Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Mental illness
 
Mkuu, hao wanawake walingaji na madanga ila mwanamke smart hawezi kukosa kuolewa
 
Leo umepuyanga mzee! Pole sana! Tafuta psychologist fasta! Yaani ukishaanza kuwashwa ubongo kwa style hiyo[emoji304] ujue si muda mrefu na mwili utaanza kuwashwa!
Nimesema na narudia tena, sipendi ushoga na bora wauwawe. Kumbuka kuwa mwanamke sio kuwa shoga
 
Mwanaume aliye kamilika kwa 100% anaanzaje kuwaza mawazo ya aina hii!! Kati ya siku uliwahi kuzingua, leo umevunja rekodi.
Mkuu rudia kusoma, nimesema kabla ya Kuja Duniani tuwe tunaulizwa tunapenda kuwa wanawake au wanaume ila tu huu ufahamu ni non existence lakini hii option ingekuwepo ingesaidia
 
Strong point I ever expect. Shida wengi wanawaza ngono nasio unafuu wa maisha btn man and woman, namm hapa nimesema kabla ya Kuja Duniani tuwe tunaulizwa ili tuchague kuwa either KE or ME. Sasa wao wanasema ushoga kwani shoga ni mwanamke?
 
Wakati anaponda walimu, kuna mdau alisema mpwa ni shoga, mi nilikataa tena nilipinga kwa ukali ila leo kadhihirisha mwenyew ni mdau wa [emoji304]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…