Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Mbele ya pongwe mzee sio pale pongwe centerPongwe kwa Wachawi?
Kule kwenye majumba mapya yanayojengwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbele ya pongwe mzee sio pale pongwe centerPongwe kwa Wachawi?
Yeah mzeeNi karibu na ule mji wa NSSF?
Hahaha kwamba, anachangamsha genge..!Ataje bei wakati ni story ya kutunga tu hio.
Pale Centre full uswazi. Kuna jamaa wa bodaboda alidai eti Kama nataka mademu wazuri wa kisomali twende pongwe (toka Tanga Mjini). Tumefika pale ujinga-ujinga tuMbele ya pongwe mzee sio pale pongwe center
Kule kwenye majumba mapya yanayojengwa
Pale center hakuna pale pamejaa kiswaziPale Centre full uswazi. Kuna jamaa wa bodaboda alidai eti Kama nataka mademu wazuri wa kisomali twende pongwe (toka Tanga Mjini). Tumefika pale ujinga-ujinga tu
Hahahah mzee Mimi pia nilimvua mtu hiki kiwanja kwa 6M miaka 6 iliyopita enzi hizo hapakuwa na umeme na hapakupimwa8m Bei imesimama sana. Nataka kudalalia angalau na mm nipate Cha juu
Kuna mshikaji wangu alipiga nyundo mjengo wote hapo kerege hadi sasa unaitwa mjengo wa nyundo ila kuibadilisha ila kuhamia hataki.Kerege Ni bata
Doh.. Ni mwendo kiasi chake, that's why kuuza inakuwa ngumu.Karibia 8kms kutoka lami - Bagamoyo Rd.
Mkuu, hiyo biashara yako ni makini. Inatamanisha...mwee huyo laki 2 mm naipata kwa siku 1!nah!
Labda bajaj.. pikipiki daily, hatachelewa kuvishwa P.O.Panaweza kununua kapikipiki kadogo kakamtoa huko kerege hadi Tegeta nyuki, anakawekesha anapanda daladala yake hadi town. Ila kuamka ni saa 11 kama ameajiriwa
Ni ya misimu thou ni nzuriMkuu, hiyo biashara yako ni makini. Inatamanisha
Hii ndo nyumba yenyewe ?Wakuu enzi za Neema za Mkwere nilijenga maeneo ya Kerege sasa mambo yalipobana kodi ikanishinda Sinza nikahamia kwangu Kerege asee najuta maana hizo gharama za mafuta zinazidi kodi ya nyumba Sinza (400,000/=).
Kutokana na sasa hela kuwa ngumu nimeweka ukuta mfupi, vibaka kila mara wanavamia nikiwa kazini mjini nimejaribu kuuza nyumba kupitia kwa madalali na Zoom haiuziki wanunuzi wengi wanadai huku uswahilini sana.
Funzo: Vijana msikimbilie kujenga kama hamjajipanga.
View attachment 1334943
Mie mbona napiga mix sana tu. Itune akili yako tu. Mie kuna siku napanda public na baadhi ya siku natoka na baby walker yangu. Inasaidia sana kumix.Yaani ukishazoea gari jamani kurudi kwenye daladala inabid wito haswa!
Inawezekana boss....sema kuna kauraibu tu...Mie mbona napiga mix sana tu. Itune akili yako tu. Mie kuna siku napanda public na baadhi ya siku natoka na baby walker yangu. Inasaidia sana kumix. Maana mie home kazini natumia wese la 15,000/= (kwa wiki ni 75,000/=) but nikibalance na public nasave sana tu tu; ile rush hour nakula vichwa kwa buku mbili mbili (naingiza 12000 to and fro).
if you can tafuta vichwa vya kudumu (hasa wale wasiopenda bugudha za public transport) then utasave kidogo.