Najuta kuhamia kwangu Kerege

Huyu huwa anafurahisha genge tu japo sometime thread zake zina mantiki. Akiona thread inapoa anapost sentensi moja ya kuvutia Watu wanatiririka. Na ni maarufu wa kufufua thread zilizokufa
Haaahaaa[emoji16]nilimstukia
 
Kama kuna mtu anauza kiwanja chake Mapinga kama mmiliki, na serikali ya mtaa inamtambua hivyo, jee unashauri tahadhari gani kwenye hii scenario? Kiwanja kimepimwa na kipo kwenye mchakato wa kupewa title.
 
Ulinunua kiwanja 1969? Well well...
 
Kaka usijute wala nini, yakupita tu, wenzako tupo BunjuB, tulishavamiwa tukagongwa sana sana, ila tumejaa tumejipanga na ulinzi shirikishi na nini sasa tupo kama oysterbay...
Mafuta ni nini kama unakaa kwako?!
Achana na Sinza, yale ni maisha ya ujana tu kaka...
Jipangeni mtaani, umoja ni nguvu amini usiamini...
 
Poa. But in the mean time wacha nijibanze kwanza kinondoni
 
Sisi hatusemi ule umri wa balehe...namanisha umri ule umemaliza chuo unaweza oa! Sio utoke form 4 uoe![emoji39][emoji39][emoji39]
Kwani umri wa kuoa kidume ni upi! Mane bhana, hata wewe nakuzaa ukikaa vibaya [emoji39][emoji39][emoji39]
 
Mane kwani kila mtu anafika chuo? Wengine wanamaliza la saba wanaoa
Mwambie, tena kama ningeishia la saba ningekuwa na watoto wapo chuo na wengine washaolewa na kuoa. Hizi formal education system zimeharibu mfumo wa maisha ya mwafrika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…