Najuta kuwa na huyu mwanaume katika maisha yangu. Ameharibu ndoto zangu, najiona si binadamu tena

Najuta kuwa na huyu mwanaume katika maisha yangu. Ameharibu ndoto zangu, najiona si binadamu tena

Wewe embu acha hizo, soma nakuambia soma nakuambia soma endelea na degree yako, na ukimaliza degree specialise kwenye fani yako kuwa proffessional

Hakikisha una life time qualification, hakikisha jina lako linaanza na tittle kama vile "wakili msomi Ma BOBO " au "engineer Ma BOBO " .

Achana na huyo mburukenge kwa sasa, hasira hamishia kwenye kutengeneza maisha yako.

Dogo tengeneza career yako itakulinda na kukusaidia.

Kwa sasa huyo mburukenge msahau kabisa muhimu ahudumie mwanae tu, wakati wako ukifika utapata bonge la bwana na utafurahia mapenzi na maisha kwa ujumla.
Wakati upi huo 😅??? Wakati ni sasa na vijana wachache ndio wana maisha!
 
Wewe embu acha hizo, soma nakuambia soma nakuambia soma endelea na degree yako, na ukimaliza degree specialise kwenye fani yako kuwa proffessional

Hakikisha una life time qualification, hakikisha jina lako linaanza na tittle kama vile "wakili msomi Ma BOBO " au "engineer Ma BOBO " .

Achana na huyo mburukenge kwa sasa, hasira hamishia kwenye kutengeneza maisha yako.

Dogo tengeneza career yako itakulinda na kukusaidia.

Kwa sasa huyo mburukenge msahau kabisa muhimu ahudumie mwanae tu, wakati wako ukifika utapata bonge la bwana na utafurahia mapenzi na maisha kwa ujumla.
Ushauri mzuri kwa huyu binti, jali mtoto wako soma. Wanaume watakuja utachagua mwenyewe ukiwa na uwezo wako.
 
Kwenye mada kama hizi ndio pahala pazuri pa kujua iwapo jf kuna wabeijing.Maana kwenye mada kama hizi huwa wanachomoza kwa wingi kama uyoga kipindi cha mvua
😅😅😅😅😅😅😅😅😅
 
Soma wewe, acha kuendekeza mapenzi.Just move on darling.Unavyomlilia ndo unazidi kumpa bichwa la kukutesa.

Wewe mpotezee, soma kwa bidii kwa ajili yako na mwanao ili badae upate mafanikio, atajirudi mwenyewe.By the way wewe siyo single mother wa kwanza wala huwezi kuwa wa mwisho kutelekezwa.

Hawa mbuzi achana nao.
 
Binti soma usiwaze ya Leo yanayokutokea na wala yasikutoe kwenye malengo yako mazuri,baadae utafanikiwa hakuna ajuae yajayo kwa mtu no Mungu tu so usilipeteze kusudio la Mungu kwako kwani taabu upitiazo ni kwa ajili ya watu wengine uje kuwa mwalimu wao utakapokuwa umekwishafanikiwa
 
Binti soma usiwaze ya Leo yanayokutokea na wala yasikutoe kwenye malengo yako mazuri,baadae utafanikiwa hakuna ajuae yajayo kwa mtu no Mungu tu so usilipeteze kusudio la Mungu kwako kwani taabu upitiazo ni kwa ajili ya watu wengine uje kuwa mwalimu wao utakapokuwa umekwishafanikiwa
 
Mwanaume uliyeandikiwa na Mungu atakuja kwa wakati wake, usilazimishe mapenzi. Jirani yetu alimpa mimba house girl wa mtu, mkaka alikuwa mwanafunzi wa Civil Engineering mwaka wa mwisho.

Dada alifukuzwa kwa boss wake, alimuendea mhusika. Yule kaka akimuweka binti guest mpaka anapata chumba. Walianza maisha vyombo wanaweka kwenye basin hawana hata kabati.

Baada ya kumaliza chuo yule kaka alipata kazi na walipata nyumba nzima walitokea kuwa jirani zetu. Yule dada alitusimulia walikotoka. Wakati huo akijifunza kuendesha gari mume wake alimnunulia.
Duuh I
 
Mapenzi ukichanganya na makabila utakuja kuniambia. Eti huna degree.... Kama'sio nshomile wote utatujuza hapa jamvini......Maisha yanaendaga bila PhD wala hiyo certificate ..Cha msingi uwe upende unachokifanya ..kariakoo mtu anauza makande pipa Zima kwa siku Hadi azamu wamemuona wakamrusha kwenye tv mnangangania PhD .....xxxxxx
Naam
 
Back
Top Bottom