Najuta kuoa Single mother, kila nikimtazama huyu mtoto wake Moyo wangu Unaumia kwa machungu makali. Nahitaji msaada

Kwani mkuu lengo la kulea mtoto wa mke wako ili hasije kumtafuta Baba mzazi? Kwani mtoto kumtafuta Baba Mzazi ni kosa au kutaka kujua kwao ni kosa?
Hujaelewa point Mzee unamlea alafu badae hakutambui kwa lolote.
Mzee lea watoto wako mwenyewe usisubiri wanaume wenzako wakulelee
 
Wazazi wangu walikataa sana hili, ila nikakaidi, saivi imebaki majuto. No way nifanyeje Sasa? mtu tayari yupo ndani!!
Kwanini uliwabishia Wazazi kwenye jambo la muhimu, Kwenye jambo la ndoa Wazazi wanakua wameona mengi na wana uzoefu wa kuona kupitia kwa jamii. Mzazi akikwambia jambo msikilize ana kupenda.
 
Kuendelea kukaa na mtoto kama hampendi anaweza mfanyia kitu kibaya. Na ukisema mwanamke ampeleke either kwa baba yake au bibi yake pia huyo mwanamke hatokaa awe na upendo na huyo mwanaume.
 
Kuendelea kukaa na mtoto kama hampendi anaweza mfanyia kitu kibaya. Na ukisema mwanamke ampeleke either kwa baba yake au bibi yake pia huyo mwanamke hatokaa awe na upendo na huyo mwanaume.
Kazi ipo
 
We lea tu. Hata wewe inawezekana kuna mtu mwingine analea mwanao..

Huwezi jua huyo mtoto atakufaa kwa lipi. Ila, sikufichi, kama ni binti mlee kwa moyo wote, kama ni wakiume, jiandae kisaikolojia.
 
Pole sana ila ukipenda boga penda na ya lake
 
Vijana wa ovyo miaka 28 tuuh umeanza stress za maisha kias hicho hapo bado jamaa haja miss kitumbua Cha mkeo mbona utakufa mapema sanaa
 
Mbaya zaidi Kajamaa kanampigia simu "Huyo mtoto anaendeleaje?"
 


Mimi nilijinusua hapa

Wanawake Singo Mama, wanawachukulia Wanaume wenye watoto (Singo Baba) kama wanaoendana .!

Yaan inshu hapa ni kwamba, Huyo mtoto mwisho wa siku Licha ya Pesa utakayotumia bado ataambiwa Baba yake , na usikute jamaa aliachana naye demu Kwasababu tu za kawaida .


Pili Kuna uwezekano jamaa kama Maisha amefanikiwa, atamwambia Demu, njooo Tuishi tulee mtoto wetu Kwa Sasa Niko vizuri.


Mawasiliano yako palepale.

Oyaaa ni ngumu
 
Mpende jirani yako kama unavyojipende?

Waonekana hata wewe mwenyewe wajichukia vile ulivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…