Najuta kuoa mwanamke kisa nimemzalisha

Najuta kuoa mwanamke kisa nimemzalisha

Usiku hapa niko na hasira kama zote.

Baada ya mwanamke mmoja niliyempa mimba na kuamua kuishi naye kwa ushawishi mkubwa wa ndugu.

Kiukweli Mwanzoni wa maisha alikuwa binti mzuri Mwenye kila sababu ya kuitwa mke.

Kwa sasa amebadilika madharau, kiburi, jeuri, Mwenye kinyongo, gubu, asiye na shukrani.

Mungu anisamehe ila nitamwacha tu.

Ngoja watoto wakue.

Siwezi kuishi na mwanamke mpumbavi
Aisee
 
Dawa yake ili Mambo yawe Sawa kila akiingia CHOONI au Bafuni atangulize Mguu wa Kushoto na kila akitoka CHOONI au Bafuni atangulize Mguu wa Kulia

Zoezi hili alifanye kwa Muda wa siku 7 akiona hali bado haijakaa sawa aendelee siku 7 zingine Ila tu siku 1 akikosea anakua amefuta siku zote za nyuma kwa hio anaanza na 1
Heeeh!! Ushakuwa mganga🤣
 
Mimi pisi haiwez kunidharau! Huwa sina mbili kwenye moja mm ni authoritarian
 
Kwa stage niliyofikia nitamwachq tu

Mtu anawadharau ndugu zako yeye anataka amani na ww.

Nimemwambia ndoa ya kudharau ndugu zangu haipo hiyo
Vipi wewe kwa upande wa ndugu zake? Na je vipi hao ndugu zako do they treat her well kama unavotaka? Maana ukiskiliza upande mmoja utajikuta unachagua mke kila siku sababu ya ndugu, n mind you hujaoa mke kwa ajili ya ndugu! Maisha ni yako wewe na yeye na watoto wenu! Usikurupuke kuacha mke kisa ndugu, ndugu wa mume ni wasnge....sisemi kwa sababu tuu kaa tafakari na fuatilia jinsi wanamtreat mkeo ndo utajua usifikiri ndugu kwa vile wanakupenda lazima na mkeo watampenda HAPANA! Huyo mkeo wanaishi naye tu kwa sababu ni mke wa ndugu yao!
Kwa stage niliyofikia nitamwachq tu

Mtu anawadharau ndugu zako yeye anataka amani na ww.

Nimemwambia ndoa ya kudharau ndugu zangu haipo hiyo
 
Pole sana Mkuu, wanawake wote wako hivyo hivyo! Yaani ni stage ktk ndoa, kilichompata Mamba, na Kiboko kitampata, ni suala la muda tu. Komaa na mtu wako.

Ila Dawa nzuri kuliko zote ni kua na Mchepuko.
 
mkuu mpelekei moto ndo maan hakuheshim anakuona kinyesi
 
Back
Top Bottom