Najuta kuoa Single mother, kila nikimtazama huyu mtoto wake Moyo wangu Unaumia kwa machungu makali. Nahitaji msaada

Najuta kuoa Single mother, kila nikimtazama huyu mtoto wake Moyo wangu Unaumia kwa machungu makali. Nahitaji msaada

Katika watu wenyewe huruma na roho nzuri Kwa watoto ni wanaume Hilo halipingiki ila nakushangaa wewe utakua na shida
Nakwede naona unazidi kumtia wenge men mwenzetu, yaani ajione ana roho mbaya kwa malaika sio 🤣🤣🤣🤣
 
Kinachokutesa hapo ni roho mbaya...tafadhali ondoka,usijeua mtoto...yaan ondoka hapo haraka.
Hukujua kuwa singlemom maana yake anamtoto ambaye si damu yako?
Siyo Roho mbaya, Hakika ungejua ni kwa namna gani napambana kumpenda huyu mtoto usingesema hivyo. Nalazimisha nafsi yangu impende lakini imeshindikana.
 
Yani mwanaume una 28 yrs kijana mbichi kabisa unaenda kuoa mwanamke aliyezalishwa na mwanaume mwingine kweli??,hivi huwa mnafikiri kwa kutumia akili au??
Wanawake wenyewe wa kitanzania suala la uaminifu kwao ni zero,kesho ukimkuta anawasiliana na mzazi mwenzake utajisikiaje??,suo ndio chanzo cha migogoro na hatimae kifo.

Achana na huyo mwanamke,tafuta mwanamke ambaye hajazaa uoe.Kila mtu ahukumiwe na maamuzi ya maisha yake-yeye alichezea maisha yake kwa kuzaa mapema basi akae bila kuolewa afaidi matunda ya maamuzi yake.
Vijana wamekua wapumbavu sasa. Wanachuagua mke kiholela holela tu kama vile sio maisha yao. Ukiwasanua utasikia mapenzi hayashauriki na blah blah kibao. Wpte tunajua future ya mahusiano/ndoa ni fumbo, lakini iyo sio sababu ya kufanya gamble kwenye red flag. Wanawake wenye rekodi nzuri wapo kwanini ufanye gamble kwa mwanamke mwenye rekodi mbaya?
 
IPO ivi mdg wangu utoto Bado unakusumbua huja mature kiakili, nilidhan labda umekuta mke wako Wana mawasiliano chanya na huyo baba wa mtoto ila kumbe ni unajutia maamuzi ulioyafanya apo umefeli, unapomsaidia mtu yeyote usi demand kulipwa fadhira Fanya kama unatoa sadaka kanisani, Mimi baba angu alinifukuza home kipindi nasoma na nilipokua shule nikipata rafiki mchaga akaenda kuwaeleza kwao kua nna matatzo na anaomba nikae kwao,


Akanikubalia nikaenda kukaa kwa yule mchaga ambae sina undugu nae hata tone alinilea kama mwanae wa kuzaa kwa kunipa mahitaji yote muhimu na kipindi hiko baba ni mfanyakazi serikalini na huyu bwana ni mfanyabiashara

mpk Namaliza shule naamua kuondoka kwake sijawah kumlipa hata sent kuhusu kunilea

Na hajawahi kunilaum wewe kulea mtoto wa mwenzio unaona ni kazi,, kwa hyo ata watoto wako utawalea uki demand watakuja kukulipa??


Lea kama unavoweza kumlea mtoto uliemuokota mtaani au kama mwanao au kama mtoto wa ndg yako acha ufala
Fungua uzi kuhusu kutimuliwa na babako mzazi ukingali mwanafunzi kinda kabisa!
 
1.Mwambia Mkeo amupeleke huyo mtoto kwa Baba yake,au kwa Bibi yake.
2.Ukishindikana muweke wazi kuwa huwezi kuishi na huyo mtoto,kama hawezi kupelekwa kulelewa pengine basi pianani talaka-nyi e hamjazaliwa tumbo moja kwamba no lazima mzeeke pamoja.

Fanya kitu kinachokupa furaha maishani,maisha ni mafupi sana acha kuishi kwa stress utakufa mapema sana.
Angekuwa ni mwanamke ameolewa mwanaume mwenye mtoto akawa anapitia changamoto kama hizi ungetoa ushauri mwingine au ndo huu huu both sides?
 
