Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,383
- 11,197
pole wanakuandama wewe tu, waambie wakaanze post No 1Sio mm umekosea kumkwoti!
wakianzia katikati wanajua niwewe ni mleta mada waambie hapa ni kijiweni / jokes waache hasira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pole wanakuandama wewe tu, waambie wakaanze post No 1Sio mm umekosea kumkwoti!
pole wanakuandama wewe tu, waambie wakaanze post No 1
wakianzia katikati wanajua niwewe ni mleta mada waambie hapa ni kijiweni / jokes waache hasira
Nimehug kwa nguvu mpaka nimeipasua habari ya siku ndugu yangu??Ww kaka wa Tulia ackson wewe!nimeihug mkuu...hebu na ww hug hyo itel kwanza🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanasemaga hakuna baba mwenye gari kuna baba mwenye nyumba tu,naona baba mwenye nyumba anajuta hapa
Salama tu..vip huko kampeni za dada ako Tulia?!kama mtaanza kuhonga hela pls usinisahau ..Nimehug kwa nguvu mpaka nimeipasua habari ya siku ndugu yangu??
Wewe unaonaje? Ni faida kubwa sana haiwezi kupatikana?Wait a bit, hiyo 200k Tzs ni mauzo au faida??
Mkuu mbona kama umepanik wakati laki 2 kwa siku ukiizidisha kwa mwezi ni milioni 6 tu ambao huu ni mshahara wa kawaida kabisa kwa watu wa mataasisi makubwa..? Tatizo ukisema laki 2 kwa siku inaonekana kama ni hela nyingi kumbe ni hela ya kawaida tu.
Naanza kuwaelewa wahindi kwa nn hawahami city centre na akaunti zimetuna benki. Watoto wanasoma UK na Canada, Duka lipo mita chache toka nyumban kwake
nyumba iungekua begi angietupa kichakani 😂 😂 😂 😂 😂 😂[emoji23][emoji23][emoji23]
NI KIJIJI FULANI KIPO BARABARA YA BAGAMOYO - MLANDIZI.Matimbwa iko wapi?
BILA KUSAHAU "MBWAWA_SIWE, "SUNGUVUNI" NA "YOMBO_MAGOZA".Moja ya maeneo ya Bagamoyo...
Kuna maeneo mengi kama hiyo Kerege, Msinune, Masuguru, Matimbwa n.k
Wewe mwenye mentality ya kitajiri unaona milioni kumi ni pesa ya kuacha kazi na kufanya kufanya biashara siyo? Seriously? Biashara ya uchuuzi? Kweli safari tunayoWatu wanakera mnoo mkuu.Wana mentality za kizee mnoo.kijana amebahatisha kupata 10milion kwa shida mnoo,anaikimbizia kwenye ujenzi.
BILA KUSAHAU "MBWAWA_SIWE, "SUNGUVUNI" NA "YOMBO_MAGOZA".
Kumbe nyumba yenyewe ndio hii!tupo sawa sasa
maana kuna mahali nimeona unaingiza 200k nikijua upo Ofisini au Tanzania hii
haya Mleta Mada joshua_ok
ana nyumba hii hapa tutafutie wapangaji au mifugo, sijui ana eneo la shamba au kapakana na wenzake huko KEREGE
View attachment 1261398
ndugu ukitaka kufanya yako utachelewa ilimladi nalala kwangu pesa ya mafuta inapatikana na service inatikana sio kesi kwa siku huakika 70 imeingia na mishe zangu za umachinga napiga kujipatia riziki ya kila siku sio mbaya.ikichoka tutauza chuma chavu ila ushauri wako nilipewa toka 2017 lkn chuma inapiga kazi na zingine nimezikuta na zipo road kila siku.wacha uwoga mkuuHiyo gari unaifanyia service mara ngapi kwa mwaka?
Gari ya kukusanya watu 10 kila siku kwenda na kurudi which is 120km, inahitaji maintanance ya kufa mtu.
Umeiweka kwenye gharama zako? Au hiyo revenue ndo profit?
Gari inayoenda 120 Km kila siku inahitaji siku 90 (miezi mitatu) kumwaga oil (inacost kitu kama 150K) na service zingine kama shockups n.k.
Linganisha na gari inayoenda 30 km kila siku ambayo itahitaji siku 300 kumwaga oil at the same cost. Anatumia less fuel na gari haichoki haraka.
Wewe mwenye mentality ya kitajiri unaona milioni kumi ni pesa ya kuacha kazi na kufanya kufanya biashara siyo? Seriously? Biashara ya uchuuzi? Kweli safari tunayo