Najuta kuhamia kwangu Kerege

Pale Centre full uswazi. Kuna jamaa wa bodaboda alidai eti Kama nataka mademu wazuri wa kisomali twende pongwe (toka Tanga Mjini). Tumefika pale ujinga-ujinga tu
Pale center hakuna pale pamejaa kiswazi

Wenye hela zao wanajenga mbele kule
 
Hii ndo nyumba yenyewe ?
 
Tunauza mbao kwa bei ya jumla.Njoo ofisini kwetu TEGETA tukuhudumie kwa gharama nafuu sana:-
2*2 fut12=2500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=4500
1*8 fut12=8000
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=13000
1*10fut 18 fisher board( treated)=15500
2*4 fut18(treated)=9500
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu
 
Yaani ukishazoea gari jamani kurudi kwenye daladala inabid wito haswa!
Mie mbona napiga mix sana tu. Itune akili yako tu. Mie kuna siku napanda public na baadhi ya siku natoka na baby walker yangu. Inasaidia sana kumix.

Maana mie home kazini natumia wese la 15,000/= (kwa wiki ni 75,000/=) but nikibalance na public nasave sana tu tu; ile rush hour nakula vichwa kwa buku mbili mbili (naingiza 12000 to and fro).

if you can tafuta vichwa vya kudumu (hasa wale wasiopenda bugudha za public transport) then utasave kidogo.
 
Inawezekana boss....sema kuna kauraibu tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…