Mtu Alie Nyikani
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 949
- 2,038
- Thread starter
- #81
Najuta sijui Kwann sikusikia ya wahenga.Kwigwa kwa mbulu mbaka mininga mpoto
Kusikia kwa kenge mpaka atoke damu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najuta sijui Kwann sikusikia ya wahenga.Kwigwa kwa mbulu mbaka mininga mpoto
Kusikia kwa kenge mpaka atoke damu
Ungemalizia huyo single mother ni binadamu alieteleza halafu akaangukia kwake!.Mpende huyo mtoto, utaziona baraka za Mungu...
Single mama ni binadamu aliyeteleza tu...
Tuache kuhukumu, Mungu anasamehe
Kabisa mkuu.Ndio kaka inabidi tutete nao, vijana wanajichanganya mno aseee !
Najuta sana.Kwanini rafiki yangu na wewe mawowowo yanakuchanganya hivi? Ona sasa umeingia mkenge......kwanini usingepiga halafu upite hivi?.....
Mmeoana ndoa kabisa au mnaishi tu?Najuta sijui Kwann sikusikia ya wahenga.
Huku ni kudanganyana na hizo baraka zako,siwezi lea mtoto wa single mother,ni Bora nikalea mtoto wa kaka au dada yangu. OverMpende huyo mtoto, utaziona baraka za Mungu...
Single mama ni binadamu aliyeteleza tu...
Tuache kuhukumu, Mungu anasamehe
futa neno kuteleza, ut*mbwa bila condom huku ukijua kabisa kuna mawili kupata maradhi au ujauzito halafu unasema kuteleza? !!!Mpende huyo mtoto, utaziona baraka za Mungu...
Single mama ni binadamu aliyeteleza tu...
Tuache kuhukumu, Mungu anasamehe
bado unayo nafasi ya kurekebisha.Najuta sijui Kwann sikusikia ya wahenga.
Mkuu hichi ni kitu ambacho kimetokea wakati tukiwa tayari tumeisha ingia kwenye ndoa. Kabla ya hapo haya maumivu sikuwa nayo kabsa.Sasa tukusaidie nini 😂 si uondoke ukatafute mwanamke mwingine huyo mwachie amani yake ! Ulimkuta na mwanae hiyo ni damu yake lazima uwapende wote mambo ni mawili umpende yeye na mwanae au uondoke ! Ukatafute mwingine.
Usitie huruma hapa ,kujiliza liza ! Ndo mkitoka hapo mnapata misongo na hasira mnabaka na kulawiti watoto !
Toka uondoke , na ujifunze kuwa unawasikiliza wanaume wenzako.
Tena huyo single maza naomba akujue mapema akupe sumu labda akili zitasogeleana maana umemzidishia emotional demage 😂
Pole sana Mkuu.Sawa. Hujui nayopitia.
Wazazi wangu walikataa sana hili, ila nikakaidi, saivi imebaki majuto. No way nifanyeje Sasa? mtu tayari yupo ndani!!NIsamehe tu ,ila mimi sikuonei huruma. Pengine hata wazaz na ndugu zako hukutaka kuwasikia kama kweli umefunga mae ndoa.. hakuna ambaye angekuruhusu uoe single mom.humu utaambulia matusi tu
Soma Huu uzi Wake wa Punyeto utamuelewa vizuriNIsamehe tu ,ila mimi sikuonei huruma. Pengine hata wazaz na ndugu zako hukutaka kuwasikia kama kweli umefunga mae ndoa.. hakuna ambaye angekuruhusu uoe single mom.humu utaambulia matusi tu
Sijui kwanini sikuandika kama ulivyo andika.Kupanga ni kuchagua ww ulichagua hapo komaa
halafu alikua na 20yrs iweje Leo ako na 28yrs bila shaka katunywesha CHAI😡Kwanza umeacha kupiga nyeto?
2023 ulikuja hapa kuomba ushauri wa kuacha nyeto, wivu na kujiamini mbele ya wanawake.
Vp ulifanikiwa?
kumbe kijana alikua mpiga puchu bhana dah😂