Najuta kuchukua mkopo “Pesa X”

Dooh
Ina maana Wana uwezo wa kuona meseji zinazotumwa na kupokelewa kwenye line husika ulochukulia mkopo au line zako zote kwenye simu?
 
Wanachoogopa ni vile vitisho vyao maana jamaa hawapoi. Wanakuacha ulale ila ikifika asubuhi wanaanza na wewe.
Niliwahi kushuhudia vitisho vyao nawajua sana sometimes wanajifanya maafande,

Kwa jinsi wanavyodai pesa zao naanza kupata wasiwasi kuwa hawa watu wanaopotea kiutatanishi huenda kuna husiana na hii mikopo kama wana uwezo mpaka kujua kila kinachofanyika kwenye simu sio hali ya kupuuza serikali iwadhibiti aisee
 
Dooh
Ina maana Wana uwezo wa kuona meseji zinazotumwa na kupokelewa kwenye line husika ulochukulia mkopo au line zako zote kwenye simu?
Kama app kwenye simu wanaona kila kitu. Hata wanauwezo wa kujua location uliyopo pamoja na kutumia camera ya simu yako kupiga picha pale unapoitumia simu. Jamaa wana mitambo ya hatari . Hao wachina na wahindi wanaozagaa mjini ndio kazi. zao
 
Kama app kwenye simu wanaona kila kitu. Hata wanauwezo wa kujua location uliyopo pamoja na kutumia camera ya simu yako kupiga picha pale unapoitumia simu. Jamaa wana mitambo ya hatari . Hao wachina na wahindi wanaozagaa mjini ndio kazi. zao
App nimeifuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…