Bandar Abbas
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 468
- 1,219
Ndo ngoma inaanza unalia ???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba hizo mbinu Mkuu maana nimejilamizamisha sana kumpenda huyu mtoto lakini nimeshindwa, it's time to be free nafsi yangu iwe huru.Mtoto hana kosa ni bora hizo hasira uzielekeze kwa mtu mwingine na sio huyo mtoto
Siyo wote wako hivyo.Mdoangu kalelewa na baba mwingine mara baada ya mama kukacha ndoa.
Huyo mdoangu hamtaki kabisa baba yangu ambae ni baba yetu wa ukweli.
Anafanya kila kitu kwa yule baba wa kambo.
Anamtii na kumheshimu pia kujitoa kwa kila kitu kwa yule mzee japo si babake.
Vijana mnao wa-diss single maza kisa mwanae atakugeuka hua nawashangaa sana.
Mtoto kukugeuka ni kutokana na namna utkavyo mlea.
Kwann asikugeuke Ukimlea kijeshi, kibaba wa kambokweli kweli, kiroho mbaya... mpaka anauliza mama huyu kweli babangu?
Ni vyema kunishauri kuliko kunitusi.MSENGELEMA pole.
Serious hiyo ni roho mbaya mtoto kafanya nin? Malaika asiyejua A au B amekukosea nin? Hajawah saidia watoto yatima? Watoto wa mtaan je?? Ingekua huyo mwanamke anamawasiliano na mzaz mwenzake bas iyo ni mbayaNakwede naona unazidi kumtia wenge men mwenzetu, yaani ajione ana roho mbaya kwa malaika sio 🤣🤣🤣🤣
WanaJF
Habari zenu, heri ya Ramadan na Kwaresma, matumaini yangu wote wazima, waliyo na changamoto Mungu akawape njia.
Ni kijana barubaru wa miaka 28 mwenye nguvu na Afya.
Wakuu kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyo jieleza, nilioa huyu single mother mwaka mmoja uliyo pita baada ya kujiridhisha tabia zake zinafaa kuwa mke na mm bila hiyana nikachukua nikaweka ndani, nikatia pamba maskioni kuzuia kelele za "KUOGOPA SINGLE MOTHER" kumbe nilikua najidanganya nafasi yangu.
Wakuu kila kukicha nikimtazama huyu mtoto wake Roho yangu inauma kwa uchungu wa majuto ya kuoa huyu single mother ni kama nilirogwa hivi kuoa huyu mwanamke, kivipi yaani natunza mbegu za mwanaume mwingine naye yupo tu anakula Bata at the end mtoto aje kunikana mimi siyo baba yake, kwanini hata sikuchukua mdogo wangu nikae naye , kuliko kuhudumia damu ambayo siyo yangu. Wakuu najuta sana.
Niwe Mkweli nafsi yangu inajuta sana. Nahitaji msaada wa kisaikolojia nijinasue kutoka hapa nilipo kwama, imefika hatua hata kukaa nyumban siwezi kabsa.
Pia naomba wale waliyo wai pitia hii situation walijinasuaje? Mnisaidie.
Kama unataka uhuru muache huyo mwanamke aondoke n mtoto wake n si kumtenganisha mtoto na mam yake.Naomba nieleweke simchukii huyu mtoto na Wala Sina shida naye. Lakini nafsi yangu imegoma kabsa kumpenda huyu mtoto wake. Najilazimisha sana kumpenda huyu mtoto lakini Moyo wangu unegoma kabsa it has been almost 1 year ni mda Sasa niutue huu mzigo nafsi yangu ibaki huru.
Huku unakoelekea kuna uwezekano ukaja kimdhuru Huyo mtoto. Jitahidi kujizuia.WanaJF
Habari zenu, heri ya Ramadan na Kwaresma, matumaini yangu wote wazima, waliyo na changamoto Mungu akawape njia.
Ni kijana barubaru wa miaka 28 mwenye nguvu na Afya.
Wakuu kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyo jieleza, nilioa huyu single mother mwaka mmoja uliyo pita baada ya kujiridhisha tabia zake zinafaa kuwa mke na mm bila hiyana nikachukua nikaweka ndani, nikatia pamba maskioni kuzuia kelele za "KUOGOPA SINGLE MOTHER" kumbe nilikua najidanganya nafasi yangu.
