Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,194
- 13,426
Good good.
Shikamoo dada!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good good.
Hapo chachaChakukufanya uzimie nikipi? sasa umekuja hapa kumu alert kua unajua au unamtishia nyau mtumzima mwenzio?
Sasa unachoogopa n nn?? Huyo cha wote hata co wa kumueka kwenye kundi la mpz, ndo maana umemuita dem ana matendo ya kidem dem we kakutane nae mmalizane
hahah huyo dogo anajiita PM modereta. kwa taarifa yako ban unazokula zina mkono wake.
Anatumia jina gani mkuu
Shikamoo dada!
Hebu taja I'd yake ili nijue kama tayari mabazaz Mentor, Asprin, Rogie mwekundu, Mndengereko wameshampitia
Hili nalo neno, sio la kuliacha lipite kama upepo aisee..!
Hahahaa haaaa
nicas mtei, ulijuaje haya mabazazi yasione kichaka
Kuna bazazi umemsahau.
Kuna bazazi umemsahau.
Mtaje fasta kabla mtoa mada hajataja I'd ya demu wake
duh pole, ila inaonekana unampenda sana, me nafikiri mueleze ulichogundua na ambavyo umesikitishwa na kukosa kabisa imani nae, then majibu yake baada ya hapo ndo yatakupa kusuka au kunyoa