Najuta kuoa Single mother, kila nikimtazama huyu mtoto wake Moyo wangu Unaumia kwa machungu makali. Nahitaji msaada

Najuta kuoa Single mother, kila nikimtazama huyu mtoto wake Moyo wangu Unaumia kwa machungu makali. Nahitaji msaada

Mdoangu kalelewa na baba mwingine mara baada ya mama kukacha ndoa.

Huyo mdoangu hamtaki kabisa baba yangu ambae ni baba yetu wa ukweli.

Anafanya kila kitu kwa yule baba wa kambo.

Anamtii na kumheshimu pia kujitoa kwa kila kitu kwa yule mzee japo si babake.

Vijana mnao wa-diss single maza kisa mwanae atakugeuka hua nawashangaa sana.

Mtoto kukugeuka ni kutokana na namna utkavyo mlea.

Kwann asikugeuke Ukimlea kijeshi, kibaba wa kambokweli kweli, kiroho mbaya... mpaka anauliza mama huyu kweli babangu?
Siyo wote wako hivyo.
 
Nakwede naona unazidi kumtia wenge men mwenzetu, yaani ajione ana roho mbaya kwa malaika sio 🤣🤣🤣🤣
Serious hiyo ni roho mbaya mtoto kafanya nin? Malaika asiyejua A au B amekukosea nin? Hajawah saidia watoto yatima? Watoto wa mtaan je?? Ingekua huyo mwanamke anamawasiliano na mzaz mwenzake bas iyo ni mbaya
 
WanaJF
Habari zenu, heri ya Ramadan na Kwaresma, matumaini yangu wote wazima, waliyo na changamoto Mungu akawape njia.

Ni kijana barubaru wa miaka 28 mwenye nguvu na Afya.

Wakuu kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyo jieleza, nilioa huyu single mother mwaka mmoja uliyo pita baada ya kujiridhisha tabia zake zinafaa kuwa mke na mm bila hiyana nikachukua nikaweka ndani, nikatia pamba maskioni kuzuia kelele za "KUOGOPA SINGLE MOTHER" kumbe nilikua najidanganya nafasi yangu.

Wakuu kila kukicha nikimtazama huyu mtoto wake Roho yangu inauma kwa uchungu wa majuto ya kuoa huyu single mother ni kama nilirogwa hivi kuoa huyu mwanamke, kivipi yaani natunza mbegu za mwanaume mwingine naye yupo tu anakula Bata at the end mtoto aje kunikana mimi siyo baba yake, kwanini hata sikuchukua mdogo wangu nikae naye , kuliko kuhudumia damu ambayo siyo yangu. Wakuu najuta sana.

Niwe Mkweli nafsi yangu inajuta sana. Nahitaji msaada wa kisaikolojia nijinasue kutoka hapa nilipo kwama, imefika hatua hata kukaa nyumban siwezi kabsa.
Pia naomba wale waliyo wai pitia hii situation walijinasuaje? Mnisaidie.

Ulioa kwa kutumia kichwa cha chini, na sasa unatumia kichwa cha juu, muache tu mtoto wa watu kuliko kumuangalia kwa roho mbaya hivyo
 
Naomba nieleweke simchukii huyu mtoto na Wala Sina shida naye. Lakini nafsi yangu imegoma kabsa kumpenda huyu mtoto wake. Najilazimisha sana kumpenda huyu mtoto lakini Moyo wangu unegoma kabsa it has been almost 1 year ni mda Sasa niutue huu mzigo nafsi yangu ibaki huru.
Kama unataka uhuru muache huyo mwanamke aondoke n mtoto wake n si kumtenganisha mtoto na mam yake.
Kamwambie mkeo haya yote unayosema hapa. Au nenda kwa wazazi wake kawaambie..
 
WanaJF
Habari zenu, heri ya Ramadan na Kwaresma, matumaini yangu wote wazima, waliyo na changamoto Mungu akawape njia.

Ni kijana barubaru wa miaka 28 mwenye nguvu na Afya.

