Najuta kumkaribisha demu wangu JF

kama unampenda mwambie ukweli maana yawezekana hakuzoea kutingozwa na watu ovyo sasa anajisahau na kujihisi mzuri kumbe kawaida tuu...mwizi akikamatwa huwa anaacha wizi au anaiba kwa umakini...
hata hivyo umemfuatilia sana jamni...mpka fake ID???????
 

Ushauri mzuri!! Kazi kwake
 

Niongezee hapo promiseme; kama yeye anakaribua kukubaliwa kupewa kitu, je, ni wangapi wameisha pewa mzigo? Huyo afai jeki!!
 
Niongezee hapo promiseme; kama yeye anakaribua kukubaliwa kupewa kitu, je, ni wangapi wameisha pewa mzigo? Huyo afai jeki!!

ni kweli mkuu, hapa ni kufanya maamuzi tu hata bila kumwambia kitu.
 
kama unampenda mwambie ukweli maana yawezekana hakuzoea kutingozwa na watu ovyo sasa anajisahau na kujihisi mzuri kumbe kawaida tuu...mwizi akikamatwa huwa anaacha wizi au anaiba kwa umakini...
hata hivyo umemfuatilia sana jamni...mpka fake ID???????

asante kwa ushauri, nimemfatilia ili nifanye maamuzi sahihi, ulitaka nibahatishe?
 
ni kweli mkuu, hapa ni kufanya maamuzi tu hata bila kumwambia kitu.

Hapo alipo kaisha soma hii post, hivyo we anza na mpango wa side B, ukikamilisha piga A chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…