Najuta kuhamia kwangu Kerege

Najuta kuhamia kwangu Kerege

Mfano we Manengelo unatengeneza laki 2 kwa siku. Hiyo ni sawa kabisa kulingana na mipango uliyofanya, mazingira uliyokutana nayo, fursa, connection, na akili yako ya biashara. Je, ni kila mtu ana akili, fursa na mazingira kama hayo? Je, ni sahihi kumuona ambae hatengenezi laki 2 kwa siku kuwa ni mjinga, au ni mvivu? Je, hapo unapofanyia biashara zako, watu wote wanaofanya biashara kama hiyo nao wanaingiza laki 2? Sasa mambo kama haya watu hawayazungumzi, wanachukulia kijuu juu tu kwamba sisi tusio na hela tunaokimbilia kujenga ni wajinga, bora tufanye biashara!


Sio wajinga..nadhan hapa unachobishania na mwenzako ni vipaumbele...!kila.mtu na kipaumbele chake..mwingine kipaumbele chake ni kumiliki.gari kali..mwingine kipaumbele ni kusave hela..kila mtu na maono yake!
 
Akishakua kwake kwa vyovyote kuna hela nyingi atakua anaokoa

atakapogundua sasa napata shida ya ku socialize na ndugu,jamaa na rafiki akili itapanuka atawaza (solution)

akigundua shida ni foleni nadhani atapata wazo la kununua Piki Piki aweke hapo nyumbani

mara moja moja unachelewa kuamka unawaona watoto then unaenda kazini Kwa piki piki atapenya popote

kama ni kurudi anaweza kuamua siku kaenda na piki piki akawahi kurudi Chap saa mbili yupo Ndani

kwa vyovyote vile akiishi kerege hawezi tegemea Gari tu lazima awaze njia nyingine rahisi ya kumuwezesha

Kuwahi kufika kazini na kuwahi kurudi nyumbani, Akiweza ku master hilo game ataweza kuishi popote pale.
Mi mzee nmejenga huku mwandege kilindoni..nmewaza hapa nanunua boxer nampa mtu mkataba asubuh na jioni ananipeleka kituoni..mchana anafuata mtoto shule halafu aniletee 10 kila siku sacrifice nyengine lazima zijitokeze kama mzazi.., huwezi ogopa kukaa kwako kisa eti hutamwona mtoto..sasa weekend za nn
 
Sio wajinga..nadhan hapa unachobishania na mwenzako ni vipaumbele...!kila.mtu na kipaumbele chake..mwingine kipaumbele chake ni kumiliki.gari kali..mwingine kipaumbele ni kusave hela..kila mtu na maono yake!
Kipaumbele kumiliki gari kali....dah watanzania bana..na kununua simu ya million 2 na kua na account instagram...utaishije mjini hujamsoma mondi..na kuweka heshima bar kwa kuagiza six packs ...mbona tutaheshimiana tu.....hiki swala linamfanya nimweshim mau ingawa sio mwanachama wa chama chochote.....aendelee kukaza tu watanzania tutaamka na kujua priority ni zipi katika maisha
 
Halafu watu manakaa MAPINGA na wanapiga kazi mjini. Ni mipango tu na wala sio mbali kihivyo. Na soon mwendo kasi nayo itakuwa road ya tegeta hakutakuwa mbali kihivyo kama watu wanavyofikiri.
Ni mbali tu
 
Sio wajinga..nadhan hapa unachobishania na mwenzako ni vipaumbele...!kila.mtu na kipaumbele chake..mwingine kipaumbele chake ni kumiliki.gari kali..mwingine kipaumbele ni kusave hela..kila mtu na maono yake!

Haswaaaaa sasa tunaanza kwenda sawa. Na vipaumbele hivyo vinategemea na mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na uwezo wa mtu kufikiri, mazingira yanayomzunguka, fursa, uzoefu wa nyuma nk. Mpaka mtu kufika mahali akaona bora kujenga kuliko kufanya biashara, mtu huyo si mjinga! Amesha angalia akaona hicho ndio anachoweza kufanya kwa wakati huo. Sasa wewe ukianza kumshangaa maana yake wewe ndio una matatizo kwa kudhani kila mtu anawaza kama wewe au ana uwezo wa kufanya biashara kama ulio nao wewe!
Yaani ni sawa na leo Diamond Platnumz aje hapa kwenye huu uzi aanze kutushangaa sisi tunaoingiza laki mbili kwa siku na kutuona wajinga, kwamba kwanini nasisi tusiimbe mziki kama yeye tukaingiza milioni kumi kwa siku?
 
Hiyo hela sinunui kiwanja kibaha hata siku moja. Labda hela ya bwerere
Sasa mkuu tofali 219 zimeongeza nini kwenye kiwanja cha 85M..?

