Najuta kuoa Single mother, kila nikimtazama huyu mtoto wake Moyo wangu Unaumia kwa machungu makali. Nahitaji msaada

Najuta kuoa Single mother, kila nikimtazama huyu mtoto wake Moyo wangu Unaumia kwa machungu makali. Nahitaji msaada

Kichwa Cha habari kimejieleza kabsa Mkuu labda kama hujasoma, umekimbilia kutoa comment.

Kuhusu upande wazazi. Niwe Mkweli wazazi wangu hawakuridhia nioe huyu mwanamke ni ukaidi wangu tu ndiyo umepelekea yote haya.
Siyo kwamba sikusoma kichwa, iko hivii?

Kwa vijana wa siku hizi, kile kitendo cha kuishi na mwanamke kinyumba wanaita 'kuoa' ndiyo maana nikatupia maswali yangu ya dodoso ambayo kiuhalisia hauhayajibu itakiwavyo.
 
WanaJF
Habari zenu, heri ya Ramadan na Kwaresma, matumaini yangu wote wazima, waliyo na changamoto Mungu akawape njia.

Ni kijana barubaru wa miaka 28 mwenye nguvu na Afya.

Wakuu kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyo jieleza, nilioa huyu single mother mwaka mmoja uliyo pita baada ya kujiridhisha tabia zake zinafaa kuwa mke na mm bila hiyana nikachukua nikaweka ndani, nikatia pamba maskioni kuzuia kelele za "KUOGOPA SINGLE MOTHER" kumbe nilikua najidanganya nafasi yangu.

Wakuu kila kukicha nikimtazama huyu mtoto wake Roho yangu inauma kwa uchungu wa majuto ya kuoa huyu single mother ni kama nilirogwa hivi kuoa huyu mwanamke, kivipi yaani natunza mbegu za mwanaume mwingine naye yupo tu anakula Bata at the end mtoto aje kunikana mimi siyo baba yake, kwanini hata sikuchukua mdogo wangu nikae naye , kuliko kuhudumia damu ambayo siyo yangu. Wakuu najuta sana.

Niwe Mkweli nafsi yangu inajuta sana. Nahitaji msaada wa kisaikolojia nijinasue kutoka hapa nilipo kwama, imefika hatua hata kukaa nyumban siwezi kabsa.
Pia naomba wale waliyo wai pitia hii situation walijinasuaje? Mnisaidie.
Hali yako ya kiuchumi ikoje?
 
Kitu cha kwanza wanawake kinachowaangamiza ni kujilinganisha na mwanaume,Mwanaume na mwanamke ni viumbe 2 tofauti kuanzia tabia mpaka akili.Mwanaume ana uwezo wa ku control mambo-mwanamke hana uwezo huo.Mtoto yoyote kwa sheria za kidunia na kidini ni wa Mwanaume na sio wa Mama hii ni duniani kote.so,mfano wako hauna mlinganisho sawia.
Vilevile,wenzetu wazungu mtu anaweza oa mwanamke mwenye mtoto na isitokee hata siku moja akawa na mafungamano na mzazi mwenzake hii ni tofauti na wanawake wa kiafrika-hivyo,ni risk kuoa mwanamke mwenye mtoto kwa Afrika.
Kama mwanaume anaweza kucontrol mambo na ana akili za kupitiliza iweje huyu mwenzenu aoe mwanamke mwenye mtoto halafu imepita mwaka tu anataka kubadili maamuzi bila sababu yoyote ya msingi. Hizi akili ni za kimama kabisa
 
Sasa mkuu hoja yako ni nzuri Ila Sasa mimi nawaza kitu kimoja hapo je bibi wa Huyu akifariki mtoto ataenda wapi?

2.mtoto Huyu akienda kwa baba ake itakuaje? Endapo mama wa jambo yule hayo penda mtoto wa mumewe🤔
1.Mwambia Mkeo amupeleke huyo mtoto kwa Baba yake,au kwa Bibi yake.
2.Ukishindikana muweke wazi kuwa huwezi kuishi na huyo mtoto,kama hawezi kupelekwa kulelewa pengine basi pianani talaka-nyi e hamjazaliwa tumbo moja kwamba no lazima mzeeke pamoja.

Fanya kitu kinachokupa furaha maishani,maisha ni mafupi sana acha kuishi kwa stress utakufa mapema sana.
 
Single mama ni binadamu aliyeteleza tu...

Wengine hawatelezi ila ni ujeuri wao.

Kama alibakwa tena kwa kufosiwa, hapo ndio tunamuweka kwenye kipengele cha Kuteleza.

Kama mtu kafanya kwa ridhaa yake na alifurahia kandanda, hapo hauwezi kusema aliteleza.
 
WanaJF
Habari zenu, heri ya Ramadan na Kwaresma, matumaini yangu wote wazima, waliyo na changamoto Mungu akawape njia.

Ni kijana barubaru wa miaka 28 mwenye nguvu na Afya.

Wakuu kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyo jieleza, nilioa huyu single mother mwaka mmoja uliyo pita baada ya kujiridhisha tabia zake zinafaa kuwa mke na mm bila hiyana nikachukua nikaweka ndani, nikatia pamba maskioni kuzuia kelele za "KUOGOPA SINGLE MOTHER" kumbe nilikua najidanganya nafasi yangu.

