Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Hahaa kweliZikihama kwa muda ....utaitafuta mwenyewe daladala ama bajaji!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa kweliZikihama kwa muda ....utaitafuta mwenyewe daladala ama bajaji!!
Kwan kupanda daladala je??Nimepata cjumba kimoja Kinondoni ndo naishi weekdays
Sister ninashida na wewe, naomba unicheki PM.Ushauri mzuri pia...ww ni mtu wa 2/kuongea hv...kuna boda amenishauri hii kitu...kahama to ushirombo🤔!
We muache tu maana jicho la MUNGU aliyemuwezesha kujenga anamuona,subiri apokonywe utaona tu kilio chake,watu wanafanya kazi Arusha wanaishi Kilimanjaro kijijini,watu wanafanya kazi Mwanza mjini wanaishi Misungwi na Sengerema yeye analeta urembo kwenye maamuzi sahihi ya MUNGU juu ya maisha yakeMkuu shukuru hata umejenga japokuwa ulikuwa hujajipanga, ila naamini ulijipanga ndo maana ukajenga....kuna vijana hata chumba cha kupanga ni utata..
Unaweza tu mkuu sema maisha ya kuigiza ndo yanatuharibu sana waTanzaniaYaani ukishazoea gari jamani kurudi kwenye daladala inabid wito haswa!
Unaweza tu mkuu sema maisha ya kuigiza ndo yanatuharibu sana waTanzania
Ukiigiza utataka kumfurahisha mtu baki ndo shida hapo!hujanielewa...kuna kauraibu fulani hv ukishazoea gari..point hapa sio kumuogopa jiran au marafiki watanisamaje!...!walozoea magari walishaelewa
Binafsi huwa sioni shida kuacha gari na kupanda daladala, maisha yangu nimejijengea kuwa flexible sana. Hivyo katika hilo inategemea na mind ya mtu.
Ukiigiza utataka kumfurahisha mtu baki ndo shida hapo!hujanielewa...kuna kauraibu fulani hv ukishazoea gari..point hapa sio kumuogopa jiran au marafiki watanisamaje!...!walozoea magari walishaelewa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]acha kuchukulia serious sana jf utaugua vidonda vya tumbo.[emoji1][emoji1][emoji1]
Kuacha gari yako na kugombea bus la kawe mbagala au gongolamboto masaki hata uwe na mind ipi si kitu rahisiBinafsi huwa sioni shida kuacha gari na kupanda daladala, maisha yangu nimejijengea kuwa flexible sana. Hivyo katika hilo inategemea na mind ya mtu.
Haya ndo mambo wanajf tunapenda zaidi kusikia!all the bestNimerudi kwenye chumba kimoja kinondon
Asante Mkuu nakaa Kinondoni kuanzia j2 using mpaka ijumaa usiku narudi Kerege. Kukwepa following/umbali was Posts-Kerege
Mkuu mm ni Sharo sana mtu wa mademu sana. Noma wakiniona kwenye daladala na nilishawaambia nimejenga Mbweni.