Lengo lako kuzitaja hapa ni lipi, kwamba ndo zilichangia kukushawishi ununue au vipi.... ni kama 200k tu hizo kununua.

Hongera kwa kununua kiwanja bei kubwa Maili Moja.
 
Mkuu pole sana ila aina namna, nina braza yangu nae kajenga huko kerege kutoka road mpk ufike kama kilometa moja na nusu sema ndio mambo ya dodoma ikabidi aamie huko sema mji utakuwa tu komaa
 
Kutoka barabara kuu mpaka kwake alikojenga mtoa post ni km 8. Kaka yako km moja na nusu huoni tofauti hiyo
Mkuu pole sana ila aina namna, nina braza yangu nae kajenga huko kerege kutoka road mpk ufike kama kilometa moja na nusu sema ndio mambo ya dodoma ikabidi aamie huko sema mji utakuwa tu komaa
 
Haswaaaaa sasa tunaanza kwenda sawa. Na vipaumbele hivyo vinategemea na mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na uwezo wa mtu kufikiri, mazingira yanayomzunguka, fursa, uzoefu wa nyuma nk. Mpaka mtu kufika mahali akaona bora kujenga kuliko kufanya biashara, mtu huyo si mjinga! Amesha angalia akaona hicho ndio anachoweza kufanya kwa wakati huo. Sasa wewe ukianza kumshangaa maana yake wewe ndio una matatizo kwa kudhani kila mtu anawaza kama wewe au ana uwezo wa kufanya biashara kama ulio nao wewe!
Yaani ni sawa na leo Diamond Platnumz aje hapa kwenye huu uzi aanze kutushangaa sisi tunaoingiza laki mbili kwa siku na kutuona wajinga, kwamba kwanini nasisi tusiimbe mziki kama yeye tukaingiza milioni kumi kwa siku?


Ni sawa mkuu...lakini kuna mishe nyingine huenda hukua unajua .ukazijulia hapa! Hii ni platform ya kujazana mambo mazuri
 
Ni sawa mkuu...lakini kuna mishe nyingine huenda hukua unajua .ukazijulia hapa! Hii ni platform ya kujazana mambo mazuri

Ni kweli kabisa, tatizo bana Mane hizi mishe za mitandaoni nazo ni zakua nazo makini sana. Baadhi ya watu sio wakweli na wanakuza sana mambo plus kutoa taarifa nusunusu. Kiasi kwamba unaweza kuta watu wanajadili humu kuhusu ishu fulani kwamba inalipa, sasa wewe ukadhani ni ishu simpo tu ukaenda kuijaribu na wewe bila utafiti wa kina. Weee.. unachezea za uso na vihela vyako vinapepea fastaa unarudi ukiwa na hali mbaya kuliko uliyokua nayo hapo kabla..!
 
Ndugu katika maisha ukisema uige mtu husogei....nmchukua mkopo nkatoa kitu mwandege navutia kasi tu mwendokasi uje wakati now nakula daladala zangu mwandege posta...i..wakati kuna jamaa zangu walibeba mkopo wakanunua harrier tako la nyani now linawala tu mafuta.....watu wanapiga kelele za kupanga nyumba sinza sijui tabata hawajui hizo ni investmwnt za wajanja miaka 20 nyuma na miji inakua kwa kasi.....nakumbuka maza alinambia mbezi beach pale makonde tu walikua wanalazimishwa kununua kiwanja...mwisho wa siku akili ya kuazima changanya na yako
Mkuu.. hivi mwendokasi itafika hadi Mwandege?
 
Usikariri, kama kwako hayaendi usifikiri hayaendi kwa wote.
Usikaririshwe, mfano mdogo tu, angalia sasa hivi namba za gari zimefikia herufi ipi.
Hadithi za Shigongo hizo
toka Mkwere atoke namba bado tupo D sijaiona hiyo E
ww ulisema umelipa 75M nikakuambia ni uongo km kweli ungeniambia na Kodi yake ngapi au uliitoa Benki gani bila Querry
Mkuu kwa taarifa yako sasa hv huko nje hela zinapatikana vzr tu!usikariri
Nje ipi hiyo wakati Ngada imefungiwa ni biashara ipi huyo Dogo kaingiza kwa mwezi 75M
unajua kuna kipindi kati ya utoto-ujana kabla ya uzee mtu anakuwa na ndoto za kufikirika hasa katika maisha ya biashara, hata mwendo atabadili licha ya maisha
ktk somo la Biashara kuna terms inaitwa petty bourgeoisie naona ni kifaransa lkn tafuta maana yake ipo hata Google
 
Back
Top Bottom