mke wangu nakushauri achana na mashosti fata amri halali za mumeo.Yaani ni tabu ukichelewa kurudi kidogo tu lawama kibao.
ukisema utembelee shost zako huruhusiwi na maneno kibao.
kibaya zaid mume huyu ni bingwa wa kununa kitu kidogo atanuna siku saba! Loh ! Bora nibaki sinngle mie ..
Nadai taraka yangu
Tena atakuta umesha andaa chai [emoji2] [emoji2]Njoo kwangu bibie, mimi hata ukirudi asubuhi sina maneno [emoji4]
Siwezi vumilia mi ni mtu wa kujirusha yeye anakata tushinde ndani tu wkend zote
Monica kweli kiboko....Lkn si kila shetani na mbuyu wake..Bora una mchumba, kwa monicca suruali ungevaa begani, muonee huruma me mwenzio
Ahahahahahahaa yeye wake Mpera na hajakutana nao mingi Ni mibuyuMonica kweli kiboko....Lkn si kila shetani na mbuyu wake..
Ndio maana hajui ardhi inapitwa na vitu vingi..Ahahahahahahaa yeye wake Mpera na hajakutana nao mingi Ni mibuyu
Jamani mmeona wenyewe waenga walisema kunguru afugiki.Nataka niende kijirusha
wewe unaweza mpendwa?Vumilia
nyumbuYaani ni tabu ukichelewa kurudi kidogo tu lawama kibao.
ukisema utembelee shost zako huruhusiwi na maneno kibao.
kibaya zaid mume huyu ni bingwa wa kununa kitu kidogo atanuna siku saba! Loh ! Bora nibaki sinngle mie ..
Nadai taraka yangu