Najuta kuanzisha biashara ya baa, nashindwa na gharama za uendeshaji

Najuta kuanzisha biashara ya baa, nashindwa na gharama za uendeshaji

Bia zinashuka bei wateja siwaoni; muda huu nipo bar sina wateja kabisa kuna meza niliyokaa mimi na mbili zingine za wateja .. Umeme Maji Mishahara ya wahudumu; TRA ni sheshe; naomba ushairi wa wadau wa sekta hii hali so nzuri.

Muda huu ni saa nne na robo saa sita kamili nafunga bar kwa mujibu wa sheria - sijauza kabisa. Nipeni mawazo ama ushauri.
Tafuta wasichana wale wa kanga moko angalau waje kufanya show mara mbili kwa wiki.

Tafuta wahudumu wazuri wazuri wenye lugha laini kwa wateja.
Tafuta DJ mzuri kwa ajili ya kuburudisha wateja .

Tafuta mpishi mzuri hasa wa supu na nyama choma.

Weka mashindano ya wadada wakata nyonga na mshindi angalau umpe elfu 30 au ishirini ,ninakuhakikishia kwa njia hii mademu watajazana hapo, kitendo cha mademu kujazana hata wanaume pia watajaa kuja kutumia na watoto wazuri wazuri wa hapo.


KWA LUGHA NYEPESI KABISA WEKA MAZINGIRA YANAYOHAMASISHA NGONO KWENYE BAR YAKO .


NB: Usisahau suala la usalama wa raia na mali zao hivyo zingatia suala la mabaunsa pia ili vibosile waweze kuja hapo.
 
Tafuta wasichana wale wa kanga moko angalau waje kufanya show mara mbili kwa wiki.

Tafuta wahudumu wazuri wazuri wenye lugha laini kwa wateja.
Tafuta DJ mzuri kwa ajili ya kuburudisha wateja .

Tafuta mpishi mzuri hasa wa supu na nyama choma.

Weka mashindano ya wadada wakata nyonga na mshindi angalau umpe elfu 30 au ishirini ,ninakuhakikishia kwa njia hii mademu watajazana hapo, kitendo cha mademu kujazana hata wanaume pia watajaa kuja kutumia na watoto wazuri wazuri wa hapo.


KWA LUGHA NYEPESI KABISA WEKA MAZINGIRA YANAYOHAMASISHA NGONO KWENYE BAR YAKO .


NB: Usisahau suala la usalama wa raia na mali zao hivyo zingatia suala la mabaunsa pia ili vibosile waweze kuja hapo.
Hiii imekaa poa sana
 
Mkuu hiyo biashara ulipoianza haukuwa na "exit" strategy? Tafuta mtu umkamatishe ufanye mambo mengine. Ya nini kukumbatia mkaa wa moto? Imeuzwa TBL itakuwa hiyo bar yako?
TBL imeuzwa lini mkuu?
 
Bia zinashuka bei wateja siwaoni; muda huu nipo bar sina wateja kabisa kuna meza niliyokaa mimi na mbili zingine za wateja .. Umeme Maji Mishahara ya wahudumu; TRA ni sheshe; naomba ushairi wa wadau wa sekta hii hali so nzuri.

Muda huu ni saa nne na robo saa sita kamili nafunga bar kwa mujibu wa sheria - sijauza kabisa. Nipeni mawazo ama ushauri.
Pole sana mkuu hiyo biashara kwa sasa ni umiza kichwa mno!!kwani wanywaji wamepunguza sana unywaji na tatizo kila bei inapopungua na faida inazidi kupungua!!miaka za zamani creti ya bia ulikuwa unapata faida hadi 9000!lakini kwa sasa yenye faida kubwa ni 5000!!!kwa sasa mtu anakuja anakunywa bia moja tayari na konyagi ya kupima ya buku !!mtu anasema jaza wahudumu wenye misambwanda utawalipa nini?hali imeshabadirika ,juzi nilikuwa pale kisuma kweli mambo yamebadirika sana hali ni ngumu sio ile kisuma niliyokuwa naijua miaka mitatu nyuma!!wewe jaribu kuangalia kama matumizi yanazidi mapato hiyo tena sio biashara!!kama utahitaji ushauri zaidi ni PM
 
umeonaga wapi matajiri wauza pombe???
bar huvuma kwa muda na kufa jumla na wateja wanahamia bar mpya.
hiyo biashara hainaga mwisho mwema zaidi ya kuchakaa.
badili biashara hasa wakati huu wa magu walevi wanarudi nyumbani saa 12 jioni, mambo sio shwari kabisa
Kila anayefungua biashara ni lazima atajirike? Halafu Inawezekana kweli wote tuwe matajiri Kama Mengi au Baghresa? Kuna Bar nazifahamu zaidi ya miaka ishirini sasa na ziko vizuri tuu, so kila mtu ana kazi yake.
 
