Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Siyo kwamba sikusoma kichwa, iko hivii?Kichwa Cha habari kimejieleza kabsa Mkuu labda kama hujasoma, umekimbilia kutoa comment.
Kuhusu upande wazazi. Niwe Mkweli wazazi wangu hawakuridhia nioe huyu mwanamke ni ukaidi wangu tu ndiyo umepelekea yote haya.
Dogo kazaliwa 2003 sasa nikudanganye ili unipe nini cha faida kwangu?Hicho ni kizazi cha Before 2000.
Usitudanganye.
TΓ tizo huo ushahidi unaumiza sana, yaani unalea bao la mwanaume mwenzako.Siyo Roho mbaya, Hakika ungejua ni kwa namna gani napambana kumpenda huyu mtoto usingesema hivyo. Nalazimisha nafsi yangu impende lakini imeshindikana.
Hali yako ya kiuchumi ikoje?WanaJF
Habari zenu, heri ya Ramadan na Kwaresma, matumaini yangu wote wazima, waliyo na changamoto Mungu akawape njia.
Ni kijana barubaru wa miaka 28 mwenye nguvu na Afya.
Wakuu kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyo jieleza, nilioa huyu single mother mwaka mmoja uliyo pita baada ya kujiridhisha tabia zake zinafaa kuwa mke na mm bila hiyana nikachukua nikaweka ndani, nikatia pamba maskioni kuzuia kelele za "KUOGOPA SINGLE MOTHER" kumbe nilikua najidanganya nafasi yangu.
Wakuu kila kukicha nikimtazama huyu mtoto wake Roho yangu inauma kwa uchungu wa majuto ya kuoa huyu single mother ni kama nilirogwa hivi kuoa huyu mwanamke, kivipi yaani natunza mbegu za mwanaume mwingine naye yupo tu anakula Bata at the end mtoto aje kunikana mimi siyo baba yake, kwanini hata sikuchukua mdogo wangu nikae naye , kuliko kuhudumia damu ambayo siyo yangu. Wakuu najuta sana.
Niwe Mkweli nafsi yangu inajuta sana. Nahitaji msaada wa kisaikolojia nijinasue kutoka hapa nilipo kwama, imefika hatua hata kukaa nyumban siwezi kabsa.
Pia naomba wale waliyo wai pitia hii situation walijinasuaje? Mnisaidie.
Kama mwanaume anaweza kucontrol mambo na ana akili za kupitiliza iweje huyu mwenzenu aoe mwanamke mwenye mtoto halafu imepita mwaka tu anataka kubadili maamuzi bila sababu yoyote ya msingi. Hizi akili ni za kimama kabisaKitu cha kwanza wanawake kinachowaangamiza ni kujilinganisha na mwanaume,Mwanaume na mwanamke ni viumbe 2 tofauti kuanzia tabia mpaka akili.Mwanaume ana uwezo wa ku control mambo-mwanamke hana uwezo huo.Mtoto yoyote kwa sheria za kidunia na kidini ni wa Mwanaume na sio wa Mama hii ni duniani kote.so,mfano wako hauna mlinganisho sawia.
Vilevile,wenzetu wazungu mtu anaweza oa mwanamke mwenye mtoto na isitokee hata siku moja akawa na mafungamano na mzazi mwenzake hii ni tofauti na wanawake wa kiafrika-hivyo,ni risk kuoa mwanamke mwenye mtoto kwa Afrika.
1.Mwambia Mkeo amupeleke huyo mtoto kwa Baba yake,au kwa Bibi yake.
2.Ukishindikana muweke wazi kuwa huwezi kuishi na huyo mtoto,kama hawezi kupelekwa kulelewa pengine basi pianani talaka-nyi e hamjazaliwa tumbo moja kwamba no lazima mzeeke pamoja.
Fanya kitu kinachokupa furaha maishani,maisha ni mafupi sana acha kuishi kwa stress utakufa mapema sana.
Huyo anakudanganya, watoto hasa wa kiume huingiwa na hasira kuona mama yake analiwa na mtu ambaye siyo baba yΓ ke. Ngumu sana kumkataa baba yΓ ke.Siyo wote wako hivyo.
Single mama ni binadamu aliyeteleza tu...
Acha roho mbaya, wewe wakwako si anakelewa na baba wakufikia! Acha roho mbaya, utakuwa mtu wa kule wana roho mbaya kweli!WanaJF
Habari zenu, heri ya Ramadan na Kwaresma, matumaini yangu wote wazima, waliyo na changamoto Mungu akawape njia.
Ni kijana barubaru wa miaka 28 mwenye nguvu na Afya.
