Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu

Bwana mdogo everything comes at a cost. Omba Mungu akuepushe na majuto ww bado ni mdogo ungeweza kupambana tu na maisha kivyako.
 
 
duuh huu ni ujinga kwanini utaje kwa usahihi kumhusu kwa nini kwanza uthubutu hilo, ni vema akumalize kabisa kwa huu upuuzi
 
Kwani kujitoa sh ngap?
 
Boss wa nadharia.
Wakishashiba ubwabwa wa dezo wakapata vichenji vya bundle basi huweka matamanio yao yote katika vijistory vya kuunga unga.
 
Sasa ni muda wa kubalance kwa kujirahisisha kwa JIBABA LA BENKI KUU
 
Wanaume wa hovyo kabisa wanaongezeka kwa kasi....... unalishwa na mwanamke na kufanywa mtumwa bila aibu unaleta post hapa!!!
 

Siku hizi sio watoto wa kike tuu wanalelewa na wazee; wa kiume wanakaribia kushika nafasi ya juu

Mungu akiokoe kizazi chetu
 
Umepata kazi bado unalialia tu fanya kazi ww
 
Siku hizi sio watoto wa kike tuu wanalelewa na wazee; wa kiume wanakaribia kushika nafasi ya juu

Mungu akiokoe kizazi chetu
Kazi hamna sistangu, elimu tunayo, ila hatuna mitaji tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…