TBL imeuzwa lini mkuu?
Tangu 2016 SABMiller ambao ndiyo wenye hisa nyingi TBL wamenunuliwa na kampuni ya Belgium-Brazil inayoitwa Anheuser-Busch InBev
hivyo automatically tangu 2016 TBL iko chini ya ya hao jamaa kwa sasa na sio SABMiller tena. Wanaofanya TBL wanajua nachosema maana wameshakutana na changamoto za mmiliki mpya.

SABMiller - Wikipedia

Anheuser-Busch InBev - Wikipedia
 
Hii maana yake nini ikiwa biashara ya pombe itayumba maisha yatazidi kuwa magumu zaidi na zaudi, secta ya pombe imetoa ajira kwa watu wengi sana

ina maana mwenye bar akisema nafunga bar biashara hakuna basi mtu aliye ajiliwa atakosa kazi akikosa kazi kama kuna watu wanaomtegemea ndio basi tena njaa imeingia

Haya bar zikifungwa wale dada pouwa wanaoitumia miili yao kama biashara watakosa mawindo ina maana kams kuna watu wanawategemea hapo tayali njaa imeingia

Haya bibi zetu na shangazi uko vijijini na mjini waliokuwa wanatengeneza pombe ya kienyeji wanapata wateja wengi kwa kigezo cha bei ndogo, wale wateja watakimbia pombe ya kienyeji wataenda kwenye bia bei si ndogo ina maana hawa bibi zetu nk biashara itayumba njaa tayali

Haya kwakua hawa wateja wa pombe za kienyeji wamekimbilia bia na bar zipo nyingi ina maana wenye bar watawagawana hawa wateja mwisho wa siku faida ndogo

Yani tufunge mikanda tu no way out hali mbaya sana.
 
Bar yako ipo sehemu gani? Maana mimi nilikuwa nafikiria kufungua pub? Maana nahisi wabongo Jiwe limewachanganya lazima walewe ili akili ziwakae sawa!!! Sasa mbona unanitisha!!! Wateja huna wakati watumishi wana salary mifukoni!!!
[emoji15]
Nakushauri usifungue bar kwa sasa; ni kheri ufungue mama lishe inalipa.
 
umeonaga wapi matajiri wauza pombe???
bar huvuma kwa muda na kufa jumla na wateja wanahamia bar mpya.
hiyo biashara hainaga mwisho mwema zaidi ya kuchakaa.
badili biashara hasa wakati huu wa magu walevi wanarudi nyumbani saa 12 jioni, mambo sio shwari kabisa
Kaka ulivhokisema kina uhalisia ndani yake.
 
Bia zinashuka bei wateja siwaoni; muda huu nipo bar sina wateja kabisa kuna meza niliyokaa mimi na mbili zingine za wateja .. Umeme Maji Mishahara ya wahudumu; TRA ni sheshe; naomba ushairi wa wadau wa sekta hii hali so nzuri.

Muda huu ni saa nne na robo saa sita kamili nafunga bar kwa mujibu wa sheria - sijauza kabisa. Nipeni mawazo ama ushauri.
Bar ndio biashara pekee unaweza kujua faida kila siku. Eneo ni lako au umekodi? Inawezekana ulifanya makisio ya biashara kwa kuangalia hali ilivyokuwa wakakati wa awamu ya nne; awamu hii ya tano wengi tumemrudia Mungu hatunywi sana
 
Nakushauri usifungue bar kwa sasa; ni kheri ufungue mama lishe inalipa.

Sasa hivi kutokana na Jiwe kubana wabongo wengi wanachomudu na chakula tu cha kuwafanya waamke siku inayofuata!!! Tena sio wote!!!! Wengine wanapiga deshi mchana!!! Hatareeee!!!
Hakuna pesa tena za kula bia kwa fujo au kufanya maendeleo!! Wanaofanya maendeleo/project ni wachache sana!!!! Zile Fuso za Kusomba tofali na michanga siku hizi zinasomba takataka!!! Tena hata kazi za kuzoa taka ni adimu!!! Mpaka Bashite akupe shavu!!! Ni shiiddah!!!
Jiwe linanyoosha Nchi!! Hatareeee!!!
 
Jiwe jiwe jiwe jiwe jiwe jiwe jiwe.... Stone stone stone.... Hataree.... Bar zitakuwa vibanda umiza sio mda..
 
Onana na mshana Jr akupe kizizi cha dawa wateja Kama wote wanatuka mm mwenyew nlifuata kizizi kanisani wateja wapo Wa kutosha chini ya kizizi
 
Back
Top Bottom