Najuta kuoa Single mother, kila nikimtazama huyu mtoto wake Moyo wangu Unaumia kwa machungu makali. Nahitaji msaada

Najuta kuoa Single mother, kila nikimtazama huyu mtoto wake Moyo wangu Unaumia kwa machungu makali. Nahitaji msaada

Pole sana Mkuu.

Walakini maelezo yako begs for more questions.

Alikudanganya?

Unavyoelezea ni kama ulikurupuka tu kamavile hukujua ana mtoto wa mtu mwingine.

Ulikuwa unafikir nn? Kwamba ukimuwowa mtoto angebadilika na kuwa wako wa damu?

Basi kataa ndoa tu na masingle maza yaishe.
Hapana Kiongozi Mimi ni mmoja ya wale watu naopinga unyanyapaaji wa single mother.

Hili linalo nisibu limenikuta tayari tumeisha ingia kwenye ndoa, mwanzo sikia hivyo kabsa.

Lakini pia ni mda Sasa nimejilamizamisha kumpenda huyu mtoto lakini nimeshindwa kabsa. Nafsi yangu imegoma. Naona best way ni kuachana tu moyo ubaki free.
 
Najuta sijui Kwann sikusikia ya wahenga.
Hapo huyo mwanamke akili zake ziko kwa mtoto wake hawezi kukupenda unless kuna kitu anakipata hapo kwako.

Tumia akili maisha mfupi sana ,mimi ni mkubwa kuliko wewe ila alishakuja single mother kwa kunitaka mwenyewe ila nilikataa kisa japo kazi yake sio njaa kali .

Kwanza ,ni msumbufu sana unaweza kuwa na miadi ya kazi asije ofisi hata siku tatu ,anakumbia mwanangu alikuwa anaumwa , halafu masaaa 24 anapost mwanawe tu kweny status Whatsapp mpaka nimemute status zake..Just imagine anavyosumbua ,siku nyingine anakuja na mtoto wake ofisi ...Nilimuuliza kuhusu baba wa mtoto akawa mkali sana ...

Ndugu yangu hata uwe na miaka 40 unless una akili timamu usikubali kuoa mwanamke mwenye mtoto ,ni mke wa mtu ,anakufanya wewe ni plan B ...

Hakuna rangi utaacha kuiona siku mkigombana ; ana mtoto wa kumpa faraja ,ana chemist ya asili baba wa mtoto ,huyo mwanamke inawezekana kabla ya kuwa na mtoto angekukataa...Linda heshima na utu wako maisha mafupi sana.​
 
Nafikiria kumuacha huyu mwanamke kwa hapa nilipofika sioni haja kuanzisha familia na huyu mwanamke.
TATIZO vijana mnajidai mnayajua sana mapenzi! Kupakata mishangazi.

Asilimia 70% ya single maza ni kipengele! Asilimia 10% tu ndo wana faa, 10% zingine wajane na 10% nyingine hawataki mme kabisa wanajimaliza wenyewe!

Tukirudi kwenye mada yako ni kwamba ukipenda BOGA penda na UA Lake!
Wasiwasi wangu nahisi vyuma vimekaza sasa unaona kabisa kuumudu huyo shangazi mwenye kifaranga unaona kama ni pata potea!

Komaa ufe kiume na tai shingoni mpende mkeo!
 
Hapana Kiongozi Mimi ni mmoja ya wale watu naopinga unyanyapaaji wa single mother.

Hili linalo nisibu limenikuta tayari tumeisha ingia kwenye ndoa, mwanzo sikia hivyo kabsa.

Lakini pia ni mda Sasa nimejilamizamisha kumpenda huyu mtoto lakini nimeshindwa kabsa. Nafsi yangu imegoma. Naona best way ni kuachana tu moyo ubaki free.
Punyenga umeacha au bado unapiga?
 
Wazazi wangu walikataa sana hili, ila nikakaidi, saivi imebaki majuto. No way nifanyeje Sasa? mtu tayari yupo ndani!!
Tatizo vijana mnadanganyana eti ndoa ni ya watu 2 mkipendana nyie basi msisikilize wengine! Ukiona unataka kuoa na wazazi wako wakatia neno kuhusu hiyo NDOA nakuhakikishia lazima uje upigwe na kitu kizito unless uwe na uhakika kwamba wazazi wako huwa Wana shida.
 
Pole sana mkuu kama unamudu kipato vizuri kwenye familia endelea kumuhudumia huyo mtoto kuhusu kuja kukukataa usihofu haina maana na wewe siutakuwa na wanao mda huo.

Mimi mkuu naweza kusaidia hata mtu yoyote yule nisiye mjua kwahiyo suala la kumsaidia mtoto mdogo tena wa mke wangu ni kitu chema na nijambo lenye hekima.

