Najuta kuoa huyu mke wangu Adelina

Kwani kuna mambo ya kanda siku hizi tukio upigwa yeyeto hata uoe wa kanda yako.
 
Kwann ushughulike na nyanya moja iloyooza wakati maelf zipo shambani, wanawake wa siku hizi ujua umuhimu wa ndoa baada ya kuachika. Ukiona mtu umuelewi ishi nae uchumba sugu Ili usiharibu cheti chako. Wanaoishi nao uchumba sugu wanaishi kwa amani kabisa
 
WALE NI UTAMADUNI WAO
Tabia za watu zimebadilika siku hizi wengi shetani mjomba wao,labda upate bahati lakini ni wimbo wa taifa siku hizi.Wanaume wengi wanainama siku hizi hawana amani na ndoa zao wanawake awashikiki,uwe na pesa usiwe nayo moto upo pale pale,thus Wanashinda bar mda mwingi kuliko kushinda home kituo cha police,wanakimbia makelele ya wake zao.
 
Usisahau kumchukua bibie Numbisa mkapumzike wote huko cabo delgado beach
 
Hii ni Chai alafu mpishi jinsi hajui kuandaa chai nzuri kachanganya na viungo vya pilau
 
Khaa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Umejua hadi kinyaki๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ
Shemegi ya Mbeya uliyempata ashikilie hapo hapo.
Huko hata hujawahigi kuwa na shemeji mdogo wangu..labda ile kanda nyingine
 
Kama ni kweli na umethibitisha,piga chini faster kamata Jembe lingine Maisha yaendelee achaa kulialia!!
 
Kuna wadada wanaandaliwa kupigwa hapa jamaa akitangaza Jimbo lipo wazi.
Umeanzia mbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