Najuta kuolewa!

Najuta kuolewa!

Ndoa haijajibu bado,,,unge conceive ungekuwa unaagza udongo na ndm tu hapa jamaa anakuchelesha sana
 
Monicca sikuelewi na sitaweza kukuelewa kwa nauli zako tata zinazochanganya, ni juzi umeingia kwenye ndoa ukaja na wimbo mzuuri uliosheheni vina na sifa, haya Leo imekuwaje tena lawama, majuto. Umekosa staha na uvumilivu ninani utaweza ishi nae bila uvumilivu. Kuna walakini hapa na andiko lako hayumkini ni hadithi ya kufikirika. Bwana akubariki akutie nguvu ktk kipindi hiki kigumu.
 
Siwezi vumilia mi ni mtu wa kujirusha yeye anakata tushinde ndani tu wkend zote
mwanagu, ulitaka uingie kwenye ndoa na tabia za kujirusha????

Kumbuka ndoa ni heshima, na Adabu, kama ulikuwa unataka kujirusha kwa nini ulikubali kuolewa?

Biblia inasema mwanamke mwenye Adabu ni taji kichwani mwa mumewe.

Wacha utoto. Badilika wacha tabia za kuambatana na watu wasio na hekima.

Msikilize mume wako. Maana mume ni kichwa cha nyumba, sikio Halizidi kichwa.

Wengi wenu wameachika kwa sababu za kudhani ndoa ni kama kilabu cha mbege.

Usiwaingize mashosti zako katika ndoa yako, utaivunja kwa mikono yako mwenyewe.

Usidhani ni ufahari kuachana kumbuka mwanaume hana cha kupoteza.

Bali kwa mwanamke ni istoria mbaya, kwamba umeachwa.

Tulia tena uwe na Adabu, jiheshimu heshimu ndoa yako.

Tena mimi nampongeza huyo mumeo maana anakupenda na hapendi kuona huna Unakuwa mcharuko.

Ni mwanaume gani anashinda wikiendi nyumbani na mkewe?

Kama hujui kaulize wenzio Ambao mwazo wa mwaka mwisho wa mwaka wanakuja nyumbani usiku wa manane.

Tulia binti acha kuishi kwa kuiga iga tabia zisizo na maana kwenye ndoa yako wewe ni mke wa mtu sasa.

wambie hata mashoga zako wanao kutia kiwewe mpaka unataka kuachika ili jujirushe kwamba sasa wewe ni MRS.
 
Masingo maza haya. Ujana wako umeshachezeja unakuja kuwaadaa wenzako hapa wafuate ujinga wako
 
Your not wife material huyo kaingia cha kike ndo tatzo la kuolewa ili ionekane na ww umeolewa ilihali bado una makandokando kibao
 
Ahahhahhahah Monica unaraha sana maana kuna watu wanachangia kwa emotional aisee kama kweli
 
Siwezi vumilia mi ni mtu wa kujirusha yeye anakata tushinde ndani tu wkend zote

jf raha sanaa utakuta hata mme wa mtu anayekutoa out huna sembuse mmeo.....kila siku mikono juu ukimuomba Muumba wako akupe hata kibabu....
 
Swali la kizushi sipo serious sana, uliwahi kujiuliza kwa nini kila siku ndo unatoa miguu kutembelea mashost na sio wao kuja kwako? Jibu utakalopata ndio utajua wenzako walifundishwa kuwa wake sio wazururaji.
 
Sasa ulitaka ukiolewa uendelee kuishi kibachela kwa kujirusha na mashosti wako?

Jipange kiakili
Natafuta kitufe cha likes sikioni. Hawa ni wale waliokuwa day worker, hashindi nyumbani nanhii inawaka moto.
 
Back
Top Bottom