Wakuu kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyo jieleza, nilioa huyu single mother mwaka mmoja uliyo pita baada ya kujiridhisha tabia zake zinafaa kuwa mke na mm bila hiyana nikachukua nikaweka ndani, nikatia pamba maskioni kuzuia kelele za "KUOGOPA SINGLE MOTHER" kumbe nilikua najidanganya nafasi yangu.

Wakuu kila kukicha nikimtazama huyu mtoto wake Roho yangu inauma kwa uchungu wa majuto ya kuoa huyu single mother ni kama nilirogwa hivi kuoa huyu mwanamke, kivipi yaani natunza mbegu za mwanaume mwingine naye yupo tu anakula Bata at the end mtoto aje kunikana mimi siyo baba yake, kwanini hata sikuchukua mdogo wangu nikae naye , kuliko kuhudumia damu ambayo siyo yangu. Wakuu najuta sana.

Niwe Mkweli nafsi yangu inajuta sana. Nahitaji msaada wa kisaikolojia nijinasue kutoka hapa nilipo kwama, imefika hatua hata kukaa nyumban siwezi kabsa.
Pia naomba wale waliyo wai pitia hii situation walijinasuaje? Mnisaidie.
Huku unakoelekea kuna uwezekano ukaja kimdhuru Huyo mtoto. Jitahidi kujizuia.

Na Pole kwa kuumia, ila yatapita tu. Mchape mimba akuzalie itapunguza machungu. Vinginevyo ukitaka baba yake ashirikishwe matunzo jiandae pia kuchapiwa kwa kisingizio Cha kwenda kuchukua matumizi.
 
Naomba hizo mbinu Mkuu maana nimejilamizamisha sana kumpenda huyu mtoto lakini nimeshindwa, it's time to be free nafsi yangu iwe huru.


Now money runs the game of life and not genuine love

So mtafute Baba wa huyo mtoto ili aweze kuwa provider to his/her kid

Hamna Saba u ya kumchukia mtoto maana huyo mtoto akukulazimisha umuoe mama yake ili apate malezi na huyo mtoto hakupanga Baba yake na mama yake wawe separated.

So don't hate the player hate the game
 
WanaJF
Habari zenu, heri ya Ramadan na Kwaresma, matumaini yangu wote wazima, waliyo na changamoto Mungu akawape njia.

Ni kijana barubaru wa miaka 28 mwenye nguvu na Afya.

Wakuu kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyo jieleza, nilioa huyu single mother mwaka mmoja uliyo pita baada ya kujiridhisha tabia zake zinafaa kuwa mke na mm bila hiyana nikachukua nikaweka ndani, nikatia pamba maskioni kuzuia kelele za "KUOGOPA SINGLE MOTHER" kumbe nilikua najidanganya nafasi yangu.

Wakuu kila kukicha nikimtazama huyu mtoto wake Roho yangu inauma kwa uchungu wa majuto ya kuoa huyu single mother ni kama nilirogwa hivi kuoa huyu mwanamke, kivipi yaani natunza mbegu za mwanaume mwingine naye yupo tu anakula Bata at the end mtoto aje kunikana mimi siyo baba yake, kwanini hata sikuchukua mdogo wangu nikae naye , kuliko kuhudumia damu ambayo siyo yangu. Wakuu najuta sana.

Niwe Mkweli nafsi yangu inajuta sana. Nahitaji msaada wa kisaikolojia nijinasue kutoka hapa nilipo kwama, imefika hatua hata kukaa nyumban siwezi kabsa.
Pia naomba wale waliyo wai pitia hii situation walijinasuaje? Mnisaidie.
Mzee apo umeshayavaa....kiukweli kazi unayo na huyo Mtoto lazima aje kumtafuta Baba yake.
Apo kimbia mzee ukaanzishe himaya yako
 
Mkuu unaumia bure tu! Mpende huyo mtoto tu kumbuka na yeye siyo Yeye uwe na huruma!
 
Back
Top Bottom