Najuta kuhamia kwangu Kerege

Najuta kuhamia kwangu Kerege

Mkuu...neema inakaribia, bagamoyo si inaeza zinduliwa tena,...baso unanung'unika?
 
Kama mtu ni educated anaweza hata kutembea kwa mguu, ila kama ameenda shule lakini hakuelimika itakuwa ngumu. Maisha wengi yanawashinda kwa kutokuwa na ujasiri wa kujishusha wakati hali inakushusha. Wewe unan'ang'ania juu mpaka tawi linakatika unadondoka ndii. Kama ni kijana let say 30s au 40s anaweza kununua kapikipiki kadogo kakamtoa huko kerege hadi Tegeta nyuki, anakawekesha anapanda daladala yake hadi town. Ila kuamka ni saa 11 kama ameajiriwa
Kweli kabisaa pikipiki ni nafuu mafuta lita moja kwa 40km haadi 50 yaani kita 2 tu anaenda job town na kurudi kwake mapinga kerege sema sasa huo ujasiri wengi hatuna ila mimi naweza
 
Ubarikiwe, ushauri bora kabisa huu. Mimi nimejenga kibamaba sasa natamani kuhamia kongowe soga maana hapa pamekuwa mjini sasa. Asiuze atakuja kujuta daima.
Hapo kongowe soga ni eneo pontential sana ..nna plot maeneo hayo nasubir watu wajenge jenge kwanza ndo ntaanza na mimi
 
Watu wengi hawana maarifa yakutosha na mikoani, ukiwa na hela yako nzuri Kwenye real estate ni vizuri kuwekeza huko. Mimi binafsi naona kuwa dar imejaa huwezi pata eneo la maana kwa bei nafuu
Ni kweli kabisa
 
Haya ni majuto ya Muda tu, najua baadaye utakuja kujishikuru mwenyewe, watu mnakosa uvumilivu, inaonekana wewe hunashukrani kwa Mungu kama uliweza kujenga nyumba hii, kikweli hupaswi kulalamika mafuta ya 400k otherwise ulikurupuka au hukaa chini ukapiga gharama
 
Yaani hapo kerege unaona mbali Mimi nipo kibaha kwa mfipa na kutoka hapo kwa mfipa mpaka kwangu 6km ,natoka kwangu Asubuhi na kipikipiki changu nakuja hadi morogoro road naiacha hapo sheli napanda daladala naenda town nikirudi naichukua narudi home kwenye hewa safi
Mna moyo aisee.
 
Wakuu enzi za Neema za Mkwere nilijenga maeneo ya Kerege sasa mambo yalipobana kodi ikanishinda Sinza nikahamia kwangu Kerege asee najuta maana hizo gharama za mafuta zinazidi kodi ya nyumba Sinza (400,000/=).

Kutokana na sasa hela kuwa ngumu nimeweka ukuta mfupi, vibaka kila mara wanavamia nikiwa kazini mjini nimejaribu kuuza nyumba kupitia kwa madalali na Zoom haiuziki wanunuzi wengi wanadai huku uswahilini sana.

Funzo: Vijana msikimbilie kujenga kama hamjajipanga.

Yan una eneo kubwa lakin the way ulivyokenga ukiweka hata banda la kuku hap unahari show nyumba ipo nyuma sana ungeivuta mbele nyuma uweke mamb mengn
 
Yeah..inategemea na mind ya mtu aisee!na inategemea sehem ulipo..dar coaster zinakimbia fresh unawah fika..mikoa mingine kila nyumba anasimama kusubiria abiria..anashusha popote pale...anaweza akaweka kambi kbs kumsubiria mtu mmoja!unajikuta umetumia zaidi y lisaa kufika mjini!nehi!
Kweli kama dom mchana unaweza kulia
 
Hongera
Wakuu enzi za Neema za Mkwere nilijenga maeneo ya Kerege sasa mambo yalipobana kodi ikanishinda Sinza nikahamia kwangu Kerege asee najuta maana hizo gharama za mafuta zinazidi kodi ya nyumba Sinza (400,000/=).

Kutokana na sasa hela kuwa ngumu nimeweka ukuta mfupi, vibaka kila mara wanavamia nikiwa kazini mjini nimejaribu kuuza nyumba kupitia kwa madalali na Zoom haiuziki wanunuzi wengi wanadai huku uswahilini sana.

Funzo: Vijana msikimbilie kujenga kama hamjajipanga.

Hongera kwa kujenga!Kila jambo lina faida na hasara zake!Kumbuka kwa kuwa na nyumba kumekuongezea sifa lukuki!Epuka kuangalia upande mmoja tu
 
Hongera

Hongera kwa kujenga!Kila jambo lina faida na hasara zake!Kumbuka kwa kuwa na nyumba kumekuongezea sifa lukuki!Epuka kuangalia upande mmoja tu
Kabisa kabisa.
Asije kuishia kama mimi hapo chini! 😣😥😭😖
Screenshot_20221004-080034.png
 
Uzi wa kibwege Sana huu.

Umejenga unajilaumu nini Sasa

Kerege ya 21 si ya 25 bana acha urofa
 
Back
Top Bottom