Yani mwanaume una 28 yrs kijana mbichi kabisa unaenda kuoa mwanamke aliyezalishwa na mwanaume mwingine kweli??,hivi huwa mnafikiri kwa kutumia akili au??
Wanawake wenyewe wa kitanzania suala la uaminifu kwao ni zero,kesho ukimkuta anawasiliana na mzazi mwenzake utajisikiaje??,suo ndio chanzo cha migogoro na hatimae kifo.

Achana na huyo mwanamke,tafuta mwanamke ambaye hajazaa uoe.Kila mtu ahukumiwe na maamuzi ya maisha yake-yeye alichezea maisha yake kwa kuzaa mapema basi akae bila kuolewa afaidi matunda ya maamuzi yake.
Nashukuru sana kwa ushauri wako huu Kiongozi. Najuta sana kufanya hili Kosa ukizingatia Mimi Sina mtoto nje. Sijui nilijichanganya vipi? But baado nna mda naamini nitarekebisha.
 
IPO ivi mdg wangu utoto Bado unakusumbua huja mature kiakili, nilidhan labda umekuta mke wako Wana mawasiliano chanya na huyo baba wa mtoto ila kumbe ni unajutia maamuzi ulioyafanya apo umefeli, unapomsaidia mtu yeyote usi demand kulipwa fadhira Fanya kama unatoa sadaka kanisani, Mimi baba angu alinifukuza home kipindi nasoma na nilipokua shule nikipata rafiki mchaga akaenda kuwaeleza kwao kua nna matatzo na anaomba nikae kwao,


Akanikubalia nikaenda kukaa kwa yule mchaga ambae sina undugu nae hata tone alinilea kama mwanae wa kuzaa kwa kunipa mahitaji yote muhimu na kipindi hiko baba ni mfanyakazi serikalini na huyu bwana ni mfanyabiashara

mpk Namaliza shule naamua kuondoka kwake sijawah kumlipa hata sent kuhusu kunilea

Na hajawahi kunilaum wewe kulea mtoto wa mwenzio unaona ni kazi,, kwa hyo ata watoto wako utawalea uki demand watakuja kukulipa??


Lea kama unavoweza kumlea mtoto uliemuokota mtaani au kama mwanao au kama mtoto wa ndg yako acha ufala
Daah🙏🙏🙏
 
Angekuwa ni mwanamke ameolewa mwanaume mwenye mtoto akawa anapitia changamoto kama hizi ungetoa ushauri mwingine au ndo huu huu both sides?
Sister kuhudumia ni kazi sana ukizingatia Mimi Sina mtoto nje!! Provider mkubwa hapa nyumbani ni Mimi imagine uhudumie mwanamke mwenye mtoto asiye wako ebu Jaribu kivaa viatu vyangu.
 
WanaJF
Habari zenu, heri ya Ramadan na Kwaresma, matumaini yangu wote wazima, waliyo na changamoto Mungu akawape njia.

Ni kijana barubaru wa miaka 28 mwenye nguvu na Afya.

Wakuu kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyo jieleza, nilioa huyu single mother mwaka mmoja uliyo pita baada ya kujiridhisha tabia zake zinafaa kuwa mke na mm bila hiyana nikachukua nikaweka ndani, nikatia pamba maskioni kuzuia kelele za "KUOGOPA SINGLE MOTHER" kumbe nilikua najidanganya nafasi yangu.

Wakuu kila kukicha nikimtazama huyu mtoto wake Roho yangu inauma kwa uchungu wa majuto ya kuoa huyu single mother ni kama nilirogwa hivi kuoa huyu mwanamke, kivipi yaani natunza mbegu za mwanaume mwingine naye yupo tu anakula Bata at the end mtoto aje kunikana mimi siyo baba yake, kwanini hata sikuchukua mdogo wangu nikae naye , kuliko kuhudumia damu ambayo siyo yangu. Wakuu najuta sana.

Niwe Mkweli nafsi yangu inajuta sana. Nahitaji msaada wa kisaikolojia nijinasue kutoka hapa nilipo kwama, imefika hatua hata kukaa nyumban siwezi kabsa.
Pia naomba wale waliyo wai pitia hii situation walijinasuaje? Mnisaidie.
Mtoto wa umri gani?
 
