Zumbe Kimweru
JF-Expert Member
- Jul 13, 2014
- 340
- 27
Pole sana ndugu na tetesi zinasema bodi imeungua pamoja na cheque za hela
unalia kupangwa field wakati waliopangwa kazi hawana shida?
wandugu.. maisha yangu ni magumu baada ya bodi kushindwa kutoa hela kwa wakati.. sasa nala mapapai asubuhi ilinijikimu maisha huku mtwara ndugu zangu wa huko dar es salaam, pamoja na wanafunzi wenzangu tujiulize hali hii itaenda mpaka lini? jmn wanachuo wenzangu huku tunakula matunda kama ndege usiku na mchana..jamani ifikiwe wakati bodi mtuonee huruma sisi watoto wa wawakulima.. mungu awabariki wadau
Pole sana ndugu na tetesi zinasema bodi imeungua pamoja na cheque za hela
MATANGAZO MSIBANI YA NN TUNAJUA MMEPATA KWA KUWA HICHO CHUO WANAFUNZI MNA NJAA SANA NA WAMEOGOPA DADAZETU WASIJE WAKASHINDIA BODABODA NA UCKU CHIPSI TUUUπ
MATANGAZO MSIBANI YA NN TUNAJUA MMEPATA KWA KUWA HICHO CHUO WANAFUNZI MNA NJAA SANA NA WAMEOGOPA DADAZETU WASIJE WAKASHINDIA BODABODA NA UCKU CHIPSI TUUUπ
MATANGAZO MSIBANI YA NN TUNAJUA MMEPATA KWA KUWA HICHO CHUO WANAFUNZI MNA NJAA SANA NA WAMEOGOPA DADAZETU WASIJE WAKASHINDIA BODABODA NA UCKU CHIPSI TUUUπ
wandugu.. maisha yangu ni magumu baada ya bodi kushindwa kutoa hela kwa wakati.. sasa nala mapapai asubuhi ilinijikimu maisha huku mtwara ndugu zangu wa huko dar es salaam, pamoja na wanafunzi wenzangu tujiulize hali hii itaenda mpaka lini? jmn wanachuo wenzangu huku tunakula matunda kama ndege usiku na mchana..jamani ifikiwe wakati bodi mtuonee huruma sisi watoto wa wawakulima.. mungu awabariki wadau
mlishauriwa toka mwanzo mu apply ARDHI UNIVERSITY chuo kilicho strictly n kinachoheshimika mkaleta pozi na kujishebedua kisa kijiji unachotoka ukiongelea chuo kikuu wanakifaham udsm peke ake...sasa mnakufa njaa na "tai shingoni" ya kuishi hall 2 na 5...izo pesa za field ardhi 2lishapewa since wakati 2nafanya U.E na saizi zishaisha na 2mesahau ka zilitolewa.2naendesha mausha kwa wayz nyingine...sasa utatambua ka udsm ni chuo kikuu or chuo kikubwa
Wandugu.. maisha yangu ni magumu baada ya bodi kushindwa kutoa hela kwa wakati.. sasa nakula Mapapai asubuhi ilinijikimu maisha huku Mtwara ndugu zangu wa huko Dar es salaam, pamoja na wanafunzi wenzangu tujiulize hali hii itaenda mpaka lini? jamani wanachuo wenzangu huku tunakula matunda kama ndege usiku na mchana..jamani ifikiwe wakati bodi mtuonee huruma sisi watoto wa wawakulima.. mungu awabariki wadau