Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ulimpenda mwenyewe... waweza kumchukia mwenyeweYaani ni tabu ukichelewa kurudi kidogo tu lawama kibao.
ukisema utembelee shost zako huruhusiwi na maneno kibao.
kibaya zaid mume huyu ni bingwa wa kununa kitu kidogo atanuna siku saba! Loh ! Bora nibaki sinngle mie ..
Nadai taraka yangu
Hakuna cha talaka, umesahau kuwa sisi huwa hatufungi ndoa, tunafunga pingu za maisha!Yaani ni tabu ukichelewa kurudi kidogo tu lawama kibao.
ukisema utembelee shost zako huruhusiwi na maneno kibao.
kibaya zaid mume huyu ni bingwa wa kununa kitu kidogo atanuna siku saba! Loh ! Bora nibaki sinngle mie ..
Nadai taraka yangu
Ilikuwaga zamani kwa bibi zetu kwasababu shule yao ilikuwa ndogo lkn Leo Hi Mimi moniccca na elimu yangu hii bado nifanywe kama ng'ombe kufungiwa saa kumi na mbili! Loh hapanaHakuna cha talaka, umesahau kuwa sisi huwa hatufungi ndoa, tunafunga pingu za maisha!
Unazungumzia ndoa za serikali au za kimila, lakini zile kwa jina la Bwana bado ziko vilevile. Ni pingu za maisha hapo huchomoki.Ilikuwaga zamani kwa bibi zetu kwasababu shule yao ilikuwa ndogo lkn Leo Hi Mimi moniccca na elimu yangu hii bado nifanywe kama ng'ombe kufungiwa saa kumi na mbili! Loh hapana
Kwani nimefungwa na minyororo au gundi au tumeunganishwa mifupa na nyama?Unazungumzia ndoa za serikali au za kimila, lakini zile kwa jina la Bwana bado ziko vilevile. Ni pingu za maisha hapo huchomoki.
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
una uhakika gani ni mwanamke?Kua na mwanamke kama wewe ni kujipa matatizo ya moyo tu.
Pitia post zake za zamani utajua.una uhakika gani ni mwanamke?
nazifahamu that's why nikauliza hivyo... amefanana na mwanaume anayejivika uanamke.Pitia post zake za zamani utajua.
Hilo ni juu yake mimi namtambua kama mwanamke.nazifahamu that's why nikauliza hivyo... amefanana na mwanaume anayejivika uanamke.
Anataka mshinde ndani huku anakuunguza!!! Pole sana moni, au siku hizi huungui?Siwezi vumilia mi ni mtu wa kujirusha yeye anakata tushinde ndani tu wkend zote
Tuonane mlimani city Leo iliuamini kuwa Mimi ni mwanamke mrembo wa asili
Ushauri huo unampa monicca? Ahahahahahahaa unatwanga maji kwenye kinu mkuuNafikiri unatakiwa ubadili namna ya kuishi, ulikula kiapo cha kuwa na huyo mwenza wako siku zote za maisha yenu hapa duniani. Na ukitaka kufurahia, toa sadaka baadhi ya mambo ambayo ni kero kwa mwenzio kama hayo. Nina hakika, hata yeye kuna baadhi ya vitu alipenda kufanya ila ameacha kwa sababu yako.
#FurahiaNdoa
Kujirusha mwenyewe au mkajirushe? Umesahau kwamba wewe na shemeji ni mwili mmoja?Nataka niende kijirusha
Maamuzi yake apo achukuwe au akunjekunje atupe kuleUshauri huo unampa monicca? Ahahahahahahaa unatwanga maji kwenye kinu mkuu