dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
HAHAHAHAHADuh na hii mvua Kuna mwamba angekua amekukunja Dogstyle akijiandaa kukojolea ndani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAHAHAHAHADuh na hii mvua Kuna mwamba angekua amekukunja Dogstyle akijiandaa kukojolea ndani.
Hujui jamaa nahis ana utindio huyu sio bureKama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe
Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake
Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka
Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.
Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]
FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Enjoy broo! I regret being a man, I survive terribly because of man identityAm proud to be born a man and I will never ever regrete, men we ur born yo hassle........I like it.
Mwambieni bwanaNani alikwambia uwanawake rahisi??
Sisi wenyewe tunaonaga heri tungekua wanaume
Kuwa mwanamke ni kugumu hamna mfano siku uje mkoleni tukufunde utajua uanawake ni nini
Anyway: Achana na habari za kuwa mwanamke Bro utaolewa Shauri yako.
Uanaume au uanauke sio maumbile tu Bali ni productive system iliyopo ndani ya mwili wa binadamuStill una nafasi ya kupata hayo yote bila kua mwanamke...Tafta basha or Bwana Uolewe...Tena ukienda ughaibuni utapewa kipaombele kabisa na uanamke wako...
muongo huyo, siyo kwamba huko ni mtelezo wanapata pesa za bure ?Hakuna mwanamke anayependa kuwa mwanamke
Mkuu kwanini unawaza mapenzi tu, kuwa mwanamke ni fursa.Duh na hii mvua Kuna mwamba angekua amekukunja Dogstyle akijiandaa kukojolea ndani.
The possibility of genda change is possible still not too late bro.Enjoy broo! I regret being a man, I survive terribly because of man identity