Najuta kuhamia kwangu Kerege

Najuta kuhamia kwangu Kerege

Kwa hiyo ulijenga kwa hela za kuiba hukuzoea kuishi kwa mshahara wako ndiyo maana unaona maisha yanakwendea vibaya, kwani enzi hizo mafuta ulikuwa unanunuliwa now unanunua mwenyewe. Acha ukome.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Funzo: Vijana msikimbilie kujenga kama hamjajipanga.
Kujenga muhimu,ila ujiulize unajenga wapi na kwa nini
Kerege ni halmashauri ya bagamoyo,ulitakiwa uhamie baada ya kustaafu au kubadili kazi
Halafu sio lazima uje na gari mpaka mjini unaweza kupaki bunju ukachukua daladala mpaka makumbusho au kkoo
 
Kujenga muhimu,ila ujiulize unajenga wapi na kwa nini
Kerege ni halmashauri ya bagamoyo,ulitakiwa uhamie baada ya kustaafu au kubadili kazi
Halafu sio lazima uje na gari mpaka mjini unaweza kupaki bunju ukachukua daladala mpaka makumbusho au kkoo
Mawazo ya Graduate jobless anaekaa kwa mjomba wake Mbagala
 
Mawazo ya Graduate jobless anaekaa kwa mjomba wake Mbagala
Sasa wewe ulieenda kujenga bagamoyo kazi unafanya posta,gari unayotumia ni crown athlete na unalazimisha kuja nayo mjini tukuone,unatofauti gani na jobless wa mbagala kwa mjomba wake
 
Sasa wewe ulieenda kujenga bagamoyo kazi unafanya posta,gari unayotumia ni crown athlete na unalazimisha kuja nayo mjini tukuone,unatofauti gani na jobless wa mbagala kwa mjomba wake
Mkuu bado hujamalizia hapo[emoji23]na asubuhi wakati wakuja posta barabara ya ununio kunakuwaga na ligi moja matata ni mbio mbio sasa huyu jamaa lazima alalamike maana wese linaishia kwenye ligi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu bado hujamalizia hapo[emoji23]na asubuhi wakati wakuja posta barabara ya ununio kunakuwaga na ligi moja matata ni mbio mbio sasa huyu jamaa lazima alalamike maana wese linaishia kwenye ligi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu anashauriwa analeta nyodo,asubiri usafiri wa boti toka bagamoyo mpaka dar unaanza mwaka huu
 
Wakuu enzi za Neema za Mkwere nilijenga maeneo ya Kerege sasa mambo yalipobana kodi ikanishinda Sinza nikahamia kwangu Kerege asee najuta maana hizo gharama za mafuta zinazidi kodi ya nyumba Sinza (400,000/=).

Bado sijaweka ukuta, vibaka kila mara wanavamia nikiwa kazini mjini nimejaribu kuuza nyumba haiuziki wanunuzi wengi wanadai huku uswahilini sana.

Funzo: Vijana msikimbilie kujenga kama hamjajipanga.
Fuga nguruwe humo utaongeza hela ya mboga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1363274
Nyumba hii ndio umemuachia kijana na nguruwe wake au ile picha ya mwanzo?
View attachment 1337838

Screenshot_2020-02-19-20-48-52-522_com.android.chrome.jpg

Kerege Vs Goba!!
Bongo nyoso. Bongo balaa.

-Kaveli-
 
Wakuu enzi za Neema za Mkwere nilijenga maeneo ya Kerege sasa mambo yalipobana kodi ikanishinda Sinza nikahamia kwangu Kerege asee najuta maana hizo gharama za mafuta zinazidi kodi ya nyumba Sinza (400,000/=).

Bado sijaweka ukuta, vibaka kila mara wanavamia nikiwa kazini mjini nimejaribu kuuza nyumba haiuziki wanunuzi wengi wanadai huku uswahilini sana.

Funzo: Vijana msikimbilie kujenga kama hamjajipanga.
Panda daladala
 
Nina ushuhuda: Pale Sinza, miaka ya nyuma kulikuwa ni pori. Chuo kikuu enzi hizo wakachukuwa eneo kubwa na kuwagawia ma-lectrurers wao. Kuna waliokataa wakasema ''huku porini kwenye madimbwi ya maji ni nani atakuja kukaa huku. Leo hii Sinza imegeuka na kuwa eneo tofauti kabisa. Hapo ulipozunguzumzia Sinza makaburini na maeneo yote ya karibu yalikuwa na pori na ndiyo kisa cha kuyafanya yawe sehemu ya kuzikia.
Sinza mvua ikinyesha ni takataka
 
Back
Top Bottom