Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mbona umeniibia swali langu??? Nataka nijue kama nimeshamkagua then ntakuachia huyo jamvi la wageni.
muulize Nicas Mtei atakujibu kwa uzuri swali lako
Si ushasema ni demu tu sasa kama unataka kujua yaliyomo weka appointment na akija jidai we kama vile umepita hapo kumcheki mshikaji wako one time then muulize anafanya nini hapo!!!????
Usikae sana muage timka yeye akiwepo uone reaction yake then mtumie text kuwa arudi home as umekamilisha zoezi lako!!!!!!!
Halafu fanya yauridhishayo moyo wako sababu ukweli utakuwa nao!!!!!!!
Huyo muulizaji akishajua jinsi yako atafaidika nn?
nashangaa na mie baba kijacho
muulize nicas mtei atakujibu kwa uzuri swali lako
Inshallah mungu aniepushie, lakini kama ukweli ushaujua chakukufanya ukazimia kipi? shukuru umeshajua ukweli sasa akili kichwani mwako kama kuendelea nae na huku ukijua wako wenzio au jipange upya..Samahani ikiwa nimekukwaza nika nia safi tuu nimeongea..
hili neno "demu" hua silielewi
basi kama vp tumpotezeee.
kama unampenda mwambie ukweli maana yawezekana hakuzoea kutingozwa na watu ovyo sasa anajisahau na kujihisi mzuri kumbe kawaida tuu...mwizi akikamatwa huwa anaacha wizi au anaiba kwa umakini...
hata hivyo umemfuatilia sana jamni...mpka fake ID???????
ni kweli mkuu, hapa ni kufanya maamuzi tu hata bila kumwambia kitu.
Mkuu ukubali tu kuletewa fenesi na kulazimiswa kuwa hapo mlipo hilo ndio linaitwa apple!!!!
Hao ni certified Bazazis