Najuta kuoa mwanamke kisa nimemzalisha

Najuta kuoa mwanamke kisa nimemzalisha

Muongeze Mimba nyingine atakuheshimu tu, heshima ya Mwanaume ndio hio mtie mikwaju avimbe kitumbo HICHO

Believe me ukimtia Mimba awamu HII atakuheshimu kuliko awamu zote wewe utakua km Mbappe na Christian Ronaldo kwa pamoja atakuzalia Messi
 
Kama alikuwa mzuri mwanzo angalia pia na chanzo cha yeye kubadilika na pengine chanzo ni wewe! Utamwacha utaoa mwengine kama hautajua mapungufu yako na wewe utabadilisha kila siku wanawake eti wamebadilika kumbe chanzo ni wewe
 
Hiyo hali ni ya majira na muda mfupi tu, utakutana nayo hata ukimuoa mwingine.....

Ni vizuri kua wastahimilivu na kwakweli wavumilivu sana kwani, mahusiano, uchumba na hata ndoa hupitia vipindi mbalimbali kama ilivyo hali ya hewa ya joto, baridi, kipupwe, kiangazi, masika, kipindi cha kilimo, mavuno nakadhalika 🐒

Hata hivyo, ukipata uelewa na Ufahamu wa kutosha juu ya masuala mbalimbali kwenye uhusiano, uchumba, ndoa na maisha hali hiyo usingeiona tatizo bali ni fursa ya kuimarisha mapenzi na ukaribu zaidi na mwenzi na watoto wako..

Mungu akujalie utulivu, ustahimilivu, uvumilivu na moyo wa subra, nakusihi mshirikishe Mungu, kabla hujaamua wala kufanya maamuzi ambayo yanaweza kua mzigo mzito zaidi kwa watoto wako na kwenye maisha yako....

kumbuka mkataa pema, pabaya pana mwita 🐒
 
Kuna mtu ashanyimwa huku 😂😂😂😂

Ndoa ni kwaajili ya wanaume waliokamilika tu.
 
Kama alikuwa mzuri mwanzo angalia pia na chanzo cha yeye kubadilika na pengine chanzo ni wewe! Utamwacha utaoa mwengine kama hautajua mapungufu yako na wewe utabadilisha kila siku wanawake eti wamebadilika kumbe chanzo ni wewe
Mkuu samahani km nitasema vibaya Ila HIO picha yako ya avatar inafanana kinoma na demu wangu Mchuchu wangu wa zamani, kila nikiiangalia nakumbuka zile good time
 
Kuna mtu ashanyimwa huku 😂😂😂😂

Ndoa ni kwaajili ya wanaume waliokamilika tu.
Dawa yake ili Mambo yawe Sawa kila akiingia CHOONI au Bafuni atangulize Mguu wa Kushoto na kila akitoka CHOONI au Bafuni atangulize Mguu wa Kulia

Zoezi hili alifanye kwa Muda wa siku 7 akiona hali bado haijakaa sawa aendelee siku 7 zingine Ila tu siku 1 akikosea anakua amefuta siku zote za nyuma kwa hio anaanza na 1
 
Kama alikuwa mzuri mwanzo angalia pia na chanzo cha yeye kubadilika na pengine chanzo ni wewe! Utamwacha utaoa mwengine kama hautajua mapungufu yako na wewe utabadilisha kila siku wanawake eti wamebadilika kumbe chanzo ni wewe
Kwa stage niliyofikia nitamwachq tu

Mtu anawadharau ndugu zako yeye anataka amani na ww.

Nimemwambia ndoa ya kudharau ndugu zangu haipo hiyo
 
Kwa stage niliyofikia nitamwachq tu

Mtu anawadharau ndugu zako yeye anataka amani na ww.

Nimemwambia ndoa ya kudharau ndugu zangu haipo hiyo
Ingia na Mguu wa Kushoto toka na Mguu wa Kulia, nishakupa MWONGOZO
 
Back
Top Bottom