LordJustice1
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 2,263
- 532
Aaagh, mie nilivyomuelewa uyu jamaa anajuta kwa nini hakumDO uyu mke wa partner wake kwani (1) uyo shem alimzimia sana akapoteza iyo opportunity, (2) partner wake anamchukia kwa kumuhisi tu na ata anakosa (3) na mwisho yeye amesusa wakati partner wa tatu anamtafuna uyo shemeji km hana akili timamu aya yote lazima yamfanye ajute
Nina jamaa yangu mmoja ambaye ni rafiki yangu na tumefungua ofisi (kampuni) yetu.
Ameoa mke mrembo ile mbaya. Yule mke akawa ananitaka, mi nikamtolea nje. Basi akawa ananifanyia visa hadi rafiki yangu akahisi mimi natembea naye. Lakini mimi nikamthibitishia kuwa sijawahi. Sikumwambia kama mkewe alikuwa ananitaka. Sasa hivi mawasiliano na jamaa yamekuwa mabovu na pia mimi na mkewe hatuna mawasiliano mazuri, kisa nimemkataa.
Nimekuja kuthibitisha kuwa huyu mkewe jamaa anamegwa na jamaa yetu mwingine (partner) wa kampuni yetu. Jamaa mwenye mke hajagundua hiyo ishu, bali anahisi kuwa mimi ndo nakula mzigo wake...sijui mkewe kamwambia nini!
Kutokana na mtiririko wote huo, mahusiano ni mabaya sana kwangu na pande zote tatu nilizozitaja. Na sasa nawaza kujitoa katika kampuni yetu kwani sina raha na nahofia maisha yangu...
Kwa hali ilivyo, najuta kwa nini sikutembea na mke wa rafiki yangu.
kiritimba
naona thread za uongo ni nyingi sana humu.....
Nina jamaa yangu mmoja ambaye ni rafiki yangu na tumefungua ofisi (kampuni) yetu.
Ameoa mke mrembo ile mbaya. Yule mke akawa ananitaka, mi nikamtolea nje. Basi akawa ananifanyia visa hadi rafiki yangu akahisi mimi natembea naye. Lakini mimi nikamthibitishia kuwa sijawahi. Sikumwambia kama mkewe alikuwa ananitaka. Sasa hivi mawasiliano na jamaa yamekuwa mabovu na pia mimi na mkewe hatuna mawasiliano mazuri, kisa nimemkataa.
Nimekuja kuthibitisha kuwa huyu mkewe jamaa anamegwa na jamaa yetu mwingine (partner) wa kampuni yetu. Jamaa mwenye mke hajagundua hiyo ishu, bali anahisi kuwa mimi ndo nakula mzigo wake...sijui mkewe kamwambia nini!
Kutokana na mtiririko wote huo, mahusiano ni mabaya sana kwangu na pande zote tatu nilizozitaja. Na sasa nawaza kujitoa katika kampuni yetu kwani sina raha na nahofia maisha yangu...
Kwa hali ilivyo, najuta kwa nini sikutembea na mke wa rafiki yangu.
kiritimba
30.11.2011
Hahahahahaaaaaaplese maria wa kwetu, usiniongezee machungu.. nahitaji faraja.
Pole lakini sidhani kama kweli umejifunza kitu broda!
Du! Kwa iyo huyo mke ni wa patnashipu yenu!
isije ikawa mkeo kamsimulia umahili udereva wako naye anataka aonje tamu ya asali