IPO ivi mdg wangu utoto Bado unakusumbua huja mature kiakili, nilidhan labda umekuta mke wako Wana mawasiliano chanya na huyo baba wa mtoto ila kumbe ni unajutia maamuzi ulioyafanya apo umefeli, unapomsaidia mtu yeyote usi demand kulipwa fadhira Fanya kama unatoa sadaka kanisani, Mimi baba angu alinifukuza home kipindi nasoma na nilipokua shule nikipata rafiki mchaga akaenda kuwaeleza kwao kua nna matatzo na anaomba nikae kwao,


Akanikubalia nikaenda kukaa kwa yule mchaga ambae sina undugu nae hata tone alinilea kama mwanae wa kuzaa kwa kunipa mahitaji yote muhimu na kipindi hiko baba ni mfanyakazi serikalini na huyu bwana ni mfanyabiashara

mpk Namaliza shule naamua kuondoka kwake sijawah kumlipa hata sent kuhusu kunilea

Na hajawahi kunilaum wewe kulea mtoto wa mwenzio unaona ni kazi,, kwa hyo ata watoto wako utawalea uki demand watakuja kukulipa??


Lea kama unavoweza kumlea mtoto uliemuokota mtaani au kama mwanao au kama mtoto wa ndg yako acha ufala
Naomba nieleweke simchukii huyu mtoto na Wala Sina shida naye. Lakini nafsi yangu imegoma kabsa kumpenda huyu mtoto wake. Najilazimisha sana kumpenda huyu mtoto lakini Moyo wangu unegoma kabsa it has been almost 1 year ni mda Sasa niutue huu mzigo nafsi yangu ibaki huru.
 
Mtoto hana kosa ni bora hizo hasira uzielekeze kwa mtu mwingine na sio huyo mtoto
 
Mdoangu kalelewa na baba mwingine mara baada ya mama kukacha ndoa.

Huyo mdoangu hamtaki kabisa baba yangu ambae ni baba yetu wa ukweli.

Anafanya kila kitu kwa yule baba wa kambo.

Anamtii na kumheshimu pia kujitoa kwa kila kitu kwa yule mzee japo si babake.

Vijana mnao wa-diss single maza kisa mwanae atakugeuka hua nawashangaa sana.

Mtoto kukugeuka ni kutokana na namna utkavyo mlea.

Kwann asikugeuke Ukimlea kijeshi, kibaba wa kambokweli kweli, kiroho mbaya... mpaka anauliza mama huyu kweli babangu?
 
WanaJF
Habari zenu, heri ya Ramadan na Kwaresma, matumaini yangu wote wazima, waliyo na changamoto Mungu akawape njia.

Ni kijana barubaru wa miaka 28 mwenye nguvu na Afya.

Wakuu kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyo jieleza, nilioa huyu single mother mwaka mmoja uliyo pita baada ya kujiridhisha tabia zake zinafaa kuwa mke na mm bila hiyana nikachukua nikaweka ndani, nikatia pamba maskioni kuzuia kelele za "KUOGOPA SINGLE MOTHER" kumbe nilikua najidanganya nafasi yangu.

Wakuu kila kukicha nikimtazama huyu mtoto wake Roho yangu inauma kwa uchungu wa majuto ya kuoa huyu single mother ni kama nilirogwa hivi kuoa huyu mwanamke, kivipi yaani natunza mbegu za mwanaume mwingine naye yupo tu anakula Bata at the end mtoto aje kunikana mimi siyo baba yake, kwanini hata sikuchukua mdogo wangu nikae naye , kuliko kuhudumia damu ambayo siyo yangu. Wakuu najuta sana.

Niwe Mkweli nafsi yangu inajuta sana. Nahitaji msaada wa kisaikolojia nijinasue kutoka hapa nilipo kwama, imefika hatua hata kukaa nyumban siwezi kabsa.
Pia naomba wale waliyo wai pitia hii situation walijinasuaje? Mnisaidie.
kwani kichanjio chako amechukua huyo single mother? kama unacho lala mbele!! oa kigori.
 
Back
Top Bottom