Najuta kumkaribisha demu wangu JF

Najuta kumkaribisha demu wangu JF

ahahha noma sana. embu nigee jina lake na mimi nimtongoze. akinikubalia bas kicheche na hakufai umwache emb twende kaz tuma jina kaka🙂
 
Sema anapatikana wapi nijaze mafuta kwenye mnyama nitokee huyu dem then nitakutonya km chagu piga nyama chini nitupie mawasiliano lkn sura yake inaita?km sio mzuri achana na mimi
 
Na mie natamanije kucheka lol........dada angu kwa umbea siku wakikusuta usisahau kuniambia nije

nikusaidie LOLZ
ha haaa, mdogo wangu huo sio umbea, ni stori tu.
huwaga namsimuliaga stori cacico basi anacheka mwezi mzima, sasa hiyo niliyonayo ni funga kazi. siwezi sutwa mdogo wangu, siyo umbea
 
Last edited by a moderator:
uwiiiiiiiiiii dada nilikupa sababu jana ya kutopatikana kule, ila nimerudi, hebu lete mupya nifeeeeee kucheka!
ha haaa, hiyo ni ndeefuuuuu, itanoga face to face my dear, maana hata kwa simu naona haitanoga sana.......
yaani mbavu zangu sina, kila nikikumbuka nacheka mpaka nakaa chini.....
sasa hubby ananitaniaje!!!! yaani kila akikumbuka ananicall tunaanza kucheka
 
Back
Top Bottom