Najuta kuoa Single mother, kila nikimtazama huyu mtoto wake Moyo wangu Unaumia kwa machungu makali. Nahitaji msaada

Najuta kuoa Single mother, kila nikimtazama huyu mtoto wake Moyo wangu Unaumia kwa machungu makali. Nahitaji msaada

WanaJF

Habari zenu, heri ya Ramadan na Kwaresma, matumaini yangu wote wazima, waliyo na changamoto Mungu akawape njia.

Ni kijana barubaru wa miaka 28 mwenye nguvu na Afya.

Wakuu kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyo jieleza, nilioa huyu single mother mwaka mmoja uliyo pita baada ya kujiridhisha tabia zake zinafaa kuwa mke na mm bila hiyana nikachukua nikaweka ndani, nikatia pamba maskioni kuzuia kelele za "KUOGOPA SINGLE MOTHER" kumbe nilikua najidanganya nafasi yangu.

Wakuu kila kukicha nikimtazama huyu mtoto wake Roho yangu inauma kwa uchungu wa majuto ya kuoa huyu single mother ni kama nilirogwa hivi kuoa huyu mwanamke, kivipi yaani natunza mbegu za mwanaume mwingine naye yupo tu anakula Bata at the end mtoto aje kunikana mimi siyo baba yake, kwanini hata sikuchukua mdogo wangu nikae naye , kuliko kuhudumia damu ambayo siyo yangu. Wakuu najuta sana.

Niwe Mkweli nafsi yangu inajuta sana. Nahitaji msaada wa kisaikolojia nijinasue kutoka hapa nilipo kwama, imefika hatua hata kukaa nyumban siwezi kabsa.

Pia naomba wale waliyo wai pitia hii situation walijinasuaje? Mnisaidie.
Wewe mtunze tu
Acha wenge
 
Ujue bana mambo kama haya ulitakiwa uwaze pande zote kabla kisha ufanye maamuzi yaliyo sahihi ambayo yasingekuumiza.

Sasa hapo huyo mkeo unamwambiaje sababu kipindi unamuoa ulikuwa na akili zako timamu kabisa. Lol
 
Bila shaka huyo ni mtoto wa ni WA kiume ila angekuwa wa kike naiman ungempenda na kumkubali
Sijui Kuna kitu gani watoto WA kiume tuliowakuta Kwa single mother huwa hatuwakubali ata kidogo
 
WanaJF

Habari zenu, heri ya Ramadan na Kwaresma, matumaini yangu wote wazima, waliyo na changamoto Mungu akawape njia.

Ni kijana barubaru wa miaka 28 mwenye nguvu na Afya.

Wakuu kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyo jieleza, nilioa huyu single mother mwaka mmoja uliyo pita baada ya kujiridhisha tabia zake zinafaa kuwa mke na mm bila hiyana nikachukua nikaweka ndani, nikatia pamba maskioni kuzuia kelele za "KUOGOPA SINGLE MOTHER" kumbe nilikua najidanganya nafasi yangu.

Wakuu kila kukicha nikimtazama huyu mtoto wake Roho yangu inauma kwa uchungu wa majuto ya kuoa huyu single mother ni kama nilirogwa hivi kuoa huyu mwanamke, kivipi yaani natunza mbegu za mwanaume mwingine naye yupo tu anakula Bata at the end mtoto aje kunikana mimi siyo baba yake, kwanini hata sikuchukua mdogo wangu nikae naye , kuliko kuhudumia damu ambayo siyo yangu. Wakuu najuta sana.

Niwe Mkweli nafsi yangu inajuta sana. Nahitaji msaada wa kisaikolojia nijinasue kutoka hapa nilipo kwama, imefika hatua hata kukaa nyumban siwezi kabsa.

Pia naomba wale waliyo wai pitia hii situation walijinasuaje? Mnisaidie.
Xavi22
 
Kumbuka wewe ni baba wa kambi kwa wakati huo ni lazima awe na akili ya kufikiria hauwezi kumpenda moja kwa moja mwanawe....Labda kama unafikiria anakupenda ila sio kweli .

Kumbuka yeye ana chemist ya moja kwa moja mtoto kuliko wewe , usijidanganye hauna thamani mbele ya mtoto wake.
Hakika umenena Kiongozi. Huyu mwanamke mapenzi yake makubwa yapo kwa mtoto wake, na amefika sehem mtoto anajua Mimi siyo Baba yake, yote haya najua Mama yake ndiyo akamwambia.
Can you imagine hii hatua tuliyo fika ilivyo mbaya?
 
Kaa uongee nà huyo single maza, usinfiche ugumu unaoupitia. Kukaa na ushahidi kwamba mko wawili kwa huyo mkeo itakusababishia matatizo siku moja.
Ebu fikiria teke utakalo mpiga huyo mtoto siku akikukosea na akawa jirani. Jela inakukaribisha.
Vinginevyo muombe mkeo ampeleke kwa baba yake ili wapate sababu ya kuonana kisa kusalimia mtoto.
Moto juu ya moto.
Nimeongea naye lakini naona ishakua ngumu kwako so best solution hapa ni kuachana naye tu.
 
