nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,342
- 3,885
weeeeeeeeeeee
hii ni mbegu ya my baba kabisaaaaaaaa tena tunafanana hutofautishi
Arushaone na Lady doctor com zis way
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
weeeeeeeeeeee
hii ni mbegu ya my baba kabisaaaaaaaa tena tunafanana hutofautishi
Akinikana?Arushaone na Lady doctor com zis way
Nimeambiwa kuwa umekidhi vigezo
Mbona unakikataa cheo chako hujui kama kinalipa?
aione my mom Lady doctor
Hee kumbe Lady doctor ana binti mkubwa namna hii!! swali dogo hivi baba yako unamjua?
Arushaone atakuwa kabambikiwa
ulikuwa hujui? Alikuwa nje kimasomo!
khaaaaaaaa naenda kusema kwa mamaaaaaa
naenda seeeeeeeeeeema nikitoka naenda mamaaaaaaaa x2
weeeeeeeee
me ni binti yake originale acha upambe nitonye
Si ushasema ni demu tu sasa kama unataka kujua yaliyomo weka appointment na akija jidai we kama vile umepita hapo kumcheki mshikaji wako one time then muulize anafanya nini hapo!!!????
Usikae sana muage timka yeye akiwepo uone reaction yake then mtumie text kuwa arudi home as umekamilisha zoezi lako!!!!!!!
Halafu fanya yauridhishayo moyo wako sababu ukweli utakuwa nao!!!!!!!
my dear hebu chagua adhabu ya kumpa dadiyo, hata ukisema nimuache nipo tayari my daughter.
Kumbuka babaako huyo wa kambo alimchukua mama yako Lady doctor akiwa tayari mjamzito
Anafaa kukaguliwa huyu ikiwezekana naleta na barua kabisa
usidili na dady asamehewe
ila huyu Karuceee mhamishe kwenye ule msitu uko pande za bunju akakione cha mtema kuni
mzoee huyo mpenzi, ndo kazi yake inayompa rout kwa toilet Lol.
kuchapiwa ni siri ya ndani wewe si mjanja wa jf..Demu wangu hakuwa hata anajua kama duniani kuna jukwaa la JF,
Nikamshawishi ajiunge na akajiunga, tokea ajiunge wanajukwaa wengi wa kiume wamekuwa wakimsumbua sana kwa pm, wakipiga mistari,
Wengine wamefikia hatua hadi ya kumtumia namba za simu, nikitembelea profile yake nakuta vistors kibao wa kiume.
Kama mnavyojua miluzi mingi humpoteza mbwa, ninahofu anaweza nipotea kwa mtindo huu, kinachonitisha zaidi niliamua kutengeneza ID asiyoijua nami nikaanza kumtongoza, kanitumia namba yake na ninachat naye sana na ameshaonesha dalili zote za kunikubali, mtihani ni kuonana naye, naogopa kuweka appointment halafu kweli atokee, nitazimia.