Naanza kuwaelewa wahindi kwa nn hawahami city centre na akaunti zimetuna benki. Watoto wanasoma UK na Canada, Duka lipo mita chache toka nyumban kwake
Really,?Karibuni Kerege. Kitimoto kilo TZS 4,000/=
Wahindi hawajajenga na maendeleo Kama yoteUkijenga NYUMBA YAKO hakuna UMBALI...VUNJA MIFUPA MENO BADO IPO...Leo unaweza KUJENGA NYUMBA...ksho Maisha yanabadilika,,,UTASHINDWA KUNUNUWA JAPO KITASA CHA MLANGO....wapo WENGI walishindwa KUJENGA KWA KISINGIZIO CHA UMBALI...Leo WANASHINDWA HATA KULIPA KODI YA CHUMBA KIMOJA....WEWE JENGA NYUMBA hata kama HUTOISHI HAPO ...MAENDELEO YATAKUFATA...
Sent using Jamii Forums mobile app
...Aliyekwambiya hawajengi nani?Wahindi hawajajenga na maendeleo Kama yote
...Aliyekwambiya hawajengi nani?Wahindi hawajajenga na maendeleo Kama yote
Ila joshua ww ni msumbufu mara kerege mara mjini[emoji23][emoji23][emoji23]tulia kerege mdogowangu mambo yatajipa tu utazoeaNimerudi Kerege kusikilizia
Huu ni ushauri mubashara japo kwa wabongo ni ngumu sana.!Uza Gari nunua Bajaji wakati wa kuja kazini unabeba abiria na wakati wa kurudi.Week end unafanya biashara na kupeleka watu Kanisani.Huko ujafuga ndege kama kuku n.k?