Mpe talaka umuache huyo mwanamke, huko mbele utakuja kumuua huyo mtoto, wewe una roho mmbaya.

Wamama acheni kuingia kwenye mahusiano mengine huku ukijua una watoto.

Padre nilimpata baada ya watoto wangu wote kukua.
Naomba nieleweke simchukii huyu mtoto lakini nafsi yangu imegoma kabsa kumpenda.

Ni mda Sasa najilazimisha kumpenda lakini nimeshindwa kabsa. Ni wakati Sasa niutue huu mzigo nafsi yangu ibaki huru.
 
1.Mwambia Mkeo amupeleke huyo mtoto kwa Baba yake,au kwa Bibi yake.
2.Ukishindikana muweke wazi kuwa huwezi kuishi na huyo mtoto,kama hawezi kupelekwa kulelewa pengine basi pianani talaka-nyi e hamjazaliwa tumbo moja kwamba no lazima mzeeke pamoja.

Fanya kitu kinachokupa furaha maishani,maisha ni mafupi sana acha kuishi kwa stress utakufa mapema sana.
Uzi ufungwe.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Naomba nieleweke simchukii huyu mtoto lakini nafsi yangu imegoma kabsa kumpenda.

Ni mda Sasa najilazimisha kumpenda lakini nimeshindwa kabsa. Ni wakati Sasa niutue huu mzigo nafsi yangu ibaki huru.
Maelezo yameshakuwa mengi, funga thread, achana na huyo single mom, ulete mrejesho ili watu wapate somo.
 
asa si umtie mimba akuzalie, unahangaika na kumchukia dogo janja wakati mzg unao ndani tia mimba
Hana huo uwezo wa kumtia mimba mkewe na ndio maana anaumia sana, muombee tu apate uwezo wa kumtia mimba mkewe
 
WanaJF

Habari zenu, heri ya Ramadan na Kwaresma, matumaini yangu wote wazima, waliyo na changamoto Mungu akawape njia.

Ni kijana barubaru wa miaka 28 mwenye nguvu na Afya.

Wakuu kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyo jieleza, nilioa huyu single mother mwaka mmoja uliyo pita baada ya kujiridhisha tabia zake zinafaa kuwa mke na mm bila hiyana nikachukua nikaweka ndani, nikatia pamba maskioni kuzuia kelele za "KUOGOPA SINGLE MOTHER" kumbe nilikua najidanganya nafasi yangu.

Wakuu kila kukicha nikimtazama huyu mtoto wake Roho yangu inauma kwa uchungu wa majuto ya kuoa huyu single mother ni kama nilirogwa hivi kuoa huyu mwanamke, kivipi yaani natunza mbegu za mwanaume mwingine naye yupo tu anakula Bata at the end mtoto aje kunikana mimi siyo baba yake, kwanini hata sikuchukua mdogo wangu nikae naye , kuliko kuhudumia damu ambayo siyo yangu. Wakuu najuta sana.

Niwe Mkweli nafsi yangu inajuta sana. Nahitaji msaada wa kisaikolojia nijinasue kutoka hapa nilipo kwama, imefika hatua hata kukaa nyumban siwezi kabsa.

Pia naomba wale waliyo wai pitia hii situation walijinasuaje? Mnisaidie.
Once you've taken off your clothes to water, you have to bathe. But Nigga., Kama mwanamke ulimpenda mwanzo na mwanae na Hana matatizo unaweza kuendelea kuishi na huyo mtoto pengine akakusaidia.
 
WanaJF

Habari zenu, heri ya Ramadan na Kwaresma, matumaini yangu wote wazima, waliyo na changamoto Mungu akawape njia.

Ni kijana barubaru wa miaka 28 mwenye nguvu na Afya.

Wakuu kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyo jieleza, nilioa huyu single mother mwaka mmoja uliyo pita baada ya kujiridhisha tabia zake zinafaa kuwa mke na mm bila hiyana nikachukua nikaweka ndani, nikatia pamba maskioni kuzuia kelele za "KUOGOPA SINGLE MOTHER" kumbe nilikua najidanganya nafasi yangu.

Wakuu kila kukicha nikimtazama huyu mtoto wake Roho yangu inauma kwa uchungu wa majuto ya kuoa huyu single mother ni kama nilirogwa hivi kuoa huyu mwanamke, kivipi yaani natunza mbegu za mwanaume mwingine naye yupo tu anakula Bata at the end mtoto aje kunikana mimi siyo baba yake, kwanini hata sikuchukua mdogo wangu nikae naye , kuliko kuhudumia damu ambayo siyo yangu. Wakuu najuta sana.

Niwe Mkweli nafsi yangu inajuta sana. Nahitaji msaada wa kisaikolojia nijinasue kutoka hapa nilipo kwama, imefika hatua hata kukaa nyumban siwezi kabsa.

Pia naomba wale waliyo wai pitia hii situation walijinasuaje? Mnisaidie.
Nyie BaroBaro mkiamka Asubuhi Uume umecmama mnawaza kuoa, ndoa co betting.
 
Back
Top Bottom