaa tu. Kubali kuumia ila tafuta amani ya moyo wako. Sawa haukl vzur kimaisha ila itakuaje uktumia mda huu kusoma vtabu vya maisha na maendeleo. Kula vzuri kujiweka fiti (gym) kuchek soka nk... fanya mambo ambayo unapenda kusukuma mda. N kile utachofany ndani ya mda wa upweke ndo kitadetermine demu anayekuja atakutreat vip. Trust me bro ukiendelea kufany mambo yaleyale usitegemee results tofauti.. kataa kuwa mtumwa wa papuchi. Jiendeleze. Utakuja mshukuru uyo demu kwa drama had ukamuacha
 
Endelea kumla lakini usiwe na malengo nae at the same time tafuta Manzi mwingine Ambaye utamuandaa kwaajili ya future yenu ,
 
Nikivuta picha na mambo anayonipa eti na jamaa mwingine anapewa hivyo hivyo.. napata hasira natamani hata kulia.
[emoji16][emoji16][emoji16]acha ujinga wewe ,, una umri gani tuanzie hapo kwanza
 
Natafuta dem mwingine.. nikipata tu huyu napiga chini siku hio hio.
Usimpige chini Wanaume kwetu mwiko kukataa papuchi ila mtoe katika nafasi ya kuwa 1st priority then Mfanye awe mchepuko
 
Mkuj ulishawahi kuwa single hata kwa mwezi ukaona mambo yanavyokua magumu.. sasa hivi ninapitia mambo magumu kimaisha.. nikikosa na papuchi hata mara 1 kwa week ninaweza kuchanganyikiwa mkuu.. sio kwamba napenda kushare na mtu
Sheeesshh!!!! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Una sex addiction mbaya Sana manina , yaani ukikosa week tu unapagawa !!? [emoji16][emoji16][emoji16]

Kweli katiba mpya muhimu[emoji16]
 
Kutafuta mpenzi wa peke yako kwa Tanzania hii ni sawa na kutafuta sidiria la mikono mirefu

Na vile umesema hauko vzri kimaisha ukiendelea kumchokonoa utaungana na Mimi kuwa mpenzi mtazamaji
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
MI NAONA TU HAPO UMEJIPA PROMO YA KUMKAZA DEMU BAO 4 NA UKIMUOMBA HAKUBANII

KUHUSU KUKAGUANA SIMU ACHA HIZO MAMBO, HALAFU KAMA HUNA MPANGO WA KUMUOA ACHANA NAE TU USICHEZEE HISIA ZAKE
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wakati bibie anapangua mmoja baada ya mwingine atulie na wewe, wewe unapanga umtelekeze.

Mwanamke kabla hujamuoa ni gombania goli. Mwenye kisu kikali ndio atakula nyama.

Utumwa wa papuchi mbaya sana.m
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…