Najuta kuanzisha biashara ya baa, nashindwa na gharama za uendeshaji

Najuta kuanzisha biashara ya baa, nashindwa na gharama za uendeshaji

Sasa hivi kutokana na Jiwe kubana wabongo wengi wanachomudu na chakula tu cha kuwafanya waamke siku inayofuata!!! Tena sio wote!!!! Wengine wanapiga deshi mchana!!! Hatareeee!!!
Hakuna pesa tena za kula bia kwa fujo au kufanya maendeleo!! Wanaofanya maendeleo/project ni wachache sana!!!! Zile Fuso za Kusomba tofali na michanga siku hizi zinasomba takataka!!! Tena hata kazi za kuzoa taka ni adimu!!! Mpaka Bashite akupe shavu!!! Ni shiiddah!!! Jiwe linanyoosha Nchi!! Hatareeee!!!
Aise umesema hali halisi anayokumbana nayo raia mnyonge nchini, safi sana, kwa sasa ni msosi tu, maji tunachemsha, matunda labda tunajikakamuwa, maendeleo hakuna, maeneo yameota majani hata nguvu za kufanya usafi wenyewe hatuna! Ni hatari..
 
Bia zinashuka bei wateja siwaoni; muda huu nipo bar sina wateja kabisa kuna meza niliyokaa mimi na mbili zingine za wateja .. Umeme Maji Mishahara ya wahudumu; TRA ni sheshe; naomba ushairi wa wadau wa sekta hii hali so nzuri.

Muda huu ni saa nne na robo saa sita kamili nafunga bar kwa mujibu wa sheria - sijauza kabisa. Nipeni mawazo ama ushauri.
Pana Guest ya Short time?
 
Mkuu kiukweli kwa sasa biashara ya Bar ni ngumu sana hasa kwa sehemu mpya. Wanywaji wachache waliobaki wanakunywa kwenye bar walizozoeleka ili hata wakitaka kukopa iwe rahisi. Nyama zenyewe zimepanda bei hata ile kitimoto haishikiki tena na walaji ni wachache sana. We mwenyewe jaribu kupita kwenye bar mbalimbali hata zile kubwa utajionea hali halisi. Mara nyingi utakuta weekend ndio kuna watu wengi ila siku za kawaida ni empty kabisa wakati gharama za uendeshaji ziko pale pale. Ukiona vipi we funga tu mkuu mambo ya kuleta warangi sijui bendi sijui nini kwa hali ya sasa utaingia hasara tuu na mwisho bado utafunga.
 
Nenda Karatu tafuta desiriii matata kabisa wabichi wa late 10 na early 20s sikufich kaz ya bar wanazipenda. Coz wanatoa Huduma zote ili kubust biashara(nimemaanisha sio wachoyo).
 
Tafuta wasichana wale wa kanga moko angalau waje kufanya show mara mbili kwa wiki.

Tafuta wahudumu wazuri wazuri wenye lugha laini kwa wateja.
Tafuta DJ mzuri kwa ajili ya kuburudisha wateja .

Tafuta mpishi mzuri hasa wa supu na nyama choma.

Weka mashindano ya wadada wakata nyonga na mshindi angalau umpe elfu 30 au ishirini ,ninakuhakikishia kwa njia hii mademu watajazana hapo, kitendo cha mademu kujazana hata wanaume pia watajaa kuja kutumia na watoto wazuri wazuri wa hapo.


KWA LUGHA NYEPESI KABISA WEKA MAZINGIRA YANAYOHAMASISHA NGONO KWENYE BAR YAKO .


NB: Usisahau suala la usalama wa raia na mali zao hivyo zingatia suala la mabaunsa pia ili vibosile waweze kuja hapo.
Peponi naenda mimi tuu [emoji519]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara ya bar inalipa sana hasa kama hupo dar, kama haikulipi kuna sehemu unakosea zingatia vitu muhimu sana usafi...jiko...wahudumu na vimini ni lazma....ulinzi...parking....no smoking bar isiwe kama kijiwe....dj mzuri...flatscreen za kutosha kwa ajili ya mpira....ubunifu mfano hapa kila ijumaa tunahoji wateja....naomba unitafute ujioner kama upo dar ....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sahv wengi tumehamia kwa mangi
Bar mnachemsha sana kwenye usimamizi.....tatzo lens Nyie wenye bar hamjui kudeal na sisi wanywaji/walevi
Ila bado kuna bar chache znajitahidi
Ila narudia tena wanywaji nguli akiwemo mm wengi tunakunywa kwa mangi na sahv ndy wana kik...

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom