cadey
JF-Expert Member
- Oct 14, 2014
- 1,455
- 4,419
Lakini Congo zamani nakumbuka vitenge vilikuwa bei rahisi zaidi kuliko Tanzaniahv wanatoa china au kigoma?. kuna mtu ashawahi nambia kwamba vitengr vinatoka kgoma,kgoma wanatoa burundi na congo!! sjui n sahh?