Wakuu kila kukicha nikimtazama huyu mtoto wake Roho yangu inauma kwa uchungu wa majuto ya kuoa huyu single mother ni kama nilirogwa hivi kuoa huyu mwanamke, kivipi yaani natunza mbegu za mwanaume mwingine naye yupo tu anakula Bata at the end mtoto aje kunikana mimi siyo baba yake, kwanini hata sikuchukua mdogo wangu nikae naye , kuliko kuhudumia damu ambayo siyo yangu. Wakuu najuta sana.

Niwe Mkweli nafsi yangu inajuta sana. Nahitaji msaada wa kisaikolojia nijinasue kutoka hapa nilipo kwama, imefika hatua hata kukaa nyumban siwezi kabsa.
Pia naomba wale waliyo wai pitia hii situation walijinasuaje? Mnisaidie.
Acha roho mbaya, wewe wakwako si anakelewa na baba wakufikia! Acha roho mbaya, utakuwa mtu wa kule wana roho mbaya kweli!
 
Mkuu najilazimisha sana kumpenda huyu mtoto lakini nafsi yangu imegoma kabsa. Na sijui nifanyeje.
Usiwe mbinafsi mkuu,
Ingekuwa mama yake ndio msumbufu, anawasiliana vibaya na mzazi mwenzake ningesema una haki ya kuongea.

Lea, hayo ndio majukumu yako, omba Mungu akuzalie pia ili maisha yasonge. Watoto ni baraka na hawana dhambi yoyote.
 
Mpende huyo mtoto, utaziona baraka za Mungu...

Single mama ni binadamu aliyeteleza tu...

Tuache kuhukumu, Mungu anasamehe
Uongo, kuna jirangu Kaolewa na Mzungu huyo mzungu kazaa nae watoto wawili kabla ya kuolewa na Mzungu huyu Mwanamke alishazalishwa mtoto mmoja kwahiyo jumla ana watoto watatu wawili wa mxungu, Sasa huyu Mzungu analea watoto wake tu aliowazaa huyu Mwingine hana habari nae, Mzungu akirudi kwa Ulaya anaondoka na watoto wake wa kuwazaa huyu mwingine ana muacha na Mama yake, tani ata akitaka kwenda kutembea anachukua watoto wake tu na kusomesha ada analipa za watoto wake wawili huyu mwingine ada analipwa na Mama yake.
 
Sambaza upendo mkuu.......usimkatie tamaa kiumbe kiitwacho binadamu as long as hakijakuja kwako kwa bahati mabaya.

Sambaza upendo kila kiumbe huja na riziki zake....
 
1.Mwambia Mkeo amupeleke huyo mtoto kwa Baba yake,au kwa Bibi yake.
2.Ukishindikana muweke wazi kuwa huwezi kuishi na huyo mtoto,kama hawezi kupelekwa kulelewa pengine basi pianani talaka-nyi e hamjazaliwa tumbo moja kwamba no lazima mzeeke pamoja.

Fanya kitu kinachokupa furaha maishani,maisha ni mafupi sana acha kuishi kwa stress utakufa mapema sana.
Ushauri namba moja ndiyo mzuri, Mimi mwenyewe Dada yangu alizalishwa nje ya ndoa akamleta mtoto wake Nyumbani Mzee wangu akawa ana mtimua mtoto ana mwambia Mama huyo mtoto sitaki kumuona Nyumbani mpelekeni kwao hapa siyo kwao. Wanaume tunapenda kulea watoto Yatima na siyo mitoto ya Mke.
 
Uongo, kuna jirangu Kaolewa na Mzungu huyo mzungu kazaa nae watoto wawili kabla ya kuolewa na Mzungu huyu Mwanamke alishazalishwa mtoto mmoja kwahiyo jumla ana watoto watatu wawili wa mxungu, Sasa huyu Mzungu analea watoto wake tu aliowazaa huyu Mwingine hana habari nae, Mzungu akirudi kwa Ulaya anaondoka na watoto wake wa kuwazaa huyu mwingine ana muacha na Mama yake, tani ata akitaka kwenda kutembea anachukua watoto wake tu na kusomesha ada analipa za watoto wake wawili huyu mwingine ada analipwa na Mama yake.
Au hakumwambia mapema kama anamtoto kabla.
 
Wewe hustahili ushauri zaidi ya makofi ye Kelbu.

Unless otherwise huu uzi wako ni chai.

Mkiambiwa msioe single maza hamsikiagi.
 
Ushauri namba moja ndiyo mzuri, Mimi mwenyewe Dada yangu alizalishwa nje ya ndoa akamleta mtoto wake Nyumbani Mzee wangu akawa ana mtimua mtoto ana mwambia Mama huyo mtoto sitaki kumuona Nyumbani mpelekeni kwao hapa siyo kwao. Wanaume tunapenda kulea watoto Yatima na siyo mitoto ya Mke.
Ila mnapenda wake zenu walee watoto mliozaa huko nje nakumleta hapo nyumbani!
 
Back
Top Bottom