Ni bagamoyo.Maafisa wengi wa TISS wamejenga keregeKerege ipo wapi mkuu?
Nimeuliza tu, natafuta mkuu nikipata nitajenga insha'AllahAcha wivu. Tafuta nawe hela ujenge
Kujenga muhimu,ila ujiulize unajenga wapi na kwa niniFunzo: Vijana msikimbilie kujenga kama hamjajipanga.
Mawazo ya Graduate jobless anaekaa kwa mjomba wake MbagalaKujenga muhimu,ila ujiulize unajenga wapi na kwa nini
Kerege ni halmashauri ya bagamoyo,ulitakiwa uhamie baada ya kustaafu au kubadili kazi
Halafu sio lazima uje na gari mpaka mjini unaweza kupaki bunju ukachukua daladala mpaka makumbusho au kkoo
Sasa wewe ulieenda kujenga bagamoyo kazi unafanya posta,gari unayotumia ni crown athlete na unalazimisha kuja nayo mjini tukuone,unatofauti gani na jobless wa mbagala kwa mjomba wakeMawazo ya Graduate jobless anaekaa kwa mjomba wake Mbagala
Nimeuliza tu, natafuta mkuu nikipata nitajenga insha'Allah
Mkuu bado hujamalizia hapo[emoji23]na asubuhi wakati wakuja posta barabara ya ununio kunakuwaga na ligi moja matata ni mbio mbio sasa huyu jamaa lazima alalamike maana wese linaishia kwenye ligi.Sasa wewe ulieenda kujenga bagamoyo kazi unafanya posta,gari unayotumia ni crown athlete na unalazimisha kuja nayo mjini tukuone,unatofauti gani na jobless wa mbagala kwa mjomba wake
Halafu anashauriwa analeta nyodo,asubiri usafiri wa boti toka bagamoyo mpaka dar unaanza mwaka huuMkuu bado hujamalizia hapo[emoji23]na asubuhi wakati wakuja posta barabara ya ununio kunakuwaga na ligi moja matata ni mbio mbio sasa huyu jamaa lazima alalamike maana wese linaishia kwenye ligi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fuga nguruwe humo utaongeza hela ya mboga.Wakuu enzi za Neema za Mkwere nilijenga maeneo ya Kerege sasa mambo yalipobana kodi ikanishinda Sinza nikahamia kwangu Kerege asee najuta maana hizo gharama za mafuta zinazidi kodi ya nyumba Sinza (400,000/=).
Bado sijaweka ukuta, vibaka kila mara wanavamia nikiwa kazini mjini nimejaribu kuuza nyumba haiuziki wanunuzi wengi wanadai huku uswahilini sana.
Funzo: Vijana msikimbilie kujenga kama hamjajipanga.
Nyumba hii ndio umemuachia kijana na nguruwe wake au ile picha ya mwanzo?
View attachment 1337838
Panda daladalaWakuu enzi za Neema za Mkwere nilijenga maeneo ya Kerege sasa mambo yalipobana kodi ikanishinda Sinza nikahamia kwangu Kerege asee najuta maana hizo gharama za mafuta zinazidi kodi ya nyumba Sinza (400,000/=).
Bado sijaweka ukuta, vibaka kila mara wanavamia nikiwa kazini mjini nimejaribu kuuza nyumba haiuziki wanunuzi wengi wanadai huku uswahilini sana.
Funzo: Vijana msikimbilie kujenga kama hamjajipanga.
Anunue noaUza Gari nunua Bajaji wakati wa kuja kazini unabeba abiria na wakati wa kurudi.Week end unafanya biashara na kupeleka watu Kanisani.Huko ujafuga ndege kama kuku n.k?
Sinza mvua ikinyesha ni takatakaNina ushuhuda: Pale Sinza, miaka ya nyuma kulikuwa ni pori. Chuo kikuu enzi hizo wakachukuwa eneo kubwa na kuwagawia ma-lectrurers wao. Kuna waliokataa wakasema ''huku porini kwenye madimbwi ya maji ni nani atakuja kukaa huku. Leo hii Sinza imegeuka na kuwa eneo tofauti kabisa. Hapo ulipozunguzumzia Sinza makaburini na maeneo yote ya karibu yalikuwa na pori na ndiyo kisa cha kuyafanya yawe sehemu ya kuzikia.
ukijenga maeneo kama hayo inatakiwa uwe na ulinzi na shughuli zako zisiwe mbali na kwako pia uwe na familia ambayo muda mwingi inakuwa ipo nyumbani.Karibia 8kms kutoka lami - Bagamoyo Rd.