Najuta kuoa Single mother, kila nikimtazama huyu mtoto wake Moyo wangu Unaumia kwa machungu makali. Nahitaji msaada

Najuta kuoa Single mother, kila nikimtazama huyu mtoto wake Moyo wangu Unaumia kwa machungu makali. Nahitaji msaada

Ukitaka amani..karata ipo kwa huyo mtoto..changa vizuri

Ila c uwa mnaambiwa????
 
Kwani mkuu una uhakika wewe huna mbegu yako huko inalelewa na mtu mwingine.
Angalia isije ikawa unavuna ulichokipanda afu unalalamika.
 
WanaJF
Habari zenu, heri ya Ramadan na Kwaresma, matumaini yangu wote wazima, waliyo na changamoto Mungu akawape njia.

Ni kijana barubaru wa miaka 28 mwenye nguvu na Afya.

Wakuu kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyo jieleza, nilioa huyu single mother mwaka mmoja uliyo pita baada ya kujiridhisha tabia zake zinafaa kuwa mke na mm bila hiyana nikachukua nikaweka ndani, nikatia pamba maskioni kuzuia kelele za "KUOGOPA SINGLE MOTHER" kumbe nilikua najidanganya nafasi yangu.

Wakuu kila kukicha nikimtazama huyu mtoto wake Roho yangu inauma kwa uchungu wa majuto ya kuoa huyu single mother ni kama nilirogwa hivi kuoa huyu mwanamke, kivipi yaani natunza mbegu za mwanaume mwingine naye yupo tu anakula Bata at the end mtoto aje kunikana mimi siyo baba yake, kwanini hata sikuchukua mdogo wangu nikae naye , kuliko kuhudumia damu ambayo siyo yangu. Wakuu najuta sana.

Niwe Mkweli nafsi yangu inajuta sana. Nahitaji msaada wa kisaikolojia nijinasue kutoka hapa nilipo kwama, imefika hatua hata kukaa nyumban siwezi kabsa.
Pia naomba wale waliyo wai pitia hii situation walijinasuaje? Mnisaidie.
Kiumbe wa watu kakukosea nini? Mpelekeni Bweni then Focus na penzi lako.

Hiyo chuki kwa mtoto sio nzuri.
 
Mpige mimba mfululizo uwe unawaangalia wanao, suluhisho ndio hilo tomba zalisha watoto hata 6 hivi kisha usiwe unamuangalia huyo mwanamke waangalie wanao
Sasa mkuu kama Mke wake anatumia Uzazi wa mpango je na Single mother hawataki kuzaa mtoto wa pili mpaka huyo mtoto wao wa kwanza awe na uhakika wa kusomeshwa na Baba Wakambo, Maana Baba mtoto anakua hajali matumuzi ya mtoto na utakuta Kazaa na Mume wa mtu.
 
Mkuu sio kwamba nakula bata. Mambo ni magumu. Nomba usimfukuze mwanangu. Nisaidie tu kulea. Akikua nitamwambia akusaidie na wewe.
 
Yaani wanaume wa sasa
WanaJF
Habari zenu, heri ya Ramadan na Kwaresma, matumaini yangu wote wazima, waliyo na changamoto Mungu akawape njia.

Ni kijana barubaru wa miaka 28 mwenye nguvu na Afya.

Wakuu kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyo jieleza, nilioa huyu single mother mwaka mmoja uliyo pita baada ya kujiridhisha tabia zake zinafaa kuwa mke na mm bila hiyana nikachukua nikaweka ndani, nikatia pamba maskioni kuzuia kelele za "KUOGOPA SINGLE MOTHER" kumbe nilikua najidanganya nafasi yangu.

Wakuu kila kukicha nikimtazama huyu mtoto wake Roho yangu inauma kwa uchungu wa majuto ya kuoa huyu single mother ni kama nilirogwa hivi kuoa huyu mwanamke, kivipi yaani natunza mbegu za mwanaume mwingine naye yupo tu anakula Bata at the end mtoto aje kunikana mimi siyo baba yake, kwanini hata sikuchukua mdogo wangu nikae naye , kuliko kuhudumia damu ambayo siyo yangu. Wakuu najuta sana.

Niwe Mkweli nafsi yangu inajuta sana. Nahitaji msaada wa kisaikolojia nijinasue kutoka hapa nilipo kwama, imefika hatua hata kukaa nyumban siwezi kabsa.
Pia naomba wale waliyo wai pitia hii situation walijinasuaje? Mnisaidie.

Kiongozi hata sikuelewi
Yaani umemwoa mwanamke mwenye mtoto halafu unaona shida kutunza mtoto?
Kwa taarifa yako hao watoto ndio wanakuja kuwa na msaada kwako kuliko hata wa kwako uliye mzaa.
Nikutoe wasiwasi kuwa; Watoto wa kizazi hiki wanatambua mzazi ni yule aliyemlea na sio yule aoliyemtelekeza. Jitahidi Asome kabisa tena vizuri kwa kadri ya uwezo wako.
USHAHIDI WA NIYOANDIKA NI MWINGI SANA, ULIZIA TU HATA HAPO MAENEO YA KWAKO
 
Yani mwanaume una 28 yrs kijana mbichi kabisa unaenda kuoa mwanamke aliyezalishwa na mwanaume mwingine kweli??,hivi huwa mnafikiri kwa kutumia akili au??
Wanawake wenyewe wa kitanzania suala la uaminifu kwao ni zero,kesho ukimkuta anawasiliana na mzazi mwenzake utajisikiaje??,suo ndio chanzo cha migogoro na hatimae kifo.

