Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna anunue kadogoRudi tu kwenye suzuki alto huku ulienda mbali sana achia wenye hela
ndo hako ka alto katamfaa kiwese cha bodaboda...wabongo wengi wananunua magari wasiyoweza kuyahudumia matokeo yake watoto nyumbani badala ya kula lishe kamili wanakula UGALI MAHARAGWE daily huku baba akinunua malita ya petroli ambayo hana uwezoHamna anunue kadogo
Nilijichanganya kwa ushauri kutoka kwa Mafundi uchwara. Nilinunua Toyota Harrier 2990cc Petrol ukiweka Lita 10 kutoka Kimara mpaka Kariakoo taa inawaka. Naliuza kwa 17m TZS Ila wateja hawarudi.
View attachment 2124934
Uendeshaji mbovu.. Cheza na RPM utalifaidi gari lakoNilijichanganya kwa ushauri kutoka kwa Mafundi uchwara. Nilinunua Toyota Harrier 2990cc Petrol ukiweka Lita 10 kutoka Kimara mpaka Kariakoo taa inawaka. Naliuza kwa 17m TZS Ila wateja hawarudi.
View attachment 2124934
Lita 46 Dar mpaka Moroo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] shwetaniiii kabisaaaa.HYO GARI ITAKUWA NA SHIDA.
MIMI NINAYO NIMEINUNUA LAST YEAR MWEZI WA 6. REG DWE.
ULAJI WA MAFUTA NI WA KAWAIDA TU.
MJINI LITA MOJA KWA KM 9 NA SAFARINI LITA 1 KWA KM 12.5 MBAKA 13.
UKITAKA KUIELEWA GARI YAKO ITUNZE VIZURI IFANYIE SERVICE YA KUTOSHA.
NJOO MOROGORO MJINI HAPA NIKUPE UFANYE TEST KAMA NAKUDANGANYA NARUDISHA FEDHA YAKO.
LITA 46(FULL TANK) NATOKA MORO NAENDA DAR NAZURURA SIKU 5 NDIO NAJAZA TENA MAFUTA KURUDI MOROGORO.
FULSA.
MWENYE CASH ANITAFUTE NIMUUZIE. AU MWENYE GARI YA WATU 7 MBAKA 10 AJE TUFANYE EXCHANGE NATAKA KUINGIA KWA BIASHARA YA USAFIRISHAJI SAIZI.View attachment 2167605View attachment 2167606
Siyo kweliToka Posta mpaka Mlandizi ni km 40+
Manake lita 10 za gari yako zingetosha kufika kama ingekuwa inakula 1l/4km.
Toka kimara mpaka kkoo ni kama 20km. Manake kwa lita 10 zako inatumia 1l/2km?
Kwamba VXR yenye 5.7l inakula mafuta vizuri kuliko harrier yako yenye 3l?
Something must be wrong, unless unakuza mambo.
Cha ajabu fundi anayekushauri hana hata pikipiki.Nilijichanganya kwa ushauri kutoka kwa Mafundi uchwara. Nilinunua Toyota Harrier 2990cc Petrol ukiweka Lita 10 kutoka Kimara mpaka Kariakoo taa inawaka. Naliuza kwa 17m TZS Ila wateja hawarudi.
View attachment 2124934
Ha ha jaCha ajabu fundi anayekushauri hana hata pikipiki.
Ni gharama kuliko kukodi Uber au BoltNilijichanganya kwa ushauri kutoka kwa Mafundi uchwara. Nilinunua Toyota Harrier 2990cc Petrol ukiweka Lita 10 kutoka Kimara mpaka Kariakoo taa inawaka. Naliuza kwa 17m TZS Ila wateja hawarudi.
View attachment 2124934
Huu msemo tuliuasisi Sumbawanga na kina Shekivuli.
Kama bado unalipenda badilisha engine...Nilijichanganya kwa ushauri kutoka kwa Mafundi uchwara. Nilinunua Toyota Harrier 2990cc Petrol ukiweka Lita 10 kutoka Kimara mpaka Kariakoo taa inawaka. Naliuza kwa 17m TZS Ila wateja hawarudi.
View attachment 2124934