Najuta kumkaribisha demu wangu JF

Kifupi ameisha megwa....kama kumgegeda sikunyingiiiii!!!!! ila wewe mpaka anakupa no unajua kawapa wangapi?
 
hakuna mtu hapo! Biashara huria.....
 
Sasa unachoogopa n nn?? Huyo cha wote hata co wa kumueka kwenye kundi la mpz, ndo maana umemuita dem ana matendo ya kidem dem we kakutane nae mmalizane

Hahahaa haaaa uwiii Yaani nimecheka
mama la mama bana
 
duh pole, ila inaonekana unampenda sana, me nafikiri mueleze ulichogundua na ambavyo umesikitishwa na kukosa kabisa imani nae, then majibu yake baada ya hapo ndo yatakupa kusuka au kunyoa

Dah aweke tu mtego then ndo umwambie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…