Wakuu enzi za Neema za Mkwere nilijenga maeneo ya Kerege sasa mambo yalipobana kodi ikanishinda Sinza nikahamia kwangu Kerege asee najuta maana hizo gharama za mafuta zinazidi kodi ya nyumba Sinza (400,000/=)...
PoleniUsalama ni changamoto isiyo na solution ya kuaminika. Kuna jamaa alikuwa maeneo hayo, ana uwezo, ameweka ukuta wenye nyaya za umeme na ving'ora na mbwa ndani lakini bado alikuwa target ya majambazi mara kwa mara. Mara wamtegeshee wakati anaingia kwenye geti au wakati mwingine waje mchana.
Kerege ipo wapi mkuu?
Mwache akabanane huko karibu na mjini, kama ndio mahesabu mazuri atajua huko baadaye, binafsi naona anatapatapa, kafanya la maana kupitiliza ghafla kaleta ujana, uamuzi ni wake majuto baadaye..Alokuambua kerege ni uswahilini ana akili kama zako.
Nyumba ujenge mwenyewe, utuwekee na mipicha huku huwezi kua timamu
Mtu atoke Kerege akaishi Kigogo, Mwananyamala?Hapo cha kukushauri ni kuwa kama unaweza hapo kwako Kerege usipauzi,bali uza gari nadhani huwezi kukosa milioni 10 hadi 15,nenda kacheze na madalali wa mahakama kisha waelezee nyumba uitakayo kwa bei iyo,Utapatiwa zile nyumba za Urithi ambazo kwa hela iyo ya milioni nane hadi 15 unapata sehemu tu nzuri kama kigogo,Mwananyamala,ama buguruni
Sijaona popote ulipotaja bei mkuu. Kama upo serious itakua vyema ukitaja bei na ukaongezea na taarifa muhimu kama idadi ya vyumba n.kWeka day hapa hapa hamna haja ya PM
Sijaona popote ulipotaja bei mkuu. Kama upo serious itakua vyema ukitaja bei na ukaongezea na taarifa muhimu kama idadi ya vyumba n.k
Nimehisi hivyo pia mkuuAtaje bei wkt ni story ya kutunga tu hio.
Mkuu joshua_ok kama hiyo nyumba bado ipo sokoni tafadhali nicheki pm tuongee biashara
Huu uzi nilichelewa sana kuuona mkuu, hivyo nadhani labda ni kwa sababu sikupitia comments zote nikachkulia ni ishu serious. Nimejifunza kituJamaa ana changamsha genge we unamchukulia serious.?