establishment
JF-Expert Member
- Jun 27, 2015
- 1,632
- 2,435
Wabongo tumejaa HusdaAcha wivu. Tafuta nawe hela ujenge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo tumejaa HusdaAcha wivu. Tafuta nawe hela ujenge
"Houses are for banks, its bullshit if you pay for your house and your house doesn't pay you..unless its so beautiful that it gives you happyness and the peace of mind!"Wakuu enzi za Neema za Mkwere nilijenga maeneo ya Kerege sasa mambo yalipobana kodi ikanishinda Sinza nikahamia kwangu Kerege asee najuta maana hizo gharama za mafuta zinazidi kodi ya nyumba Sinza (400,000/=).
Kutokana na hela kuwa ngumu nimeweka ukuta mfupi, vibaka kila mara wanavamia nikiwa kazini mjini nimejaribu kuuza nyumba haiuziki wanunuzi wengi wanadai huku uswahilini sana.
Funzo: Vijana msikimbilie kujenga kama hamjajipanga.
Mpaka ujenge huko bila Shaka una eneo kubwa na ulinunua kwa Bei POA ..kwa hiyo fuga na limaKaribia 8kms kutoka lami - Bagamoyo Rd.
kuna kitu kikubwa anakisema ...Ila ingawa hakijawa wazi... Unaweza sema anamaisha... hata kama amejenga bado nyumba imekuwa mzigo kwake..Inampunguzia kipato... ndiyo maana baadhi ya nyumba na hasa za kuishi ni liability.Mkuu shukuru hata umejenga japokuwa ulikuwa hujajipanga, ila naamini ulijipanga ndo maana ukajenga....kuna vijana hata chumba cha kupanga ni utata..
Ndivyo ilivyo mkuu..Hakuna njia ni kurudi mjini katiUtaishije nje ya mji kwa kigezo cha kukimbia gharama wakati usafiri wa daladala tu unakucost 150000 kwa mwezi na ukiforce kuendesha gari unatumia laki 4 kwa mwezi?.
Bora upange apartment city centre,nyumba weka mradi wa mifugo na nyumba yako akae msimamizi kama hakuna wapangaji
Mimi narudi mjini kati.... Nitapanga wakati natafuta cha kufanya kwa nyumba iliyopo Kitunda... Gharama ni nyingi sana kuishi pembezoniNimerud kupanga chumba k'ndoni
Kule Ekerege umepangisha au umepaachajeNimerud kupanga chumba k'ndoni
Sawa kutafakari ni muhimu...ila unapojenga mahali pa kuishi fikiria miaka 30 mbele...miji inapanuka Sana...hiyo kerege ni sehemu sahihi kabisa kwa siku za usoni na hasa kwa vijana ambao miaka 30 ijayo watakuwa wazee...nyumba ni aset ya kudumu Kama unaitunza..gari ni takataka tu...mpaka amenunua kerege bila Shaka Ana eneo kubwa kwa hiyo afuge na alime...asilogwe kuuza..atakuja kujuta miaka siyo mingi ijayo..kuna kitu kikubwa anakisema ...Ila ingawa hakijawa wazi... Unaweza sema anamaisha... hata kama amejenga bado nyumba imekuwa mzigo kwake..Inampunguzia kipato... ndiyo maana baadhi ya nyumba na hasa za kuishi ni liability.
Pili anamaanisha hiyo hela aliyojenga , badala ya kuwahi Kerege ambako ni nje ya Dar na mbali angeweza kufanya maamuzi tofauti na hela yake ikaenda mbali zaidi.
Vile vile anamaanisha kujenga siyo suluhisho, au kukaa kwenye nyumba yako mwenyewe..Ingeweza kuwa na maana kama angejenga maeneo mengine akaitumia nyumba kwa biashara au shughuli nyingine za kuingiza kipato.
Anamaanisha ameishia kujenga na sasa hawezi kunufaika na hiyo nyumba au kuyabadilisha maamuzi yake aliyofanya siku za nyuma alipokuwa amejenga.
Anamaanisha angeweza kujenga eneo jingine ambalo, kuna uwezekano wa kubadilisha matumizi ya makazi, kuwa kitu kingine.
Huyu ndugu ameweka ujumbe muhimu sana, tuufakari zaidi na hasa maeneo tunapojenga nyumba tuangalie mambo mengi ,kuliko nimejenga mimi niko kwangu silipi kodi.
Mbona wahindi hawajuti japo wanakaa maghorofani toka nimekuja mjini miaka ya mwishoni mwa 1980s?Sawa kutafakari ni muhimu...ila unapojenga mahali pa kuishi fikiria miaka 30 mbele...miji inapanuka Sana...hiyo kerege ni sehemu sahihi kabisa kwa siku za usoni na hasa kwa vijana ambao miaka 30 ijayo watakuwa wazee...nyumba ni aset ya kudumu Kama unaitunza..gari ni takataka tu...mpaka amenunua kerege bila Shaka Ana eneo kubwa kwa hiyo afuge na alime...asilogwe kuuza..atakuja kujuta miaka siyo mingi ijayo..
Pole, ila uko sio mbali na Kariakoo.Mimi narudi mjini kati.... Nitapanga wakati natafuta cha kufanya kwa nyumba iliyopo Kitunda... Gharama ni nyingi sana kuishi pembezoni
Umenena points,Nina maoni haya: Kujenga na kuishi sehemu ya mbali na mji kama hiyo yako kwangu mimi ni jambo zuri sana. Na zaidi niseme sehemu za Kerege ni nzuri sana na kuna hewa safi na mtu unakuwa mbali na rabsha za mjini. Na kingine ni kuwa una uhuru wa kufanya mambo mengi kama bustani na ufugaji. Changamoto yake kubwa ni security. Maeneo kama hayo yanakuwa hatari hasa wakati wa usiku kwa sababu hakuna watu wengi. Kuishi maeneo kama hayo inatakiwa mtu uwe na uwezo mkubwa. Vitu kama gharama za usafiri visiwe issue, na uwe na ulinzi madhubuti (japo majambazi wakidhamiria wanakuwa huru zaidi kwa sababu ya kukosekana msaada wa haraka). Miaka ya nyuma kuna jamaa mmoja alijenga karibu na shule ya Bunju B. Watu wengi walikuwa wanamcheka na kusema amehamia porini. Leo hii hakuna anayemcheka na eneo limekuwa mji. Ushauri wangu: Hayo maeneo ni mazuri na siyo muda mrefu sana kutakuwa mji wenye watu wengi. Kama huna shida sana usiuze. Tafuta mbinu nyingine tu za kujikwamua na baadae utaona faida yake.
Usiwaige hao watanzania wenye asili ya kiasia...tukio la kutaifishwa nyumba zao mwaka 1967 Hadi 1970 liliwaumiza kisaikolojia...hawana hamu ya kujenga nyumba Tena..halafu baadhi yao wana pasipoti mbili...Mbona wahindi hawajuti japo wanakaa maghorofani toka nimekuja mjini miaka ya mwishoni mwa 1980s?