Achana na huyo mwanamke,tafuta mwanamke ambaye hajazaa uoe.Kila mtu ahukumiwe na maamuzi ya maisha yake-yeye alichezea maisha yake kwa kuzaa mapema basi akae bila kuolewa afaidi matunda ya maamuzi yake.
Vijani wa sikuhizi majinga sana, Mimi nimeoa nikiwa na umri wa miaka 34 lakini sijaoa Single mother Nimeoa mtoto mbichi, Single mother nilikua nawafanya uwanja wa Mazoezi, Na mshangaa huyu kijana mdogo ameo Single mother wakati alitakiwa aoe binti wa miaka 20 mpaka 23 wapo kibao mitaani na uko mikoani.
 
Yaani wanaume wa sasa

Kiongozi hata sikuelewi
Yaani umemwoa mwanamke mwenye mtoto halafu unaona shida kutunza mtoto?
Kwa taarifa yako hao watoto ndio wanakuja kuwa na msaada kwako kuliko hata wa kwako uliye mzaa.
Nikutoe wasiwasi kuwa; Watoto wa kizazi hiki wanatambua mzazi ni yule aliyemlea na sio yule aoliyemtelekeza. Jitahidi Asome kabisa tena vizuri kwa kadri ya uwezo wako.
USHAHIDI WA NIYOANDIKA NI MWINGI SANA, ULIZIA TU HATA HAPO MAENEO YA KWAKO
[/QUOTE
Hiyo habari ya msaada ni 50/50 mkuu usije 100% huwa wanaungana na mama yao wanarudi kwa baba zao hao.
 
Kila siku tunasema kuhusu singo mama uku lakini kuna watu mnapitaga izo uzi uku mkisonya..
Ayaa sasa limekupataa.
 
WanaJF
Habari zenu, heri ya Ramadan na Kwaresma, matumaini yangu wote wazima, waliyo na changamoto Mungu akawape njia.

Ni kijana barubaru wa miaka 28 mwenye nguvu na Afya.

Wakuu kama kichwa Cha habari hapo juu kinavyo jieleza, nilioa huyu single mother mwaka mmoja uliyo pita baada ya kujiridhisha tabia zake zinafaa kuwa mke na mm bila hiyana nikachukua nikaweka ndani, nikatia pamba maskioni kuzuia kelele za "KUOGOPA SINGLE MOTHER" kumbe nilikua najidanganya nafasi yangu.

Wakuu kila kukicha nikimtazama huyu mtoto wake Roho yangu inauma kwa uchungu wa majuto ya kuoa huyu single mother ni kama nilirogwa hivi kuoa huyu mwanamke, kivipi yaani natunza mbegu za mwanaume mwingine naye yupo tu anakula Bata at the end mtoto aje kunikana mimi siyo baba yake, kwanini hata sikuchukua mdogo wangu nikae naye , kuliko kuhudumia damu ambayo siyo yangu. Wakuu najuta sana.

Niwe Mkweli nafsi yangu inajuta sana. Nahitaji msaada wa kisaikolojia nijinasue kutoka hapa nilipo kwama, imefika hatua hata kukaa nyumban siwezi kabsa.
Pia naomba wale waliyo wai pitia hii situation walijinasuaje? Mnisaidie.
baba yangu alikuwa na watoto ambao sio wa mama yangu. sisi binafsi tulipenda na na tunapendana mno, hata kama mama angemchukia vipi yule mtoto bado sisi tuliona ni kaka, mtoto wa baba na tulimpenda. alikuja kutokea kuwa ndiye msaidizi mkubwa wa sisi wadogo zake na hadi mama mwenyewe. naifahamu familia ambayo single maza alikuwa kwenye mazingira yako, yule mtoto wa kufikia ndiye alikuja kuwa mkombozi wa wadogo zake wote na ilitokea hivyo kwa mateso na masumbufu aliyoyapata toka kwa baba wa kufikia, akawa kama mwanajeshi, mzoefu wa shida, mpambanaji, hiyo ikamtoa kimaisha akafanikiwa sana kwani alijua yeye mtu pekee wa kumsaidia alikuwa mama yake, baba yake wa kufikia hampendi na baba wa damu hana msaada, akapambana kivyake tangu shule. mamake alimwambia hali halisi kwamba usipopambana wewe upo peke yako hapa nikiondoka leo utajuta,watakutesa hawa. akapambana sana, matokeo yake yeye ndiye amefanikiwa mitoto ya baba wa kufikia imekuwa mzigo kwake tena na baba wa kufikia anasaiidiwa naye pia.

nachokushauri, kama umeshazaa na huyo single maza, watoto wako hawaoni tofauti yeyote kwa huyo mtoto, wanamwona mwenzao kwa sababu wamenyonya ziwa moja, na yeye anawaona watoto wako kama wadogo zake na anawapenda na akifanikiwa hatawaacha. kamwe usijefikiri atawatosa wadogo zako, isipokuwa kama ukiwapendelea mbele yake. watoto walionyonya ziwa moja sio rahisi kuachana hata kimaisha.
 
Mzee apo umeshayavaa....kiukweli kazi unayo na huyo Mtoto lazima aje kumtafuta Baba yake.
Apo kimbia mzee ukaanzishe himaya yako
Kwani mkuu lengo la kulea mtoto wa mke wako ili hasije kumtafuta Baba mzazi? Kwani mtoto kumtafuta Baba Mzazi ni kosa au kutaka kujua kwao ni kosa?
 
Back
Top Bottom