Wakuu kila kukicha nikimtazama huyu mtoto wake Roho yangu inauma kwa uchungu wa majuto ya kuoa huyu single mother ni kama nilirogwa hivi kuoa huyu mwanamke, kivipi yaani natunza mbegu za mwanaume mwingine naye yupo tu anakula Bata at the end mtoto aje kunikana mimi siyo baba yake, kwanini hata sikuchukua mdogo wangu nikae naye , kuliko kuhudumia damu ambayo siyo yangu. Wakuu najuta sana.
Niwe Mkweli nafsi yangu inajuta sana. Nahitaji msaada wa kisaikolojia nijinasue kutoka hapa nilipo kwama, imefika hatua hata kukaa nyumban siwezi kabsa.
Pia naomba wale waliyo wai pitia hii situation walijinasuaje? Mnisaidie.
Naomba hizo mbinu Mkuu maana nimejilamizamisha sana kumpenda huyu mtoto lakini nimeshindwa, it's time to be free nafsi yangu iwe huru.
Sawa. Hujui nayopitia.Uwongo mtupu huu. Na sina hata haja ya kutoa maelezo
Huu ni muendelezo wa wakataa ndo na wanyanyasaji wa Ma single mother.
Uwongo na upuuzi mtupu huu
NakaziaFungua uzi kuhusu kutimuliwa na babako mzazi ukingali mwanafunzi kinda kabisa!
Ndio kaka inabidi tutete nao, vijana wanajichanganya mno aseee !Huu ushauri umeuandika kiutani ila ni mkubwa sana kwa maana umejikita zaidi kwenye madhara yanayoweza kujitokeza pindi hiyo hali itakapozidi.
Najuta sana.Ushaoa huna lakuongea
Mzee apo umeshayavaa....kiukweli kazi unayo na huyo Mtoto lazima aje kumtafuta Baba yake.WanaJF
Habari zenu, heri ya Ramadan na Kwaresma, matumaini yangu wote wazima, waliyo na changamoto Mungu akawape njia.
Ni kijana barubaru wa miaka 28 mwenye nguvu na Afya.
Wakuu kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyo jieleza, nilioa huyu single mother mwaka mmoja uliyo pita baada ya kujiridhisha tabia zake zinafaa kuwa mke na mm bila hiyana nikachukua nikaweka ndani, nikatia pamba maskioni kuzuia kelele za "KUOGOPA SINGLE MOTHER" kumbe nilikua najidanganya nafasi yangu.
Wakuu kila kukicha nikimtazama huyu mtoto wake Roho yangu inauma kwa uchungu wa majuto ya kuoa huyu single mother ni kama nilirogwa hivi kuoa huyu mwanamke, kivipi yaani natunza mbegu za mwanaume mwingine naye yupo tu anakula Bata at the end mtoto aje kunikana mimi siyo baba yake, kwanini hata sikuchukua mdogo wangu nikae naye , kuliko kuhudumia damu ambayo siyo yangu. Wakuu najuta sana.
Niwe Mkweli nafsi yangu inajuta sana. Nahitaji msaada wa kisaikolojia nijinasue kutoka hapa nilipo kwama, imefika hatua hata kukaa nyumban siwezi kabsa.
Pia naomba wale waliyo wai pitia hii situation walijinasuaje? Mnisaidie.
Nilifikiri ni mtoto wa miaka 1.5 -3 ambao wanakuwa na virugu sana kwa sababu hata uelewa wao ni mdogo. Hivyo nikafikiri kakuvunjia TV na ukapata hasira.6 years old
Umeuziwa mbuzi kwenye guniaSiyo Roho mbaya, Hakika ungejua ni kwa namna gani napambana kumpenda huyu mtoto usingesema hivyo. Nalazimisha nafsi yangu impende lakini imeshindikana.
Nafikiria kumuacha huyu mwanamke kwa hapa nilipofika sioni haja kuanzisha familia na huyu mwanamke.asa si umtie mimba akuzalie, unahangaika na kumchukia dogo janja wakati mzg unao ndani tia mimba