Kama naweza kusaidia hata omba omba barabarani nisio wajua tena watu wazima sishindwi kumsaidia mtoto mdogo kama huyo hii dunia tunapita tu mkuu.

Huyo baba wa mtoto pengine anamatatizo ya kifedha au shida yoyote ndio maana anashindwa kumlea mwanae wewe kama unamudu endelea kumsaidia huyo mtoto na mungu atakubariki usivunje ndoa yako.
 
Serious hiyo ni roho mbaya mtoto kafanya nin? Malaika asiyejua A au B amekukosea nin? Hajawah saidia watoto yatima? Watoto wa mtaan je?? Ingekua huyo mwanamke anamawasiliano na mzaz mwenzake bas iyo ni mbaya
Inaonekana hakujiandaa kumbeba huyo mtoto ndo maana chuki imeinuka toka kwake, sasa hata kama akimhudumia huyo mtoto sio kwa moyo mkunjufu hata kidogo its like atakuwa na majuto ndani yake.
 
Hapana Kiongozi Mimi ni mmoja ya wale watu naopinga unyanyapaaji wa single mother.

Hili linalo nisibu limenikuta tayari tumeisha ingia kwenye ndoa, mwanzo sikia hivyo kabsa.

Lakini pia ni mda Sasa nimejilamizamisha kumpenda huyu mtoto lakini nimeshindwa kabsa. Nafsi yangu imegoma. Naona best way ni kuachana tu moyo ubaki free.
OK.
 
Unaonyesha jinsi Hauna upendo uwezi saidia mtu yeyote wewe
Upendo kwa kule Mkojo wa mtu mwingine.....ili hali yuko hai. Ina hustle wakati baba yao pesa anashinda bar na kuhonga wanawake? Utakuwa ni mpumbabu kweli kweli
 
Anafanya kila kitu kwa yule baba wa kambo.

Anamtii na kumheshimu pia kujitoa kwa kila kitu kwa yule mzee japo si babake.

Vijana mnao wa-diss single maza kisa mwanae atakugeuka hua nawashangaa sana.
Hicho ni kizazi cha Before 2000.

Usitudanganye.
 
1.Mwambia Mkeo amupeleke huyo mtoto kwa Baba yake,au kwa Bibi yake.
2.Ukishindikana muweke wazi kuwa huwezi kuishi na huyo mtoto,kama hawezi kupelekwa kulelewa pengine basi pianani talaka-nyi e hamjazaliwa tumbo moja kwamba no lazima mzeeke pamoja.

Fanya kitu kinachokupa furaha maishani,maisha ni mafupi sana acha kuishi kwa stress utakufa mapema sana.
Hii ni green light ya kuvunja hiyo ndoa
 
Hapo huyo mwanamke akili zake ziko kwa mtoto wake hawezi kukupenda unless kuna kitu anakipata hapo kwako.

Tumia akili maisha mfupi sana ,mimi ni mkubwa kuliko wewe ila alishakuja single mother kwa kunitaka mwenyewe ila nilikataa kisa japo kazi yake sio njaa kali .

Kwanza ,ni msumbufu sana unaweza kuwa na miadi ya kazi asije ofisi hata siku tatu ,anakumbia mwanangu alikuwa anaumwa , halafu masaaa 24 anapost mwanawe tu kweny status Whatsapp mpaka nimemute status zake..Just imagine anavyosumbua ,siku nyingine anakuja na mtoto wake ofisi ...Nilimuuliza kuhusu baba wa mtoto akawa mkali sana ...

Ndugu yangu hata uwe na miaka 40 unless una akili timamu usikubali kuoa mwanamke mwenye mtoto ,ni mke wa mtu ,anakufanya wewe ni plan B ...

Hakuna rangi utaacha kuiona siku mkigombana ; ana mtoto wa kumpa faraja ,ana chemist ya asili baba wa mtoto ,huyo mwanamke inawezekana kabla ya kuwa na mtoto angekukataa...Linda heshima na utu wako maisha mafupi sana.​
unajuaje kama hawezi kumpenda ? hivi unajua unacho kiandika mkuu kuhusu kusaidia mtoto mdogo ni jambo jema sana hata kama baba yake hayupo naye na sio kwamba mkewe ampendi hebu acha uchochezi.
 
unajuaje kama hawezi kumpenda ? hivi unajua unacho kiandika mkuu kuhusu kusaidia mtoto mdogo ni jambo jema sana hata kama baba yake hayupo naye na sio kwamba mkewe ampendi hebu acha uchochezi.
Hawezi kumpenda ng'o ,hakunq kitu kama hicho ...Hakuna mwanamke anaweza kumpenda mume mbele ya mtoto hata siku moja.
 
Back
Top Bottom