Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
πππ sio kitafunio tu, vitafunio viwe vya aina mbili, ndafu na mama kali!Bia bila kitafunio ni bule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππ sio kitafunio tu, vitafunio viwe vya aina mbili, ndafu na mama kali!Bia bila kitafunio ni bule
πππππππSasa hivi kutokana na Jiwe kubana wabongo wengi wanachomudu na chakula tu cha kuwafanya waamke siku inayofuata!!! Tena sio wote!!!! Wengine wanapiga deshi mchana!!! Hatareeee!!!
Hakuna pesa tena za kula bia kwa fujo au kufanya maendeleo!! Wanaofanya maendeleo/project ni wachache sana!!!! Zile Fuso za Kusomba tofali na michanga siku hizi zinasomba takataka!!! Tena hata kazi za kuzoa taka ni adimu!!! Mpaka Bashite akupe shavu!!! Ni shiiddah!!!
Jiwe linanyoosha Nchi!! Hatareeee!!!
πππππππFanya hivo pawe na kauchochoro kazuri,Bar na Short time ni kulwa na doto
Zama za giza za jiweBia zinashuka bei wateja siwaoni; muda huu nipo bar sina wateja kabisa kuna meza niliyokaa mimi na mbili zingine za wateja .. Umeme Maji Mishahara ya wahudumu; TRA ni sheshe; naomba ushairi wa wadau wa sekta hii hali so nzuri.
Muda huu ni saa nne na robo saa sita kamili nafunga bar kwa mujibu wa sheria - sijauza kabisa. Nipeni mawazo ama ushauri.