Najuta kutotembea na mke wa rafiki yangu

Najuta kutotembea na mke wa rafiki yangu

Aaagh, mie nilivyomuelewa uyu jamaa anajuta kwa nini hakumDO uyu mke wa partner wake kwani (1) uyo shem alimzimia sana akapoteza iyo opportunity, (2) partner wake anamchukia kwa kumuhisi tu na ata anakosa (3) na mwisho yeye amesusa wakati partner wa tatu anamtafuna uyo shemeji km hana akili timamu aya yote lazima yamfanye ajute

Mmmh! Kama kulala na mke wa mtu ni "opportunity" hapo kazi ipo! Suppose mtu akapata "opportunity" ya kulala na mkeo kwa kuwa mkeo "kamzimia jamaa" utaona sawa tu au "opportunity" ni kwa wake za wengine tu?
 
Hongera sana kwamsimamo wako,huwezi jua huyo mwanamke ana maradhi gani na pia heshima yako ingeshuka kiasi gani,bora nusu shari kuliko shari kamili...
 
Kuwa na msimamo brother, huna sababu ya kujuta, ungekula ungenogewa na ingekuwa balaa zaidi. Heri nusu shari kuliko shari kamili, walisema waswahili.
 
Nina jamaa yangu mmoja ambaye ni rafiki yangu na tumefungua ofisi (kampuni) yetu.
Ameoa mke mrembo ile mbaya. Yule mke akawa ananitaka, mi nikamtolea nje. Basi akawa ananifanyia visa hadi rafiki yangu akahisi mimi natembea naye. Lakini mimi nikamthibitishia kuwa sijawahi. Sikumwambia kama mkewe alikuwa ananitaka. Sasa hivi mawasiliano na jamaa yamekuwa mabovu na pia mimi na mkewe hatuna mawasiliano mazuri, kisa nimemkataa.

Nimekuja kuthibitisha kuwa huyu mkewe jamaa anamegwa na jamaa yetu mwingine (partner) wa kampuni yetu. Jamaa mwenye mke hajagundua hiyo ishu, bali anahisi kuwa mimi ndo nakula mzigo wake...sijui mkewe kamwambia nini!
Kutokana na mtiririko wote huo, mahusiano ni mabaya sana kwangu na pande zote tatu nilizozitaja. Na sasa nawaza kujitoa katika kampuni yetu kwani sina raha na nahofia maisha yangu...

Kwa hali ilivyo, najuta kwa nini sikutembea na mke wa rafiki yangu.

kiritimba

furahia kwa kutomkashifu Mwenyezi Mungu na kuzini na huyo mke wa rafiki yako Muumba kamwe hatakaa kimya atakuenzi jinsi ulivyomuenzi.......
 
Kiritimba isikuumize hiyo issue hebu omba kalikizo kadogo halafu jamaa atapunguza kukufikiria wewe na kuelekeza mawazo yake kwa mkewe na hatimaye kama yupo makini anaweza kugundua mahusiano na huyo jamaa au kupata picha fulani ambayo ukirudi itakuwa imekusaidia.
 
kuna firm moja iliwahikufasababu hii hii.
Kama ni kampuni sion haja ya kujitoa hasa kama inalipa lakini kama ni partnership bora kujitoa maana hutakiwa kuwa na trust sana btn partners. Sasa kama trust imepotea sifa ya partnership inapotea.
 
Nina jamaa yangu mmoja ambaye ni rafiki yangu na tumefungua ofisi (kampuni) yetu.
Ameoa mke mrembo ile mbaya. Yule mke akawa ananitaka, mi nikamtolea nje. Basi akawa ananifanyia visa hadi rafiki yangu akahisi mimi natembea naye. Lakini mimi nikamthibitishia kuwa sijawahi. Sikumwambia kama mkewe alikuwa ananitaka. Sasa hivi mawasiliano na jamaa yamekuwa mabovu na pia mimi na mkewe hatuna mawasiliano mazuri, kisa nimemkataa.

Nimekuja kuthibitisha kuwa huyu mkewe jamaa anamegwa na jamaa yetu mwingine (partner) wa kampuni yetu. Jamaa mwenye mke hajagundua hiyo ishu, bali anahisi kuwa mimi ndo nakula mzigo wake...sijui mkewe kamwambia nini!
Kutokana na mtiririko wote huo, mahusiano ni mabaya sana kwangu na pande zote tatu nilizozitaja. Na sasa nawaza kujitoa katika kampuni yetu kwani sina raha na nahofia maisha yangu...

Kwa hali ilivyo, najuta kwa nini sikutembea na mke wa rafiki yangu.

kiritimba
30.11.2011

Pole lakini sidhani kama kweli umejifunza kitu broda!
 
huyo mwanamke atakuwa na sababu yake-kwani si rahsi kung'ang'ana na watu 3 wote
 
Maamuzi uliyoyafanya ya kumheshimu mke wa rafikiyo ni sahihi kabisa. Yaliyojili ni majaribu tu ya shetani. Kama kuna uwezekano wa kujitoa kwenye kampuni bila kuathirika kiuchumi, please do.
Na tena usijaribu hata siku moja kumtaka huyo mke wa rafiki yako, watakutega na kukufanyia mambo mabaya.
Tafakari ...
 
Khaaa !We bw*g* kwel uliacha kipindi cha mwanzo eti unataka sasa !?€ we unafikiri kwa sasa atakubali wakati kapata mwingine !
 
For the sake of company unaweza kujitoa...km ipo ipo tu,time will tell,jamaa atakuja kujua ulikua mwema kwake na eventually unaweza kurudi kwa kishindo na heshima zaidi
 
isije ikawa mkeo kamsimulia umahili udereva wako naye anataka aonje tamu ya asali
 
Back
Top Bottom