Wakuu kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyo jieleza, nilioa huyu single mother mwaka mmoja uliyo pita baada ya kujiridhisha tabia zake zinafaa kuwa mke na mm bila hiyana nikachukua nikaweka ndani, nikatia pamba maskioni kuzuia kelele za "KUOGOPA SINGLE MOTHER" kumbe nilikua najidanganya nafasi yangu.
Wakuu kila kukicha nikimtazama huyu mtoto wake Roho yangu inauma kwa uchungu wa majuto ya kuoa huyu single mother ni kama nilirogwa hivi kuoa huyu mwanamke, kivipi yaani natunza mbegu za mwanaume mwingine naye yupo tu anakula Bata at the end mtoto aje kunikana mimi siyo baba yake, kwanini hata sikuchukua mdogo wangu nikae naye , kuliko kuhudumia damu ambayo siyo yangu. Wakuu najuta sana.
Niwe Mkweli nafsi yangu inajuta sana. Nahitaji msaada wa kisaikolojia nijinasue kutoka hapa nilipo kwama, imefika hatua hata kukaa nyumban siwezi kabsa.
Pia naomba wale waliyo wai pitia hii situation walijinasuaje? Mnisaidie.
Usiwe mbinafsi mkuu,Mkuu najilazimisha sana kumpenda huyu mtoto lakini nafsi yangu imegoma kabsa. Na sijui nifanyeje.
Acha kumtisha mwinzio,πππ huyo anaona wivu tu kuona yule mtoto katokea pale pale inamaana kuna mtu naye alikuwa anapita πππAkiwa mkubwa, atashirikiana na mama yake kukupiga
Uongo, kuna jirangu Kaolewa na Mzungu huyo mzungu kazaa nae watoto wawili kabla ya kuolewa na Mzungu huyu Mwanamke alishazalishwa mtoto mmoja kwahiyo jumla ana watoto watatu wawili wa mxungu, Sasa huyu Mzungu analea watoto wake tu aliowazaa huyu Mwingine hana habari nae, Mzungu akirudi kwa Ulaya anaondoka na watoto wake wa kuwazaa huyu mwingine ana muacha na Mama yake, tani ata akitaka kwenda kutembea anachukua watoto wake tu na kusomesha ada analipa za watoto wake wawili huyu mwingine ada analipwa na Mama yake.Mpende huyo mtoto, utaziona baraka za Mungu...
Single mama ni binadamu aliyeteleza tu...
Tuache kuhukumu, Mungu anasamehe
Tena na matusi Kwa single mother aondolewe, na kumbe ni mwanaye kaenda kuwa chokoraa!Baba huyo huyo anaweza kumshauri mwamba amfukuze mtoto wakati yeye ameshamkataa
Ushauri namba moja ndiyo mzuri, Mimi mwenyewe Dada yangu alizalishwa nje ya ndoa akamleta mtoto wake Nyumbani Mzee wangu akawa ana mtimua mtoto ana mwambia Mama huyo mtoto sitaki kumuona Nyumbani mpelekeni kwao hapa siyo kwao. Wanaume tunapenda kulea watoto Yatima na siyo mitoto ya Mke.1.Mwambia Mkeo amupeleke huyo mtoto kwa Baba yake,au kwa Bibi yake.
2.Ukishindikana muweke wazi kuwa huwezi kuishi na huyo mtoto,kama hawezi kupelekwa kulelewa pengine basi pianani talaka-nyi e hamjazaliwa tumbo moja kwamba no lazima mzeeke pamoja.
Fanya kitu kinachokupa furaha maishani,maisha ni mafupi sana acha kuishi kwa stress utakufa mapema sana.
Au hakumwambia mapema kama anamtoto kabla.Uongo, kuna jirangu Kaolewa na Mzungu huyo mzungu kazaa nae watoto wawili kabla ya kuolewa na Mzungu huyu Mwanamke alishazalishwa mtoto mmoja kwahiyo jumla ana watoto watatu wawili wa mxungu, Sasa huyu Mzungu analea watoto wake tu aliowazaa huyu Mwingine hana habari nae, Mzungu akirudi kwa Ulaya anaondoka na watoto wake wa kuwazaa huyu mwingine ana muacha na Mama yake, tani ata akitaka kwenda kutembea anachukua watoto wake tu na kusomesha ada analipa za watoto wake wawili huyu mwingine ada analipwa na Mama yake.
Ila mnapenda wake zenu walee watoto mliozaa huko nje nakumleta hapo nyumbani!Ushauri namba moja ndiyo mzuri, Mimi mwenyewe Dada yangu alizalishwa nje ya ndoa akamleta mtoto wake Nyumbani Mzee wangu akawa ana mtimua mtoto ana mwambia Mama huyo mtoto sitaki kumuona Nyumbani mpelekeni kwao hapa siyo kwao. Wanaume tunapenda kulea watoto Yatima na siyo mitoto ya Mke.