Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Usiniambie shemdarling anatokea ile kanda!!hongera mdogo wanguIpi hiyo?
Halafu bwana harusi si wa hukohuko [emoji2096][emoji2096]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiniambie shemdarling anatokea ile kanda!!hongera mdogo wanguIpi hiyo?
Halafu bwana harusi si wa hukohuko [emoji2096][emoji2096]
Acha kustua watu mtakatifuKuna wadada wanaandaliwa kupigwa hapa jamaa akitangaza Jimbo lipo wazi.
Umeanzia mbali.
😅😅😅😅 Shemeji atambulishwagi kwa wahuni ni kutafutiana malawama.. Watu wenyewe tunapokezana tuMi wanangu wa kupuliza na National Anthem hatutajiani mademu zetu. Yaani marufuku kuwajua washemeji.
Hizo story za abunuasi nogesha kijiwe tuWakuu,
Kweli nimeamini hawa viumbe ni nyoka aisee, nimekoma kuoa hawa watu watu kutoka kanda ile ya Kaskazini, hawa wanawake siyo poa kabisa najuta kabisa, dah!
Huyu mwanamke anajikuta ni 'feminist' sana, jeuri, kiburi na dharau juu, sijui kwanini ananifanyia hivi, sijui anajua nampenda sana au sijajua kwanini?
Iko hivi wakuu, jana nimemfuma huyu mwanamke akiwasiliana na mwanaume mwingine simtaji jina, ila nahisi yupo humu humu JF kwa jina jina simtaji.
Huyu jamaa wa humu Jamii Forums anajua na mke wangu toka siku ya kwanza na aliniambia ameshawahi kuwa mtu wake, siku hizo kipindi wanasoma chuo, ila nikapotezea kabisa.
Sasa jamaaa baada ya kuona namsifia humu JF mshikaji akampandia hewani wakaanza kuchati naye sana na nahisi mshikaji amepiga kiboga tayari kwa sababu nimeona kuna ujumbe mmoja anasema, "Ahsante kwa kuniridhisha kuliko mume wangu", dah!
Na huyu mke wangu kumbe ana mimba ya miezi mitatu, kwa maana 'gestation age' ya 12, aisee sasa sijajua hii mimba ya yangu au ya mshikaji mwingine. Aisee jamani ako na sonona hapa na wala sijielewi nifanyeje hapa.
Hawa wanawake wa kichaga sijui wana shida gani, daaah wadau hapa nifanyeje? Na nimempigia mama yake na yeye anaongea utumbo tu. Kuna comment ya mshikaji alicomment niweke akiba ya maneno, hapo nimekumbuka ni kweli hivi viumbe siyo poa kumbe aisee.
Wadau rejeeni kisa cha Samson na Delilah na pia kisa cha Adam na Eva, aloo nyie viumbe Mungu anawaona, kumbukeni kuna maisha baada ya kufa aisee. Nawashauri vijana kabla hamjaoa jaribu kumchunguza huyo mke wako kabla haujafikia hatua ya kumuoa.
Wadau ako na sonona hapa nimeenda kazini tu ila akili yangu haipo sawa, nitaenda kazini kuomba ruhusa kama ya wiki mbili nitadanganya naumwa ili niende nikapumzike fukwe za Ibiza au Hotel Verde zanzibar.
Daaah! 'One man down' aisee.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] anazingua na nyuzi zakeHadi upewe koment kama hii na Mzigua90 ujue umezingua sana.
Binti hanaga makuu huyu
😂😂😂😂 kidukulilo kwenye ubora wako.Wakuu,
Kweli nimeamini hawa viumbe ni nyoka aisee, nimekoma kuoa hawa watu watu kutoka kanda ile ya Kaskazini, hawa wanawake siyo poa kabisa najuta kabisa, dah!
Huyu mwanamke anajikuta ni 'feminist' sana, jeuri, kiburi na dharau juu, sijui kwanini ananifanyia hivi, sijui anajua nampenda sana au sijajua kwanini?
Iko hivi wakuu, jana nimemfuma huyu mwanamke akiwasiliana na mwanaume mwingine simtaji jina, ila nahisi yupo humu humu JF kwa jina jina simtaji.
Huyu jamaa wa humu Jamii Forums anajua na mke wangu toka siku ya kwanza na aliniambia ameshawahi kuwa mtu wake, siku hizo kipindi wanasoma chuo, ila nikapotezea kabisa.
Sasa jamaaa baada ya kuona namsifia humu JF mshikaji akampandia hewani wakaanza kuchati naye sana na nahisi mshikaji amepiga kiboga tayari kwa sababu nimeona kuna ujumbe mmoja anasema, "Ahsante kwa kuniridhisha kuliko mume wangu", dah!
Na huyu mke wangu kumbe ana mimba ya miezi mitatu, kwa maana 'gestation age' ya 12, aisee sasa sijajua hii mimba ya yangu au ya mshikaji mwingine. Aisee jamani ako na sonona hapa na wala sijielewi nifanyeje hapa.
Hawa wanawake wa kichaga sijui wana shida gani, daaah wadau hapa nifanyeje? Na nimempigia mama yake na yeye anaongea utumbo tu. Kuna comment ya mshikaji alicomment niweke akiba ya maneno, hapo nimekumbuka ni kweli hivi viumbe siyo poa kumbe aisee.
Wadau rejeeni kisa cha Samson na Delilah na pia kisa cha Adam na Eva, aloo nyie viumbe Mungu anawaona, kumbukeni kuna maisha baada ya kufa aisee. Nawashauri vijana kabla hamjaoa jaribu kumchunguza huyo mke wako kabla haujafikia hatua ya kumuoa.
Wadau ako na sonona hapa nimeenda kazini tu ila akili yangu haipo sawa, nitaenda kazini kuomba ruhusa kama ya wiki mbili nitadanganya naumwa ili niende nikapumzike fukwe za Ibiza au Hotel Verde zanzibar.
Daaah! 'One man down' aisee.
Haaa😂Usiniambie shemdarling anatokea ile kanda!!hongera mdogo wangu
Si ndo ukweli huo jamani…au mimi ndie sijaelewaHaaa😂
Umenigeuzia kibao
Nilimaanisha wa kwako ndio anatokea hiyo Kanda😁Si ndo ukweli huo jamani…au mimi ndie sijaelewa
Kama atakujakuwa ni wa huko basi nitakujuza chaubishi wangu sawa eeNilimaanisha wa kwako ndio anatokea hiyo Kanda😁
Kwani bado unatafuta mwingine?Kama atakujakuwa ni wa huko basi nitakujuza chaubishi wangu sawa ee
Hivi mnauhakika ninajua kuwa nimechaguliwa mtu jf🙄🙄mbona mbombooKwani bado unatafuta mwingine?
Si yule tulimchagua tayari jamani
HaaHivi mnauhakika ninajua kuwa nimechaguliwa mtu jf🙄🙄mbona mbomboo
Na hata simjuagi walaHaa
Si yule tulimtaja uzi wa macrush
DahNa hata simjuagi wala